Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Nimenukuu statement ya mama Samia ambaye ni mwanamke, unataka kuniambia kiuchumi kuna ambacho mama samia ananufaika kutoka kwa mumewe na hawezi kukipata kwa pesa yake mwenyewe?
Kuhusu mama samia usitake watu waongee makandokando yake hapa wakaonekana wanamchafua rais kwa sababu alikuwa na motives zake za kutamka vile, mtu yeyote hasa public figure kama yeye anaweza ongea chochote kizuri kumhusu mbele ya hadhara mradi tu aonekane mwema lakini kwenye matendo akawa tofauti, halafu yeye siyo idol wa wanawake wote kiasi cha kuona kwamba kila anachosema yeye basi ni sahihi na kinawakilisha hisia au tabia za wanawake wote duniani kote
 
Sijaoa zezeta mimi, hata yeye ukimwambia asichangie chochote kwenye familia yake atakuona huna akili. Wakes up at 5am, comes back at 8pm, then asichangie chochote? Huo ni ujinga!
As long as she is not your housegirl then she has the responsibility to contribute
 
Kuhusu mama samia usitake watu waongee makandokando yake hapa wakaonekana wanamchafua rais kwa sababu alikuwa na motives zake za kutamka vile, mtu yeyote hasa public figure kama yeye anaweza ongea chochote kizuri kumhusu mbele ya hadhara mradi tu aonekane mwema lakini kwenye matendo akawa tofauti, halafu yeye siyo idol wa wanawake kiasi cha kuona kwamba kila anachosema yeye basi ni sahihi na kinawakilisha hisia au tabia za wanawake wote duniani kote
Nimemchukulia mfano mama samia kwa sababu ndie mwanamke ambaye yupo katika cheo cha juu kabisa na ofcourse lazima awe idol wa wanawake wenzake vile vile ana uwezo wa kukengeuka kama angekua na akili za wakina cristina shusho au joyce kiria. Kuhusu makandokando yake kama wewe unayajua unaweza kuyataja kuthibitisha kwamba anachokiongea ni kujikosha tu mbele ya jamii. As long as hauna uthibitisho wa hayo unayoita makandokando yake basi hauna moral authority ya kumtilia mashaka
 
Nimemchukulia mfano mama samia kwa sababu ndie mwanamke ambaye yupo katika cheo cha juu kabisa na ofcourse lazima awe idol wa wanawake wenzake vile vile ana uwezo wa kukengeuka kama angekua na akili za wakina cristina shusho au joyce kiria. Kuhusu makandokando yake kama wewe unayajua unaweza kuyataja kuthibitisha kwamba anachokiongea ni kujikosha tu mbele ya jamii. As long as hauna uthibitisho wa hayo unayoita makandokando yake basi hauna moral authority ya kumtilia mashaka
Siyo kila kitu ambacho mtu anashindwa kukisema mbele za watu basi maana yake hana ushahidi nacho, wakati mwingine unaweza ukawa unambishia mtu ambaye anajua kitu ambacho wewe hukijui ila tu hawezi kukisema hadharani, anaweza kuwa idol kwa wanawake kwenye masuala ya cheo tu ila siyo kwenye masuala ya ndoa kwa sababu huko ndio kama nilivyokuambia
 
Then I bet she is not your housegirl, Yes?
What do you mean she's not my housegirl? She does all house chores, doing house chores doesn't categorise her as a housegirl, I believe she does everything wholeheartedly, with the help of our house helper of course.

Kufanya kazi za nyumbani hakumfanyi awe/aitwe housegirl, ukiona mama anafanya kazi za home kwa manung'uniko hapo hamna mke, tena kama kuna msaidizi(wamama wengi wana wasaidizi), sasa kitu gani kitafanya awe mtumwa hapo?
 
Siyo kila kitu ambacho mtu anashindwa kukisema mbele za watu basi maana yake hana ushahidi nacho, wakati mwingine unaweza ukawa unambishia mtu ambaye anajua kitu ambacho wewe hukijui ila tu hawezi kukisema hadharani, anaweza kuwa idol kwa wanawake kwenye masuala ya cheo tu ila siyo kwenye masuala ya ndoa kwa sababu huko ndio kama nilivyokuambia
Kwenye kipengere cha ndoa so far rekodi yake ni nzuri kwa sababu hatuna taarifa zake za kuchafua hali ya hewa kwenye ndoa au wewe una makandokando ya mama samia unayajua uko kwenye ndoa yake lakini kwa sababu za kimaadili hauwezi kuweka wazi? Maana naona umeshikilia msimamo wa kumuwekea doubts zaidi.
 
Kufanya kazi za nyumbani hakumfanyi awe/aitwe housegirl, ukiona mama anafanya kazi za home kwa manung'uniko hapo hamna mke, tena kama kuna msaidizi(wamama wengi wana wasaidizi), sasa kitu gani kitafanya awe mtumwa hapo?
Jamaa kaamua tu kuwa mbishi yaani zile gender insticts ndio anaitwa utumwa. Huyu mtu kama ni mwanamke kuna siku nae atataka mumewe nae akae mkao wa doggystyle
 
What do you mean she's not my housegirl? She does all house chores, doing house chores doesn't categorise her as a housegirl, I believe she does everything wholeheartedly, with the help of our house helper of course.

