Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Sisi tu tulio hapa wanatutafutia sababu watuue wabaki pekee yao na familia zao waitafune nchi vizuri mbwa hawa.

Sasa balozi kauchuna chuuuh hata kutoa tamko kwa raia wa Tanzania kujihadhari na kinachoendelea huko wamekaa kimya.
Noma sana!
 
Ukraine ni masikini mno yaani unemployment rate ni kubwa mno na lugha yao inawafanya wawe masikini zaidi. Huyo binti atakuwa anajiuza tu kwenye night club.
Tatizo la watanzania wengi hua wanadhani kila nchi ya huko ulaya ni nzuri na mtu akisoma huko atapata elimu nzuri.

Hawajui kuna nchi za ulaya ambazo ni za hovyo kuliko hata tz na kuliko kwenda huko bora kubaki tu hapa hapa.
 
Nikiangalia biti la Putin.


Harafu na kuona msafara huu


Nawaonea huruma waliopo huko
 
[emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tuko na vijana hapa wanapasha pasha tunasubiri order [emoji2][emoji2]

Tunaondoka na F-16 FF saa9 tunashukia Mount Hora Parashka
mpaka saa3 asubuhi tuko JKIA ...
 
Hii nchi sijui nani katufikisha hapa yaani ukipatwa na tatizo halafu uwe na kipato cha kati walau aisee ni uadui na wasio nacho. Kwa mzazi lazima apate presha juu ya mwanae. Ila ndo ivo tena ujumbe umeangukia JF yataka moyo!
Mona lisa come down
 
Humu Kuna comments za chuki....watanzania wana wivu asee!

Mtu asitoboe, atakoma siku akipata tatizo!

Kuna hadi wanaowish huyo mtoto apotee kabisa waseme si tulikuambia we monalisa, kiko wapi sasa[emoji26][emoji26] so sad
Na ukitoboa ndo wa Kwanza kuomba omba,,

Nilipataga sekeseke la kimaisha mwaka juzi bhana karibu watu wote wa karibu hawakutaka hata kunijua, walivyosikia nimepata mwanaume mwenye uchumi bomba baadhi yao walianza kujipendekeza na nilivyo mstaarabu niliwazawadia block wote sitaki mazoea
 
Kwahiyo dada yangu mpendwa Monalisa instagram ndo kimbilio lako. Nenda wizara ya mambo ya nje au piga simu ubalozini. Huko insta hakuna issue zaidi ya kuzodolewa.
 
Back
Top Bottom