Mahakama na majaji na mahakimu pamoja na mawakili tz ni team wahuni Pascal Mayalla hua anabishaMahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imemuachia huru Wendi Mrema aliyekuwa akituhumiwa kumuua mama yake mzazi.
Uamuzi huo umetolewa na Hakimu, Naomi Mwirinde, leo Agosti 19, 2022 baada ya upande wa mashitaka kuwasilisha maombi ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.
Pia soma: Moshi: Anayetuhumiwa kumuua mama yake kwa panga afikishwa mahakamani
Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja
Mtoto akiwa wa pekee anakuwa na haki ya kusamehewa anapoua mzazi kwa tamaa ya fedha? Kweli akili ni nywele, kila mtu ana zake.Hao wawili ni mtoto na mama yake mzazi si mtu baki, mama kafa kisha unamnyonga mtoto na huenda alikuwa huyohuyo mmoja!
Tatizo ni kuwa polisi wetu hawaaminiki, wanasema uongo, hawana weledi kwenye upelelezi, yaani ni hovyo kabisa. Hivyo basi hayo maelezo ya mwanzo unaweza kukuta waliyatunga au walitumia kipigo ikabidi mtoto akiri wakati hana kosa. Pia inawezekana walihisi tu na hawana ushahidi. Au kuna hongo imetumika. Kwenye maelezo wanasema mama ni mtanzania mwenye asili ya kijerumani. Je, huyo marehemu ana ndugu wowote wanaoweza kufuatilia? All in all. Inahitaji uchunguzi wa kina. Tatizo Tanzania hakuna media zenye waandishi wenye weledi. BTW ni kukiri na siyo kukili!
- Polisi walisema wanakamilishha upelelezi
- Wakakamilisha upelelezi, wakasema mtuhumiwa amekili kuhusika
- Akafikishwa mahamani
- Nini kinamfanya mwendesha mashtaka aseme hana nia ya kundelea na kesi kama mhusika alikili kutenda kosa?
Mkuu Kesi ya mauaji ninya ndugu au jamhuri?Ndugu wameona tumeshapoteza hakuna haja ya kuendelea kupoteza ni bora2 tusamehane arudi uraiani Mungu ndye atahukumu
Kuna kitu kitu sawa.sasa jamhuri imekwaje tena Ione haja wasiendelee na kesi? Hata wangezuga kwanza kwa miaka kadhaa siyo wazi wazi hivi
Mungu atahukumu au warudi wagawane mali.Ndugu wameona tumeshapoteza hakuna haja ya kuendelea kupoteza ni bora2 tusamehane arudi uraiani Mungu ndye atahukumu
Ni muhimu kutoa funzo kwa wengine, uoga ukiondoka unajua kitakachotokea?Alishakufa wamsamehe tu hakuna asiyetenda dhambi
Wanasema "aliyekufa kafa"Hakimu atakuwa kapokea fungu lake au nini kimetokea?
Kweli marehemu hana haki nchi hii.
Sasa tuamini lipi? Alieonyesha mwili na mtoto au hao wengine?Maigwa alifafanua: “Desemba 20, mwaka jana, majirani zake walikuja Polisi kutoa taarifa za shaka kwamba huenda Patricia aliuawa miezi 10 iliyopita. Tulianza uchunguzi ikiwamo kukusanya vielelezo na tulifanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa hao ambao walienda kuonyesha walipouficha mwili wa marehemu.
Madai hayo ya tamaa ya fedha hakuyasema yeye, watu walidhani tu.Mtoto akiwa wa pekee anakuwa na haki ya kusamehewa anapoua mzazi kwa tamaa ya fedha? Kweli akili ni nywele, kila mtu ana zake.
Usiandike kama umefanya uchunguzi na kujua ukweli. Hoja iko pale pale: mtoto akiwa wa pekee na akiua mzazi kwa kudhamiria, asamehewe?Madai hayo ya tamaa ya fedha hakuyasema yeye, watu walidhani tu.
Asante kwa kuthibitisha kuwa alidhamilia jambo ambalo polisi walishindwa.Usiandike kama umefanya uchunguzi na kujua ukweli. Hoja iko pale pale: mtoto akiwa wa pekee na akiua mzazi kwa kudhamiria, asamehewe?
Aliyeamua sio hakimu...ni serikali iliyosema haina nia ya kuendelea na kesi.Hakimu atakuwa kapokea fungu lake au nini kimetokea?
Kweli marehemu hana haki nchi hii.
Ili waonekane wanafanya kaziTatizo ni kuwa polisi wetu hawaaminiki, wanasema uongo, hawana weledi kwenye upelelezi, yaani ni hovyo kabisa. Hivyo basi hayo maelezo ya mwanzo unaweza kukuta waliyatunga au walitumia kipigo
Kama ilivyofanya kwa Mbowe, kuna msukumo ulitokea kwa nyuma, very likely na hii imekaa hivyoAliyeamua sio hakimu...ni serikali iliyosema haina nia ya kuendelea na kesi.
Walikuwa wawili yeye na broo wake(twins)Hao wawili ni mtoto na mama yake mzazi si mtu baki, mama kafa kisha unamnyonga mtoto na huenda alikuwa huyohuyo mmoja!