Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Yawezekana huna akili na pia huna mke
Ungekua na akili timamu ungeelewa kwamba ukiwa na mke muda wa uzazi na muda wa kunyonyesha hawezi kufanya kazi sawa sawa na mumewe (achana na hizo 9-5 kind of jobs pay ni constant)

Pia hawezi tu kuamka asubuhi akataka kwenda kusoma ili walau mshahara upande bila kuangalia welfare ya watoto hapo nyumbani

Lakini wewe muda wowote, wakati wowote opportunity ikija huna kikwazo chochote

Haya wewe ambae 365 days a year huna kikwazo chochote cha kibaiolojia unamcompensate vipi huyo mtu????

Huko kwenye 50/50 kuna tabu kibao ambazo mkiletewa ninyi wala hamuwezi kuvumilia

Acha kutafuta ajira, katafute akili ya kung'amua mambo madogo madogo kwanza

Soma kimyakimya sababu sitosoma majibu yako wala kukujibu.... stupid
Sasa dada angu kwani izo mimba huwa mnabeba maisha yenu yote baada ya kuingia tu kwenye mahusiano. Ofcourse kuna situation ambazo ambazo mwanamke hawezi kujigawa mfano ana mimba au ananyonyesha mtoto mchanga ivyo ivyo kuna situation ambazo mwanaume hawezi kutimiza majukumu yake ipasavyo mfano anaugua nankushindwa kwenda kibaruani ili apate mahitaji ya familia kwaiyo ni suala la kuangalia namna ya kumsaidia mwenza wako hapo. Katika scenerio ya kukutana na uyo dada wa kijapani aliyoongelea jamaa ulikua ni mtoko tu wa kawaida uyo dada hakua na mimba, ulemavu wala tatizo lolote la kumfanya ashindwe kufanya kazi kwa utimilifu hili kupata hela ya mahitaji yake, hiki kitu ni tofauti na wadada wa kibongo ambao mkitoka out watataka mpaka bodaboda uwalipie. Reply yako kwangu umetumia lugha kali kidogo sitokujibu kwa namna ulivyonijibu kuepuka ban maana nipo chini ya uangalizi wa moderators
 
Sawa lakini ni hiyari ya mwanamke mwenyewe akiona hatoweza kujigawa kimajukumu ya utafutaji na kulea anaweza kufunga kizazi zipo njia nyingi tu uzazi wa mpango suala la kuzaa ni maamuzi ya mwanamke maana rwproduction inafanyika tumboni kwake lakini mwanamke akiamua kuzaa basi lazima azikubali na izo consequencies zake na asiitumie iyo mimba kumfanya mwanaume mateka.

Hili jambo huwa unalirudia rudia sana katika hali ya ujumuishi wakati sio wote wapo ivyo, binafsi siku nikishinda nyumbani huwa nasaidiana majukumu mengi tu mpenzi wangu, suala la kulea tayari nishamwambia sipo tayari kwa sasa, kwaiyo utakapofika muda tukakubaliana kuzaa basi majukumu ninayomudu kuhusu malezi nitamsaidia lakini katika hili lazima tukubaliane mwanamke ndie atakae-play part kubwa kwenye malezi sana sana mtoto anapokua bado mchanga

Haijalishi ni uncertainity or not ishu ni kwamba inajulikana uko ni kwa wanaume kwaiyo hao ndio watawekwa mstari wa mbele na wanawake watawekwa kando ni kama mambo ya jikoni inajulikana uko ni kwa wanawake ndio maana uwezi kwenda msibani ukakuta wanaume wana pilika pilika za mambo ya kuchambua mchele au kuweka kuni kwenye mafiga. Hivi mzee baba ni huwa hauelewi au unaamua kubisha tu
Oohh kwahiyo hata kama wanawake wote duniani wakiamua wafunge vizazi vyao wasizae kwa sababu ni maamuzi yao basi itakuwa sawa tu si ndio, hivi unafahamu kwamba kuna nchi huko ulaya wanawake wameanza kususa kuzaa hadi viongozi wanaingilia kati na kuwabembeleza wazae maana population itapungua, kuhusu mambo ya vita mbona wanawake wengi tu siku hizi wamejaa majeshini na kuhusu huo mfano wako wa kupika misibani kwani hujui kuwa kwenye misiba ya waislam wanaopika ni wanaume au unaishi kwa kukariri tu
 