Kufanya kazi za nyumbani hakumfanyi awe/aitwe housegirl, ukiona mama anafanya kazi za home kwa manung'uniko hapo hamna mke, tena kama kuna msaidizi(wamama wengi wana wasaidizi), sasa kitu gani kitafanya awe mtumwa hapo?
Kitakachofanya awe mtumwa ni yeye kufanya majukumu mengi zaidi ya mumewe ilihali yeye ni msaidizi tu na mumewe ndio kiongozi, anyway siyo kila mtumwa anajijua kama yeye ni mtumwa wengine huona ni kawaida sababu wako desperate na wana low self esteem, mwanamke anayejielewa hawezi kufanya majukumu mengi kuliko mume wake in the name of 'kusaidiana'
 
Kwenye kipengere cha ndoa so far rekodi yake ni nzuri kwa sababu hatuna taarifa zake za kuchafua hali ya hewa kwenye ndoa au wewe una makandokando ya mama samia unayajua uko kwenye ndoa yake lakini kwa sababu za kimaadili hauwezi kuweka wazi? Maana naona umeshikilia msimamo wa kumuwekea doubts zaidi.
Sasa wewe hapo ulipo unataka nani akuletee taarifa za makandokando ya mama samia kwenye ndoa yake, hoja yangu ni kwamba hakuna mwanamke ambaye yuko tayari kuwa submissive kwa mwanaume bila kuwa na chochote anachonufaika toka kwa huyo mwanaume hakuna cha asili hapo, vinginevyo basi ndoa zote zingekuwa na amani kusingekuwa na malalamiko toka kwa wanaume kuwa wake zao ni viburi na malaya na wengine hadi kuwabambikizia watoto wa nje ya ndoa
 
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu

Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni
Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana kuingia kwenye ndoa wakidhani wanawake wao watawasaidia baadhi ya majukumu na wengine wajinga wakitamani wasaidie hata majukumu yote

Kigezo kikubwa kwa mwanaume na jukumu la kwanza ni kuoa mwanamke anayempenda na kumvutia kwa asilimia kubwa tabia sura na hata maumbile
Na hapa tunatofautiana Kila mtu ana tabia sura na maumbile yanayomvutia

Ukifanikiwa kwenye kigezo na jukumu la kwanza hayo mengine yote ni rahisi

Jukumu la pili na muhimu ambalo wanaume wengi haswa wa wakati wanalikimbia wakidhani watabaki salama ni
Kumuhudumia mke wako kwa Kila kitu kuanzia Nguo yake ya NDANI mavazi ya nje mahitaji yote muhimu kwa mwanamke ni jukumu la mwanaume kumuhudumia

Tatu mahitaji yote ya familia ni jukumu la mwanaume kuhudumia hata Kama mwanamke ana mshahara ana hiari ya kuchangia mahitaji ya familia au la

Hata akichangia weka akilini mwako kwamba anakusaidia majukumu yako usibweteke,
Siku akijisikia kutochangia Basi ukubaliane na hali na umshukuru walau kwa kile alichochangia

Kwenye maandiko jukumu la mwanamke kubwa ni uzazi na kumtii mume wake


Ukiona mwanaume ambae kigezo chake kikubwa anataka mwanamke mwenye kazi au mshahara au mpambanaji hiyo ni dalili ya hao wanaume

Nashauri hakikisha unakuwa na msingi mzuri wa kipato kabla ya kuoa Bora uchelewe kuoa ili
Uoe mwanamke unayempenda na mwenye uwezo wa kumuhudumia
Kwa asili
Wanawake hawaji kuongeza kipato Ila kutumia kile kipato chako

Uanaume ni kazi Sana na uwajibikaji wake ni mkubwa
Sio rahisi kuwa mwanaume na Wakati mwingine kuwa baba wa familia
Haya yote yanawezekana endapo mwanamke hafanyi kazi,anatumia muda wake wote kuitumikia ndoa.
Ni UPUMBAVU mke anatoka nawe ukitoka kwenda kufanya kazi,halafu akirudi eti umuhudumie,....huu ni USEN.GE
 
Jamaa kaamua tu kuwa mbishi yaani zile gender insticts ndio anaitwa utumwa. Huyu mtu kama ni mwanamke kuna siku nae atataka mumewe nae akae mkao wa doggystyle
Hakuna cha gender instincts hapo hizo ni propaganda kama propaganda nyingine tu, ingekuwa ni nature basi kusingekuwa na namna yoyote ambayo wanawake wangeweza kukengeuka, na wanawake wameshashitukia hayo ndio maana mnaona haya yote yanatokea na kilichobaki ni wanaume kuishia kutapatapa tu kama hivi
 
Maisha ya kijijini mwanaume na Mwanamke na watoto wanaenda shambani kulima kwa pamoja ili kuweza kupata chakula cha familia. kwa nini Mwanamke asikae ndani tu kungoja aletewe? Wanaume tuamke huu ni unyonyaji wazi wazi.
 
