Moshi: Meya Juma Raibu ang'olewa kwa kupigiwa kura za kutokuwa na imani naye

Moshi: Meya Juma Raibu ang'olewa kwa kupigiwa kura za kutokuwa na imani naye

MARA NYINGI HUWA NAMUONA AKITUMIA PRADO NEW MODEL AU TOYOTA ALPHAD NDIO UNAKUTA YAMEPAKI PALE MANIISPAA ENEO LA PARKING YA MAYOR. V8 NI MKURUGENZI WA MANISPAANDIO ANALITUMIA.
Sasa leo eneo la tukio mbele ya kamera kaondoka kwa bodaboda uso ukitazama chini na hata kama alienda nyumbani kufata Alphard akija nayo kesho hatutakuwepo na pia camera tumeshazima tunabaki na image ya boda-boda.
 
Sasa leo eneo la tukio mbele ya kamera kaondoka kwa bodaboda uso ukitazama chini na hata kama alienda nyumbani kufata Alphard akija nayo kesho hatutakuwepo na pia camera tumeshazima tunabaki na image ya boda-boda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee ni mkorofii uwiiiiih
 
Ulaya Tunaelewa Mashoga Wamejaa....Ukikatiza Miji Ya Brussel, London, Amsterdam Wapo Tele Sio Jambo La Kushangaza..!

Kitu ambacho Sijaelewa.... Yaani Mji Wa Moshi Kuna Mashoga..! Yaani Mashoga Wameshafika Moshi?

Tujiulize Kina nani Wamewaleta?
 
Ukipitia baadhi ya comments unaanza kuona kabisa kwamba taratibu swala la ushoga linaanza kukubalika na wengi wa wachangiaji. Huoni kabisa ule ukali wa watu kukemea hili swala, ni kama vile limeshawaingia watu na sasa linaanza kuonekana jambo la kawaida.

Kwa mwenendo huu naona ndani ya miaka 5 - 10 ijayo kibao kitawageuka wale wanaopinga ushoga ndio wataanza kuonekana watu wa ajabu! Niwapongeze wazungu kwakweli hawa jamaa wakidhamiria ku push agenda ni lazima itafanikiwa tu sooner or later.. 😥
 
Huyu enzi za Jiwe alikuwa sawa na Sabaya na ni marafiki wakubwa.
Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jingine, watanyooshwa wote
 
21 April 2022
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania

Madiwani 41 mkoani Kilimanjaro waandika barua ya kumkataa mkurugenzi



Madiwani 41wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wameandika barua ya kumkataa mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Kastory Msigala wakimtuhumu kutumia maamizi binafsi kupitisha baadhi ya miradi ya maendeleo katika Halmashauri hiyo. Madiwani hao ambao waliandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuwasilisha barua yao, wanalalamikia ukusanyaji wa mapato hafifu kutokana na utendaji usio shirikishi wa Mkurugenzi huyo pamoja, utolewaji wa maamuzi ya utekelezaji wa miradi bila kushirikisha kamati ya fedha na baraza la madiwani.

Source : mwananchi digital
 
Back
Top Bottom