Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Kumbe!!![emoji15]Binti mwenyewe alitamba hawezi somea chuo cha bongo hivyo wakatafuta cha nje chenye kumkubali fasta wasijepata aibu
Duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe!!![emoji15]Binti mwenyewe alitamba hawezi somea chuo cha bongo hivyo wakatafuta cha nje chenye kumkubali fasta wasijepata aibu
So uchumi wa mwanaume ni wako[emoji15]!?Na ukitoboa ndo wa Kwanza kuomba omba,,
Nilipataga sekeseke la kimaisha mwaka juzi bhana karibu watu wote wa karibu hawakutaka hata kunijua, walivyosikia nimepata mwanaume mwenye uchumi bomba baadhi yao walianza kujipendekeza na nilivyo mstaarabu niliwazawadia block wote sitaki mazoea
Monalisa kalileta hilo swala public ili iweje!?[emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo tuna PhD za unafiki acha kabisa,, hebu soma comments nyingi uone watu wanavyofurahia maumivu ya monalisa na bintiye,, halafu siku akifanikiwa hao hao utawaona watakavyoanza kulaani oooh tulimsaidia kupaza sauti ili mwanae apate msaaada mara tulimuombea,,, utumbo utumbo tu mxiiiieeeew
Akaongeaa ma PUTIN sisi hatuna cha kusaidiaKwahiyo?[emoji849]
Kwahio Sonia nae itabidi apewe Gun ili apambanie life lake😎Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.
Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.
Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.
Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.
Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.
Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.
Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.
Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.
Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?
Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.
Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.
Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.
Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
[emoji23][emoji23]CODAongee vizuri na sisi, mm na vijana wangu tukafanye extraction behind the enemy lines
Sio wangu ni wako teh!So uchumi wa mwanaume ni wako[emoji15]!?
Aisee
Wabongo tunajuana kwa unafiki,,Monalisa kalileta hilo swala public ili iweje!?
Ukishaleta kitu in public kuwa tayari kupokea yote.
Kama huwezi matatizo yako maliza mwenyewe kila mtu ana matatizo yake!?
So wakati mwingine walimwengu hawana baya inategemea na wewe umejiweka katika position gani
Unaweza watu wanakuchukia kumbe unajishtukia tu[emoji2]
Baada ya Urusi kuonyesha nia ya dhati kabisa ya kuishambulia Ukraine, mataifa mengi Duniani yalichukua hatua za kuwarudisha raia wake nyumbani.
Wale ambao hawakuwa na nauli Serikali zao ziliwatumia nauli.
Na baadhi ya nchi kama Israel na Germany walituma ndege kabisa kubeba raia wao.
Wakati hayo yakijiri, Tanzania ilikuwa kimya utadhani hakuna mtanzania yoyote Ukraine.
Baada ya Urusi kutangaza kuyatambua majimbo ya Donetsk,Donbass na Lugansk yaliyoasi kutoka Ukraine na kujitangaza Jamhuri,ndipo Serikali ya Tanzania ilipotoa ushauri tu,na siyo msaada kuwataka Watanzania waliopo Ukraine warudi nyumbani.
Yaani ni ushauri tu,na si kwamba Serikali haikujua kwamba ni lazima vita iwepo, hapana, Serikali ilijua yote kuwa vita ipo kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi ktk uso wa Dunia.
Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.
Mmoja Kati ya Watanzania wenye majonzi na hili janga la Ukraine ni msanii wa Bongo movie,Monalisa, anadai kwamba amepoteza mawasiliano na Bintiye anayesoma Ukraine na hajui hatima yake hadi sasa hivi.
Kulikuwa na ugumu gani Serikali kuchukua hatua mapema za kuokoa watu wake kwa gharama yoyote ile?
Huwa tukisema kwamba Serikali ya CCM imechoka na imechakaa kifikra na kiutendaji tunaonekana watu wabaya sana.
Tuendako tutaongea lugha moja,sasa hivi mipaka ya Ukraine imefungwa,na anga limefungwa, hairuhusiwi ndege yoyote ya kiraia kuruka kwenye anga la la Ukraine.
