Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Natamani ningekuwa mwalimu wa mwanao
 
Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Mwalimu hajasomea kudeki amesomea kufundisha wanafunzi yaani transfer of knowledge. Achaga daharau kabisa . Kwa Tanzania wanafunzi ndio hudeki madarasa.
 
Mmxieeeeeeeeww!

Umenza bange zako uduguuu!
 
Ndiyo kielelezo
 
waalimu wanapiga sana watoto, hata mimi kuna mtoto alishawai pigwa vibaya sana na mwalimu, na niliwapatia shida sana wale walimu na shule nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…