wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Motivational speakers mmeanza SasaUkistaafu nn? Bill gate ana miaka 66 haafikirii neno kustaafu, bilionea namba 5 duniani warren buffet ana miaka 90 hajui neno kustaafu lipoje.
Huku Mwalimu wa Shule ya Msingi Majengo anakuambia akistaafu..............
Nimependa ulivyo ielezea hii mada na umechambua vizuri ina make sense sana na inafanya mtu ambae hajafika morogoro kutamani kufika.Ndio Mkoa wenye wahamiaji wengi baada ya DSM.
Mikoa mingine wamejaa wazawa.
Kitendo cha watu wengi kuhamia Mkoa Fulani ni moja ya viashiria kuwa Mkoa huo ni mzuri katika Nyanja mbalimbali za maisha
Moro hapafai. Nani aje augue typhoid ? Hapo panawafaa watu wasio na namna ya kuishi mikoa ya maana.Mwaka wa 7 huu nipo morogoro na sijawahi kuugua huo ugonjwa, kuugua huo ugonjwa ni umakini wako tu wa kutumia maji, karibu moro, niko Kola
uko sahihi, na fanya vyote ila usizae na binti wa kilugulu hawana akili hao japo mapenzi wanajua na unaweza ukachakata mbususu familia nzima kuanzia mama, dada, wadogo zake,yeye na ndugu zake kama wapo.Ukikaa na kijana wa dar na Morogoro, walichotofautiana ni location, ukikaa na mluguru na mzaramo walichotofautiana ni ukulima na uchakarikaji wa waluguru Ila vingine vyote ni sawa. Yaani nikimtoa mzaramo sijaona kabila lingine wanapenda ngoma kuliko waluguru, msimu wa mavuno hata birthday ya mtoto wataitisha ngoma ikeshe [emoji16][emoji16]
Pia ndiyo mkoa pekee ambao watu wake wanadanganyika kirahsi mno, maji ni changamoto kubwa aeneo mengi ya mji, Kasanga, Lukobe, Lukuyu, Mkundi, Makunganya, Kihonda, Azimio, Kitungwa Tubuyu, Nanenane, n.k huko kote hakuna maji!
Ukipita maeneo ya mafiga, Chamwino, Mazimbu, Misufini, Kingo huko maji yanatoka kwa wiki haizidi mara tatu!
Ni eneo mji uliolala sana kisiasa, ni manispaa pekee ambayo mpaka leo pamoja changamoto zote hizo za maji na miundombinu mibovu ya Barabara ila mbunge wanayemjua ni mmoja tu, ABOOD!
Baraza la madiwani kwa miaka yote, limejaa CCM pekee, hii imerahisha ufujaji mkubwa wa pesa za walipa kodi kwa kujipigia wanavyotaka!
Wanachofurahia kutoka kwa mbunge wao ni Gari (bus) ya kuzikia wanapokufa, hapo wanakenua meno yote nje, na kuona ameajali sanaaa!
Kwa habari ya chakula nakubaliana na wewe kabisa, Morogoro ni pazuri...
Human is a last Born in God's creation [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji137]umeona hilo tu la mademu?Napapenda zaidi Morogoro kwa kuwa hata kupatikana kwa Mademu wa 'Kuwabandua' ni rahisi kuliko Mikoa mingine TZA.
Moro ndio ilitakiwa iwe Capital City sio kule kwenye vumbi na tracomaView attachment 2275601hii milima sijawahi kuichoka,Kila nikija Moro hua nashangaa upya na kua appreciate uumbaaji wa mungu..it's relaxing and the serenity in these mountain is breathtaking
Unazungumzia sifa za Karatu na Mbulu sasa, huko ndo Kuna wale wa kuvuta tuNapapenda zaidi Morogoro kwa kuwa hata kupatikana kwa Mademu wa 'Kuwabandua' ni rahisi kuliko Mikoa mingine TZA.
[emoji1787]Mpaka bona !!
MUM ndio pale MsamvuMkuu chimbo lako nalijua.. ni SUA Main campus na Mazimbu.. Mademu wa MUM pia japo wanajifanya dinidini sana Ila nao wanalika tu
Huko kuna mbu na mafurikoBila kutusahau uku IFAKARA maisha ni safi sana ila iyo point ya kwanza Sio kweli mfano saivi ni kipindi cha baridi ila kikiisha joto lake ni kama moto wa gesi...
Dodoma Mbeya,Iringa na ArushaUkiachana na Dar kuna mkoa gani mwingine hapa Tz una vyuo vya maana hata viwili tu!?
RubbishMoro ndio ilitakiwa iwe Capital City sio kule kwenye vumbi na tracoma