witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Ukimjulia mtanzania hupati shida...wewe kuwa bandidu mwanzo mwisho unacho au huna...usitake mazoea ya karibu kabisa!Na ukitoboa ndo wa Kwanza kuomba omba,,
Nilipataga sekeseke la kimaisha mwaka juzi bhana karibu watu wote wa karibu hawakutaka hata kunijua, walivyosikia nimepata mwanaume mwenye uchumi bomba baadhi yao walianza kujipendekeza na nilivyo mstaarabu niliwazawadia block wote sitaki mazoea
Safi sana uliwakomesha, sipati picha wanavyosema now kuwa unariingaa[emoji1787][emoji1787]