monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!Ukraine ni masikini mno yaani unemployment rate ni kubwa mno na lugha yao inawafanya wawe masikini zaidi. Huyo binti atakuwa anajiuza tu kwenye night club.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Ukraine ni masikini mno yaani unemployment rate ni kubwa mno na lugha yao inawafanya wawe masikini zaidi. Huyo binti atakuwa anajiuza tu kwenye night club.
Noma sana!Sisi tu tulio hapa wanatutafutia sababu watuue wabaki pekee yao na familia zao waitafune nchi vizuri mbwa hawa.
Sasa balozi kauchuna chuuuh hata kutoa tamko kwa raia wa Tanzania kujihadhari na kinachoendelea huko wamekaa kimya.
Tatizo la watanzania wengi hua wanadhani kila nchi ya huko ulaya ni nzuri na mtu akisoma huko atapata elimu nzuri.Ukraine ni masikini mno yaani unemployment rate ni kubwa mno na lugha yao inawafanya wawe masikini zaidi. Huyo binti atakuwa anajiuza tu kwenye night club.
🤭🤭😂😂😂😁😁🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂aongee vizuri na sisi, mm na vijana wangu tukafanye extraction behind the enemy lines
tuko na vijana hapa wanapasha pasha tunasubiri order [emoji2][emoji2][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbele ni wap???Hapo msisitizo wa mama ni mtoto akasomee mbele. Ili ibakie history kuwa mtoto alisoma mbele.
Mona lisa come downHii nchi sijui nani katufikisha hapa yaani ukipatwa na tatizo halafu uwe na kipato cha kati walau aisee ni uadui na wasio nacho. Kwa mzazi lazima apate presha juu ya mwanae. Ila ndo ivo tena ujumbe umeangukia JF yataka moyo!
Pole sana keyboard worriertuko na vijana hapa wanapasha pasha tunasubiri order [emoji2][emoji2]
Tunaondoka na F-16 FF saa9 tunashukia Mount Hora Parashka
mpaka saa3 asubuhi tuko JKIA ...
😜😜Mona lisa come down
HR?Mimi pia nimeshangaa ameacha mtafutia mtoto masomo ya ICT, udaktari, au hata HR management anamchagulia accounting ambayo sisi tz tunawahitimu hadi tunataka kuwafukuza nchi za nje.
Na ukitoboa ndo wa Kwanza kuomba omba,,Humu Kuna comments za chuki....watanzania wana wivu asee!
Mtu asitoboe, atakoma siku akipata tatizo!
Kuna hadi wanaowish huyo mtoto apotee kabisa waseme si tulikuambia we monalisa, kiko wapi sasa[emoji26][emoji26] so sad
Maisha usiyachukulie serious sana Braza utaumia kichwaPole sana keyboard worrier
Inasikitisha sana aisee, tumefikikia hatua ya juu sana katika uloziHumu Kuna comments za chuki....watanzania wana wivu asee!
Mtu asitoboe, atakoma siku akipata tatizo!
Kuna hadi wanaowish huyo mtoto apotee kabisa waseme si tulikuambia we monalisa, kiko wapi sasa[emoji26][emoji26] so sad
Nashangaa.Suala sensitive kama hili.unapata wapi nguvu ya kuongea na media ama mitandao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atajua Mwenyewe, Si Angempeleka THE AMAZON COLLEGE Mbagala, Chuo Bora Kabisa.
Hela anayo sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si akamchukue asituchoshe.