Sasa wewe hapo ulipo unataka nani akuletee taarifa za makandokando ya mama samia kwenye ndoa yake, hoja yangu ni kwamba hakuna mwanamke ambaye yuko tayari kuwa submissive kwa mwanaume bila kuwa na chochote anachonufaika toka kwa huyo mwanaume hakuna cha asili hapo, vinginevyo basi ndoa zote zingekuwa na amani kusingekuwa na malalamiko toka kwa wanaume kuwa wake zao ni viburi na malaya na wengine hadi kuwabambikizia watoto wa nje ya ndoa
Haya umeshinda
 
Alimpa msaidizi na alimpa majukumu yake kuzaa kwa uchungu na Hilo ni jukumu ambalo hakuna mwanaume anaweza kumsaidia

Na mwanaume alipewa jukumu la kafanya kazi ahudumie familia
Kubeba ujauzito wanaume hatuwezi,je kufanya kazi mwanamke hawezi?
Yaani tunaamka wote tunaenda kazini, mshahara sawa,hutaki kutoa pesa zako eti nikuhudumie kilakitu,sasa pesa zako ni zanini?
Una kitu gani spesho ambacho hausigeli hana?
 
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu

Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni
Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana kuingia kwenye ndoa wakidhani wanawake wao watawasaidia baadhi ya majukumu na wengine wajinga wakitamani wasaidie hata majukumu yote

Kigezo kikubwa kwa mwanaume na jukumu la kwanza ni kuoa mwanamke anayempenda na kumvutia kwa asilimia kubwa tabia sura na hata maumbile
Na hapa tunatofautiana Kila mtu ana tabia sura na maumbile yanayomvutia

Ukifanikiwa kwenye kigezo na jukumu la kwanza hayo mengine yote ni rahisi

Jukumu la pili na muhimu ambalo wanaume wengi haswa wa wakati wanalikimbia wakidhani watabaki salama ni
Kumuhudumia mke wako kwa Kila kitu kuanzia Nguo yake ya NDANI mavazi ya nje mahitaji yote muhimu kwa mwanamke ni jukumu la mwanaume kumuhudumia

Tatu mahitaji yote ya familia ni jukumu la mwanaume kuhudumia hata Kama mwanamke ana mshahara ana hiari ya kuchangia mahitaji ya familia au la

Hata akichangia weka akilini mwako kwamba anakusaidia majukumu yako usibweteke,
Siku akijisikia kutochangia Basi ukubaliane na hali na umshukuru walau kwa kile alichochangia

Kwenye maandiko jukumu la mwanamke kubwa ni uzazi na kumtii mume wake


Ukiona mwanaume ambae kigezo chake kikubwa anataka mwanamke mwenye kazi au mshahara au mpambanaji hiyo ni dalili ya hao wanaume

Nashauri hakikisha unakuwa na msingi mzuri wa kipato kabla ya kuoa Bora uchelewe kuoa ili
Uoe mwanamke unayempenda na mwenye uwezo wa kumuhudumia
Kwa asili
Wanawake hawaji kuongeza kipato Ila kutumia kile kipato chako

Uanaume ni kazi Sana na uwajibikaji wake ni mkubwa
Sio rahisi kuwa mwanaume na Wakati mwingine kuwa baba wa familia
The opposite is true
 
Kitakachofanya awe mtumwa ni yeye kufanya majukumu mengi zaidi ya mumewe ilihali yeye ni msaidizi tu na mumewe ndio kiongozi, anyway siyo kila mtumwa anajijua kama yeye ni mtumwa wengine huona ni kawaida sababu wako desperate na wana low self esteem, mwanamke anayejielewa hawezi kufanya majukumu mengi kuliko mume wake in the name of 'kusaidiana'
Jadda,
Kwani kwako kufanya majukumu ya home ni mzigo? Yaani mwanamke kufanya kazi za nyumbani unaona kuna tatizo? Maana naona huwa unasisitiza "akichangia majukumu na house chores msaidiane".

Ujue tu wapo wamama wanajitambua sana, hawaoni ugumu wala shida kurudi jioni na kuingia jikoni, hakuna ugumu wala sio tatizo unless personally wewe uone ni uonevu. Unajua wanampikia nani, watoto na mume, wanajuvunia kupikia watoto wao na mume. Ukiona kuingia jikoni kupika ni kugumu, basi maisha ya ndoa yatakuwa magumu sana kwako.

N a kitu kingine, tukishaweka msaidizi ndani, kazi za ndani ni za mama na msaidizi. Kama hakuna msaidizi binafsi nasaidia kufanya baadhi ya majukumu, ila kama yupo ni wao wafanye...
 
Back
Top Bottom