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu

Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni
Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana kuingia kwenye ndoa wakidhani wanawake wao watawasaidia baadhi ya majukumu na wengine wajinga wakitamani wasaidie hata majukumu yote

Kigezo kikubwa kwa mwanaume na jukumu la kwanza ni kuoa mwanamke anayempenda na kumvutia kwa asilimia kubwa tabia sura na hata maumbile
Na hapa tunatofautiana Kila mtu ana tabia sura na maumbile yanayomvutia

Ukifanikiwa kwenye kigezo na jukumu la kwanza hayo mengine yote ni rahisi

Jukumu la pili na muhimu ambalo wanaume wengi haswa wa wakati wanalikimbia wakidhani watabaki salama ni
Kumuhudumia mke wako kwa Kila kitu kuanzia Nguo yake ya NDANI mavazi ya nje mahitaji yote muhimu kwa mwanamke ni jukumu la mwanaume kumuhudumia

Tatu mahitaji yote ya familia ni jukumu la mwanaume kuhudumia hata Kama mwanamke ana mshahara ana hiari ya kuchangia mahitaji ya familia au la

Hata akichangia weka akilini mwako kwamba anakusaidia majukumu yako usibweteke,
Siku akijisikia kutochangia Basi ukubaliane na hali na umshukuru walau kwa kile alichochangia

Kwenye maandiko jukumu la mwanamke kubwa ni uzazi na kumtii mume wake


Ukiona mwanaume ambae kigezo chake kikubwa anataka mwanamke mwenye kazi au mshahara au mpambanaji hiyo ni dalili ya hao wanaume

Nashauri hakikisha unakuwa na msingi mzuri wa kipato kabla ya kuoa Bora uchelewe kuoa ili
Uoe mwanamke unayempenda na mwenye uwezo wa kumuhudumia
Kwa asili
Wanawake hawaji kuongeza kipato Ila kutumia kile kipato chako

Uanaume ni kazi Sana na uwajibikaji wake ni mkubwa
Sio rahisi kuwa mwanaume na Wakati mwingine kuwa baba wa familia
Very true 👍
 
Mkuu mbona unakua mbishi katika mambo yanayoeleweka kabisa. Ni hivi ikiwa mke ni mama wa nyumbani mume atabeba jukumu la ustawi wa kiuchumi kwa 100% na ikiwa mwanamke anatoka kutafuta basi atawajibika kuleta kitu mezani lakini katikati ya izo scenerio mbili kuna kitu kinaitwa gender roles au gender insticts ambazo automaticaly tu zinamuweka kila mmoja katika nafasi yake ikiwa mume ataprovide kila kitu kwa 100% hii haimaanishi kwamba akiwa nyumbani hatowajika kwa lolote kuna majukumu yatahitaji nguvu au ujasiri hapo mwanaume atawajibika hivyo hivyo ikiwa mwanamke atachangia kitu mezani haimaniishi akiwa home atakua kana malkia kuna masuala ya kuakikisha usafi wa nyumba na mambo ya maakuli jikoni yamefanywa ipasavyo na dada wa kazi hapo mke atasimamia shoo
Wewe nilishakuambia hakuna cha gender instincts wala nini hizo gender roles zilipangwa na wazee wetu wa zamani, na waliziassign kwa jinsia husika kulingana na utashi na upeo wao lakini si kwamba ni nature, ni mentality tu ambayo watu walijengewa vichwani vizazi na vizazi

Kwamba huyu anapendeza akifanya hiki na huyu anapendeza akifanya kile ndio ikawa sehemu ya tamaduni, lakini si kwamba huyu akifanya kile anachofanya mwenzie basi ni vibaya, na ukizingatia mwisho wa siku dunia inabadilika na mitazamo ya watu pia inabadilika toka vizazi hadi vizazi

Kama ambavyo sasa hivi jukumu la kutafuta pesa na kulisha familia limeshaonekana kwamba hata mwanamke anaweza kulifanya, wakati zamani ilionekana hawezi kwanini huo mtazamo usibadilike na kwenye majukumu yanayoitwa ya mwanamke, kwamba sasa mtu yeyote yule anaweza kuyafanya bila kujali jinsia yake
 
