Moshi: Mahakama yamuachia huru Wendy Mrema aliyetuhumiwa kumuua mama yake mzazi na kumzika

Moshi: Mahakama yamuachia huru Wendy Mrema aliyetuhumiwa kumuua mama yake mzazi na kumzika

Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imemuachia huru Wendi Mrema aliyekuwa akituhumiwa kumuua mama yake mzazi.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu, Naomi Mwirinde, leo Agosti 19, 2022 baada ya upande wa mashitaka kuwasilisha maombi ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.


Pia soma: Moshi: Anayetuhumiwa kumuua mama yake kwa panga afikishwa mahakamani

Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja
Mahakama na majaji na mahakimu pamoja na mawakili tz ni team wahuni Pascal Mayalla hua anabisha
 
  • Polisi walisema wanakamilishha upelelezi
  • Wakakamilisha upelelezi, wakasema mtuhumiwa amekili kuhusika
  • Akafikishwa mahamani
  • Nini kinamfanya mwendesha mashtaka aseme hana nia ya kundelea na kesi kama mhusika alikili kutenda kosa?
Tatizo ni kuwa polisi wetu hawaaminiki, wanasema uongo, hawana weledi kwenye upelelezi, yaani ni hovyo kabisa. Hivyo basi hayo maelezo ya mwanzo unaweza kukuta waliyatunga au walitumia kipigo ikabidi mtoto akiri wakati hana kosa. Pia inawezekana walihisi tu na hawana ushahidi. Au kuna hongo imetumika. Kwenye maelezo wanasema mama ni mtanzania mwenye asili ya kijerumani. Je, huyo marehemu ana ndugu wowote wanaoweza kufuatilia? All in all. Inahitaji uchunguzi wa kina. Tatizo Tanzania hakuna media zenye waandishi wenye weledi. BTW ni kukiri na siyo kukili!
 
Maigwa alifafanua: “Desemba 20, mwaka jana, majirani zake walikuja Polisi kutoa taarifa za shaka kwamba huenda Patricia aliuawa miezi 10 iliyopita. Tulianza uchunguzi ikiwamo kukusanya vielelezo na tulifanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa hao ambao walienda kuonyesha walipouficha mwili wa marehemu.
Sasa tuamini lipi? Alieonyesha mwili na mtoto au hao wengine?
 
Kesi ya kuuwa siyo tena ya Jamuhuri vs muuwaji

Naomba kueleweshwa
Yani upande wa pili wakikosa interest kesi inaisha??
 
Tatizo ni kuwa polisi wetu hawaaminiki, wanasema uongo, hawana weledi kwenye upelelezi, yaani ni hovyo kabisa. Hivyo basi hayo maelezo ya mwanzo unaweza kukuta waliyatunga au walitumia kipigo
Ili waonekane wanafanya kazi
 
Aliyeamua sio hakimu...ni serikali iliyosema haina nia ya kuendelea na kesi.
Kama ilivyofanya kwa Mbowe, kuna msukumo ulitokea kwa nyuma, very likely na hii imekaa hivyo
 
Back
Top Bottom