Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Kusoma Ukraine ni kutoboa?

Co ukraine tuu,,hata marekani na nchi za ulaya waweza kusoma lakini ukafika huku ukaishia kuajiriwa mshahara wa laki mbili mpaka 3,, kwa ulaya wataishia kubeba maboksi na udereva wa malori.

Ushauri wangu, hicho kisomo walichonacho wakafanye kazi za ndani uarabuni/ulaya watapata salary nzuli sana.
 
Halafu mtu Kaenda kusoma Degree ya accounting and auditing kuna kutoka gani HAPO?

Angeenda kusoma nuclear science au aeronautical engineering angalau mtu unasema kaenda kusoma atoboe.Ila degree ya Auditing and accounting !! Mmmm Vyuo vyetu mbona degree hizo zimejaa kibao
Nje kuna fursa na connection, plus exposure. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio ampeleke Ukraine kusoma Accounting and Auditing? Degree ya hadji ya chini.mno hata akienda soko la ajira aliyesoma hiyo degree Tanzania hadhi iko juu zaidi kuliko huyo wa ukraine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mitoto yao Inafeli shule inashindwa kuwa Adimited UDSM wanaipeleka Zion college za uturuki na Msoma utalii za uturuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu nyie jaman, akati huyo alisema UDSM haijui anaisikia tyuuh.
 
Co ukraine tuu,,hata marekani na nchi za ulaya waweza kusoma lakini ukafika huku ukaishia kuajiriwa mshahara wa laki mbili mpaka 3,, kwa ulaya wataishia kubeba maboksi na udereva wa malori.

Ushauri wangu, hicho kisomo walichonacho wakafanye kazi za ndani uarabuni/ulaya watapata salary nzuli sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie khaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu nyie jaman, akati huyo alisema UDSM haijui anaisikia tyuuh.
Kwa Mona bora alivoenda nje maana kwa hapa bongo angepata shida sana pale chuo wasingekaa kwa raha!sema tu kwa ufaulu wa Sonia angeenda hata Turkey au South Africa au Scandinavian Countries
 
i
Maisha hayaendi bila unafiki

Hata wewe leo umenafikiling somewhere bisha!!?[emoji2]
Kaka Sina muda wa kujieleza Sana kwako, utakachowaza kuhusu mimi kiwaze bila mipaka yoyote, wewe tu na uwezo wako wa kuwaza
 
Mtoto anauma jamani hapo hapo halai,halali ,hanyi wabongo mnamkashifu!
Mlongo nasimama na Monalisa[emoji28][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo kila kitu analeta mtandaoni, mie kaniuzi lugha ya mipasho, angeweka ktk mfumo mzuri, mbna mie niko upande wake.
 
Kwa Mona bora alivoenda nje maana kwa hapa bongo angepata shida sana pale chuo wasingekaa kwa raha!sema tu kwa ufaulu wa Sonia angeenda hata Turkey au South Africa au Scandinavian Countries
Yaan bora angeenda south Africa tyuuh.
 
UKIISHAMALIZA KUSOMA HUKO NJE, UNAAZA KAZI YA KUTAFUTA AJIRA!
 
Nje kuna fursa na connection, plus exposure. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukraine Kuna exposure? Si kila ulaya ni ulaya kweli, Kuna Ulaya mashariki huko ni kama upo africa
 
Ukraine Kuna exposure? Si kila ulaya ni ulaya kweli, Kuna Ulaya mashariki huko ni kama upo africa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wee watu hawajui hilo.
 
Global link imepeleka maelfu imewapeleka huko kusoma Vyuo ukraine

Wako watoto wa kitanzania maelfu huko
Hao Global link wafungwe miaka Saba jela. na viboko 12 siku wanaingia na 12 siku wanatoka.
 
Monalisa najua upo humu,kama mama ninaefahamu uchungu na thamani ya mtoto....viatu vyako havinitoshi Kabisaaaaa.. Nichukue fursa hii kukupa pole Sana endelea kumuomba Mungu katika roho na kweli.kwa Imani hakika ipo siku utamkumbatia mwanao.. .
 
Back
Top Bottom