Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Na ukitoboa ndo wa Kwanza kuomba omba,,

Nilipataga sekeseke la kimaisha mwaka juzi bhana karibu watu wote wa karibu hawakutaka hata kunijua, walivyosikia nimepata mwanaume mwenye uchumi bomba baadhi yao walianza kujipendekeza na nilivyo mstaarabu niliwazawadia block wote sitaki mazoea
Ukimjulia mtanzania hupati shida...wewe kuwa bandidu mwanzo mwisho unacho au huna...usitake mazoea ya karibu kabisa!

Safi sana uliwakomesha, sipati picha wanavyosema now kuwa unariingaa[emoji1787][emoji1787]
 
Anataka publicity tu huyo. Kwani nani aliye mpeleka huyo mtoto kusomea ACCOUNTANCY huko Ukraine? Aliyempeleka ndio ana wajibu wa kumrudisha ikibidi!! Uhasibu gani huko Ukraine ambao haufundukshiki hapa Bongo?
[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38]asee
 
Wabongo nawagawa buree, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16458561752597039.jpg
 
Ukimjulia mtanzania hupati shida...wewe kuwa bandidu mwanzo mwisho unacho au huna...usitake mazoea ya karibu kabisa!

Safi sana uliwakomesha, sipati picha wanavyosema now kuwa unariingaa[emoji1787][emoji1787]
😂😂😂Wanaongea sana, na wala havinishtui, na nina maringo kweli hata sijivungi,, 😂😂😂
 
Huu uzi umejaa comment za chuki na comment za kike kike. Hio inamaanisha wanaocoment chuki ni wanawake wenzake pengine wana hata watoto.

Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe siku zote, vile vile adui wa jamii ni mwanamke pia. Mambo mengi yanafail unapoanza kushirikisha wanawake au wanaume wenye fikra za kikekike.

Hio ni wazi toka dunia iumbwe. Na wanaodai 50/50 kwangu huwa nawaona ni vinyaaa na vichaa tu. The natural order ni mwanamke kuwa submissive.

Mtu mwenye akili timamu hawezi mkandia monalisa sshv, ukiangalia watu wanavyounguzwa kule na mabomu bado kweli una ujasiri wa kuja kuropoka shit hapa.

Zamani tuliaminishwa mwanamke ni kiumbe chenye huruma ila kwa experience yangu wanawake ni makatili saaaana.

NOTE: Dem yyt(plus cocastic) asiniquote sibishani na sindiria.
 
Huu uzi umejaa comment za chuki na comment za kike kike. Hio inamaanisha wanaocoment chuki ni wanawake wenzake pengine wana hata watoto.

Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe siku zote, vile vile adui wa jamii ni mwanamke pia. Mambo mengi yanafail unapoanza kushirikisha wanawake au wanaume wenye fikra za kikekike. Hio ni wazi toka dunia iumbwe. Na wanaodai 50/50 kwangu huwa nawaona ni vinyaaa na vichaa tu. The natural order ni mwanamke kuwa submissive.

Mtu mwenye akili timamu hawezi mkandia monalisa sshv, ukiangalia watu wanavyounguzwa kule na mabomu bado kweli una ujasiri wa kuja kuropoka shit hapa.

Zamani tuliaminishwa mwanamke ni kiumbe chenye huruma ila kwa experience yangu wanawake ni makatili saaaana.

NOTE: Dem yyt(plus cocastic) asiniquote sibishani na sindiria.
[emoji16][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]kaka looh!hao wanaume wenye fikra za kike ndo taabu sasa!
 
Huyu dogo alijibu dharau sana kwamba hawezi kusomea hapa Tanzania anajua vyuo viwili tu . IFM na UDSM. hivyo mama yake hawezi kumsomesha bongo chuo. Cha kushangaza huko anasomeshwa na Global Kwa mkataba maalumu.
 
Back
Top Bottom