Oohh kwahiyo hata kama wanawake wote duniani wakiamua wafunge vizazi vyao wasizae kwa sababu ni maamuzi yao basi itakuwa sawa tu si ndio, hivi unafahamu kwamba kuna nchi huko ulaya wanawake wameanza kususa kuzaa hadi viongozi wanaingilia kati na kuwabembeleza wazae maana population itapungua, kuhusu mambo ya vita mbona wanawake wengi tu siku hizi wamejaa majeshini na kuhusu huo mfano wako wa kupika misibani kwani hujui kuwa kwenye misiba ya waislam wanaopika ni wanaume au unaishi kwa kukariri tu
NImeshindwa kukuelewesha ili tusipoteze muda tufanye umeshinda. ishi na partner wako kwa namna utavyoona inafaa
 
Wewe nilishakuambia hakuna cha gender instincts wala nini hizo gender roles zilipangwa na wazee wetu wa zamani, na waliziassign kwa jinsia husika kulingana na utashi na upeo wao lakini si kwamba ni nature, ni mentality tu ambayo watu walijengewa vichwani vizazi na vizazi

Kwamba huyu anapendeza akifanya hiki na huyu anapendeza akifanya kile ndio ikawa sehemu ya tamaduni, lakini si kwamba huyu akifanya kile anachofanya mwenzie basi ni vibaya, na ukizingatia mwisho wa siku dunia inabadilika na mitazamo ya watu pia inabadilika toka vizazi hadi vizazi

Kama ambavyo sasa hivi jukumu la kutafuta pesa na kulisha familia limeshaonekana kwamba hata mwanamke anaweza kulifanya, wakati zamani ilionekana hawezi kwanini huo mtazamo usibadilike na kwenye majukumu yanayoitwa ya mwanamke, kwamba sasa mtu yeyote yule anaweza kuyafanya bila kujali jinsia yake
Umeshindaaaa
 
NImeshindwa kukuelewesha ili tusipoteze muda tufanye umeshinda. ishi na partner wako kwa namna utavyoona inafaa

Umeshindaaaa
Tatizo lako wewe kila mada tunayojadili unakimbilia kusema nimeshinda, humu tunaeleweshana tu hatushindani wala hatutafuti mshindi, sijui kwanini watu wengi mitandaoni huwa mnajadili mada katika mtazamo fulani hivi wa kushindana
 
Tatizo lako wewe kila mada tunayojadili unakimbilia kusema nimeshinda, humu tunaeleweshana tu hatushindani wala hatutafuti mshindi, sijui kwanini watu wengi mitandaoni huwa mnajadili mada katika mtazamo fulani hivi wa kushindana
Sasa mkuu hatufiki hitimisho unataka tujadiliane mpaka lini? Kuna mambo mengine ya kufanya nje ya jf.
 
Baki nyumbani unilee mimi na wanangu sasa.

Tatizo lenu feminist mnashindwaga kubalance mzani.
Acha nikusanue kijana.

Kama mke ana kazi yake, ni kweli Me unapaswa kutimiza kila jukumu lako kama hayo uliyoaijisha na Ke anapaswa kutimiza yake ya nyumbani maana Me huwezi piga miguu yote. Kwamba usake doo na bado home uwajibike wewe(hilo haliwezekani).

Migogoro inaanza pale Ke anashindwa kutimiza majukumu yake ya nyumbani kwa kisingizio cha kazi ambayo haina manufaa kwa familia.
 
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu

Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni
Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana kuingia kwenye ndoa wakidhani wanawake wao watawasaidia baadhi ya majukumu na wengine wajinga wakitamani wasaidie hata majukumu yote

Kigezo kikubwa kwa mwanaume na jukumu la kwanza ni kuoa mwanamke anayempenda na kumvutia kwa asilimia kubwa tabia sura na hata maumbile
Na hapa tunatofautiana Kila mtu ana tabia sura na maumbile yanayomvutia

Ukifanikiwa kwenye kigezo na jukumu la kwanza hayo mengine yote ni rahisi

Jukumu la pili na muhimu ambalo wanaume wengi haswa wa wakati wanalikimbia wakidhani watabaki salama ni
Kumuhudumia mke wako kwa Kila kitu kuanzia Nguo yake ya NDANI mavazi ya nje mahitaji yote muhimu kwa mwanamke ni jukumu la mwanaume kumuhudumia

Tatu mahitaji yote ya familia ni jukumu la mwanaume kuhudumia hata Kama mwanamke ana mshahara ana hiari ya kuchangia mahitaji ya familia au la

