Moshi: Meya Juma Raibu ang'olewa kwa kupigiwa kura za kutokuwa na imani naye

Moshi: Meya Juma Raibu ang'olewa kwa kupigiwa kura za kutokuwa na imani naye

Haha vieitee ya halmashauri ile.

Kuna video utaona anasepeshwa na pikipiki baada ya kukabidhi vieitee [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeona hiyo video, mie nikajua zile ni zao, ko hata hawaa wakurugenzi sio zao?

Afu mbna km kakonda ghafla lol.
 
Ina maana hizo Sherehe zilikuwa Rasmi ni kwa ajili ya mashoga? Yeye alihudhuria kama Top ama Bottom?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Awali akisoma taarifa ya timu ya uchunguzi ya Mkoa, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai, Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Rashid Gembe, amesema Meya huyo, Juma Raibu, alikuwa akikabiliwa na tuhuma mbalimbali zilizowasilishwa na madiwani wapatao 20.
Rangi yake ni kama alipata kuishi Lamu, Pate na Mombasa, anyway huo uchunguzi ulikwenda kina zaidi na kutazama kama hajawahi kutumia lubricant!!?
 
Waende wakaudhurie naye hizo sherehe za mashoga.

Kaja na vietee kaondoka na boda-boda [emoji23]
MARA NYINGI HUWA NAMUONA AKITUMIA PRADO NEW MODEL AU TOYOTA ALPHAD NDIO UNAKUTA YAMEPAKI PALE MANIISPAA ENEO LA PARKING YA MAYOR. V8 NI MKURUGENZI WA MANISPAANDIO ANALITUMIA.
 
Back
Top Bottom