Rais wa Ukraine amewataka raia wote kwenda kwenye kambi za kijeshi kuchukua silaha za kujihami.
Hatima ya Watanzania waliopo Ukraine hadi sasa haijulikani itakuwaje.
Huyu dogo alijibu dharau sana kwamba hawezi kusomea hapa Tanzania anajua vyuo viwili tu . IFM na UDSM. hivyo mama yake hawezi kumsomesha bongo chuo. Cha kushangaza huko anasomeshwa na Global Kwa mkataba maalumu. View attachment 2133368
hawapo watanzania wengine wanosomesha watoto huko ukraine au ni huyu msanii tuMuigizaji mkongwe wa Bongo Muvi, Monalisa ameelezea jinsi ambavyo mgogoro wa Urusi na Ukraine unavyompa hofu kwa kuwa mwanaye yupo nchini Ukraine.
Rais wa Urusi, Vladimir Putin alitangaza kuanza oparesheni ya kijeshi katika baadhi ya maeneo ya Ukraine baada ya mvutano wa muda mrefu baina ya mataifa hayo mawili.
Monalisa ameandika: “Tumbo linanicheza kama mzazi. Ukraine! Hakuna ndege, nampataje mwanangu? Mungu wasimamie watoto wetu.”
Ameandika maandishi hayo katika ukurasa wake wa Instagram akiambatanisha na picha moja ikionyesha moto katika moja ya maeneo inayodhaniwa kuwa ni Ukraine.
Binti huyo, Sonia inaelezwa kuwa anasoma katika Chuo Kikuu cha Sumy State kilichopo katika Mji wa Sumy akisomea kozi ya Uhasibu na Ukaguzi (Accounting and Auditing) kwa kipindi cha miaka minne.
Sonia mwenyewe aliwahi kunukuliwa akisema: "Sababu ya kuchagua kwenda kusoma nchi hiyo ni kwanza wametutangulia kiteknolojia kwa hiyo tunapoenda huko kusoma tunaweza hamisha teknolojia kwa njia ya elimu kuja hapa Tanzania.
"Kitu kingine Ukraine na Urusi ni nchi ambazo zina fursa nyingi za utalii hivyo tunavyoenda huko kusoma ni nafasi yetu kuwaambia Tanzania kuna nafasi nyingi za Uwekezaji, kuna Mlima Kilimanjaro, Tanzanite na mengine mengi ambayo Tanzania tunajivunia," amesema Sonia.
View attachment 2129730
View attachment 2129731
wazazi wengine wanajua tu ulaya na marekani hawajui historia vizuri za huko dunianiKuna Nchi nyingine wazazi waangalie kupeleka watoto Nchi imekaa kimapigano unampelekaje mtoto,Mungu amsaidie
🙆🥱Hapo msisitizo wa mama ni mtoto akasomee mbele.
Ili ibakie history kuwa mtoto alisoma mbele.
Ameenda kusomea Accounts ..
Kuna mtu alienda Russia akasomea Tourism..mwaka wa sita anamaliza hata Interview moja hajawahi itwa.
Ni vizuri Wazazi wakawa wanashauriwa vizuri nini mtoto akasome huko nje, otherwise Tanzani we have the best Universities
Sifa kwenda kusoma nje,wee hujui hilo hata kukaa nje lakini unapata shida na tabu ni poa tuu🤣🤣🤣Tatizo la watanzania wengi hua wanadhani kila nchi ya huko ulaya ni nzuri na mtu akisoma huko atapata elimu nzuri.
Hawajui kuna nchi za ulaya ambazo ni za hovyo kuliko hata tz na kuliko kwenda huko bora kubaki tu hapa hapa.
AiseeUkraine ni masikini mno yaani unemployment rate ni kubwa mno na lugha yao inawafanya wawe masikini zaidi.
Huyo binti atakuwa anajiuza tu kwenye night club.