Hata akichangia weka akilini mwako kwamba anakusaidia majukumu yako usibweteke,
Siku akijisikia kutochangia Basi ukubaliane na hali na umshukuru walau kwa kile alichochangia

Kwenye maandiko jukumu la mwanamke kubwa ni uzazi na kumtii mume wake


Ukiona mwanaume ambae kigezo chake kikubwa anataka mwanamke mwenye kazi au mshahara au mpambanaji hiyo ni dalili ya hao wanaume

Nashauri hakikisha unakuwa na msingi mzuri wa kipato kabla ya kuoa Bora uchelewe kuoa ili
Uoe mwanamke unayempenda na mwenye uwezo wa kumuhudumia
Kwa asili
Wanawake hawaji kuongeza kipato Ila kutumia kile kipato chako

Uanaume ni kazi Sana na uwajibikaji wake ni mkubwa
Sio rahisi kuwa mwanaume na Wakati mwingine kuwa baba wa familia
Ni kweli
 
Huwa nashindwa kuelewa kwanini mnalazimisha wanawake wafanye vyote ilihali ninyi hamuwezi kufanya vyote, labda nikuulize hivi kinachowafanya wanaume washindwe kufanya majukumu ya nyumbani ni nini, sasa kama mwanamke atakuwa anafanya vyote umuhimu wa mwanaume kwenye maisha yake utakuwa ni upi hapo
Tatizo lako ni wanaume kufua, kupiga deki na kuosha vypmbo? Hivyo hatufanyi, hatutafanya coz mke na msaidizi wapo. In case msaidizi hayupo then kuna nyakati za kusaidiana kazi ndogo hizo. Sijui kwa nini kwako inakuwa big deal wakati kwa wanawake wenzako ni sifa kupika kufanya nyumba iwe safi nk.
Kwa nini kwako ni issue sana?

Nishakuambia, swala la huduma lipo kwa baba, hapo hatupingani, ila mama akiamua kutoka kutafuta, basi anachokipata kionekane, short of that basi aamke asubuhi na kulea familia yake as ndio primary role yake.

Hata wewe ukiingia kwa ndoa, hakikisha jiko is your friend, mpikie mume chakula kitamu, ukishindwa hilo jukumu moja tu basi ndoa itakuwa ngumu. We love to eat food prepared by our wives.
 
Maisha yamebadilika, enzi za wazazi wetu sio sawa na zetu.
Muhimu km wanandoa kusaidiana majukumu pale mwenzi wako anapoanguka, ndiomaana ya kumpa msaidizi. Siwezi kuacha mtoto anarudishwa nyumbani kwa kukosa school fees na mimi ninazo hizo pesa eti nasubiri mume atafute sababu yeye ni mume.

Jukumu la kuhudumia familia ni la wote unless km mke hana chanzo chochote cha mapato.
 
Sasa kazi ya mwanamke ni nini si bora ninunue malaya
Fikra Kama hizi
Ndo zinachangia migogoro
Unaingia kwenye ndoa ukitarajia umhudumie mke wako Kama Malaya wakAti unahitaji tendo ndo unampa mahitaji yake

Hio ndoa lazima migogoro iwepo
 
Maisha yamebadilika, enzi za wazazi wetu sio sawa na zetu.
Muhimu km wanandoa kusaidiana majukumu pale mwenzi wako anapoanguka, ndiomaana ya kumpa msaidizi. Siwezi kuacha mtoto anarudishwa nyumbani kwa kukosa school fees na mimi ninazo hizo pesa eti nasubiri mume atafute sababu yeye ni mume.

Jukumu la kuhudumia familia ni la wote unless km mke hana chanzo chochote cha mapato.
Hoja yangu mkuu ni vijana wengi wanaingia kwenye ndoa na fikra za kusaidiwa majukumu yao ya kiume

KIJANA anakwambia anataka mwanamke mwenye kazi au ajira
Lengo ili amsaidie majukumu yake
Maanake huyo mwanke akipoteza ajira hiyo ndoa haipo

Naelewa na ni sahihi mwanamke akisema nataka mwenye kazi au ajira
Siyo me
Sikatai kuoa mke mwenye ajira Ila kisiwe kigezo Cha wanaume

Pia suala la mwanamke kukupa kipato chake ni hoja nyingine
Hapo ndipo panatakiwa AKILI IINGIE KAZINI
Ndo kuishi nao kwa akili Sasa utafaidi maana sio lazima
 
Back
Top Bottom