Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Hilo suala la kutoa kanisani hela yote Sina uhakika nalo maana sadaka mara nyingi huwa na Siri
Na pia kimaandiko hakunaga utaratibu wa kutoa mshahara wote kanisani labda uwe malimbuko mshahara wa kwanza au MTU aamue mwenyewe

Pili naendelea kisisitiza huyo mwanaume Hana sababu yoyote ya kuumia maana hayo majukumu yote aliyoyataja ni ya kwake kama mwanaume ,
Ilipaswa ajipange kabla ya kuoa aone anaweza au la
Sio Kuja kumtegea mke wake majukumu yanayomuhusu
Matokeo yake ndo hayo Sasa unalia Lia
Na kwa taarifa hizo mali lazima wagawane na mke wake
Mke ana hiari ya kuchangia au kutokuchangia majukumu ya mwanaume
Ndugu haujawahi sikia vile yale mahubiri ya kutoa yanavyo hit sehem maalum,utajikuta ukiuza kila kitu ili ukatoe halafu wewe unaki pee huku ukiamini Mungu ataleta😆😆😆
 
Siku mkikubali kuacha kuwatawala wanawake na kuwalazimisha wawatii na kuwaheshimu, na siku mkianza kufanya kazi za nyumbani na kulea watoto kila siku basi hata wanawake wataanza kuhudumia familia bila tatizo
Hakuna anaetawaliwa ni gender instincts tu ndio zinamuweka kila mtu kwenye nafasi yake, hata Rais mama Samia alishawahi kusema kwamba yeye ana cheo kikubwa lakini kwa mumewe anapiga goti(yaani ni mtiifu) na hii wanawake wanafanya kwa kuona fahari kwamba wanatimiza sehemu ya uanamke wao ni nyie tu ferminists trauma mlizozibeba kwenye mahusiano yenu ya nyuma zinawafanya muhishi na vinyongo, mnapotosha wenzenu ili nao mahusiano yao yayumbe mpate relief ya moyo(msiba wa wengi sherehe)
 
Yani mwanamke unafanya kazi,mshahara unapata halafu huchangii chochote ndani ya nyumba,kutakuwa na shida flani kwenye akili ya huyo mwanamke...
 
Haya maisha ni vema kila mtu ajihudumie tu, kujificha kwenye dini kwa baadhi ya vipengele tu ni ujinga..... jukumu la msingi la kuumbwa mwanamke ni kuwa msaidizi wa mume.
 
Alimpa msaidizi na alimpa majukumu yake kuzaa kwa uchungu na Hilo ni jukumu ambalo hakuna mwanaume anaweza kumsaidia

Na mwanaume alipewa jukumu la kafanya kazi ahudumie familia
Yale hayakua majukumu bali ilikua ni laana
 
Si kwel ndio inavyotakiwa Mwanamke ni MSAIDIZI shida inaanzia pale Mwanamke anapotaka 50/50...Suala la 50/50 kwa mwanaume anayejielewa hawez kukubal kamwe ndio vurugu huanza na ndoa kuvunjika...!!!
 
Hakuna anaetawaliwa ni gender instincts tu ndio zinamuweka kila mtu kwenye nafasi yake, hata Rais mama Samia alishawahi kusema kwamba yeye ana cheo kikubwa lakini kwa mumewe anapiga goti(yaani ni mtiifu) na hii wanawake wanafanya kwa kuona fahari kwamba wanatimiza sehemu ya uanamke wao ni nyie tu ferminists trauma mlizozibeba kwenye mahusiano yenu ya nyuma zinawafanya muhishi na vinyongo, mnapotosha wenzenu ili nao mahusiano yao yayumbe mpate relief ya moyo(msiba wa wengi sherehe)
Hakuna mwanamke anayependa kuwa submissive kwa mwanaume bila sababu yoyote hiyo ni mentality tu ambayo babu zetu waliwajengea bibi zetu toka enzi na enzi, msijidanganye hakuna mwanamke anayefeel pride kwenye hiyo kitu isipokuwa ni kama tu pale anaponufaika na jambo fulani toka kwa mwanaume wake, kama ingekuwa hivyo unavyosema basi wanaume wengi wasingekuwa wanalalamika kuhusu ujeuri na viburi vya wake zao ndani ya ndoa
 
Hakuna mwanamke anayependa kuwa submissive kwa mwanaume bila sababu yoyote hiyo ni mentality tu ambayo babu zetu waliwajengea bibi zetu toka enzi na enzi, msijidanganye hakuna mwanamke anayefeel pride kwenye hiyo kitu isipokuwa ni kama tu pale anaponufaika na jambo fulani toka kwa mwanaume wake, kama ingekuwa hivyo unavyosema basi wanaume wengi wasingekuwa wanalalamika kuhusu ujeuri na viburi vya wake zao ndani ya ndoa
Nimenukuu statement ya mama Samia ambaye ni mwanamke, unataka kuniambia kiuchumi kuna ambacho mama samia ananufaika kutoka kwa mumewe na hawezi kukipata kwa pesa yake mwenyewe?
 
Pesa za mkewe hazimuhusu
Mithali 31:1........

Kimaandiko mke ni msaidizi sio mzigo,japo Kuna mgawanyo was majukum ndani ya nyumba!!Baba mlinzi mkuu ,mwenye kubeba maono ya hatma ya familiar kule inapokwenda kama kiongozi!

Mama ni meneja was mambo ya ndani yote kama mstaidizi mkuu wa utawala was mumewe!!

Pale kiongozi anapokua meneja wakati huo huo ndio huchoka mapema na nyumba huwa nzito kwake !!!

Kauli ya kibiblia ya "mwanamme atakula Kwa jasho"na mwanamke atazaa Kwa uchungu"haibebi tafsiri halisi ya maisha ya ndoa ndani ya nyumba Bali dhana na Imani potofu kwamba Mwanamke ni obsever asie na mchango wowote zaidi ya kuzaa na kulea hiyo sio kweli!!

Mithali 31 inaekeza mke mwema akilima Bustani,akifuma nguo na kitani kisaidia familiar yake na mumewe humwamini!!!


Hii dhana hii inayoaminika sio maana halisi ya maisha ya Kila siku ya ndoa!!!

Uke uchungu was kuzaa mwanamke mwanammme tunaushiriki sana!!

Kifupi hakuna kipindi kigumu tunapitia wanaume kama make anapokua katika hati hati ya kujifungua aiseh sikia Kwa jirani tu!!!

WATU WENGI HAWANA UELEWA SAHIHI WA HILI WANAONGOZWA NA IMANI POTOFU YA LAANA ILE!WAKATI MUNGU ALIWAPA ADAMU NA HAWA JUKUMU LA KUTUNZA BUSTANI NA HAJAWAHI BADILI MAAAMUZI YALE HATA BAADA YA KUFUKUZWA BUSTANINI!!
 
Back
Top Bottom