Hivi vyuoni wanadeki? Kwanini wanafunzi wadeki, vijijini wanalimishwa hadi mashamba ya shule na walimuKumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Ni vizr hili la walimu wafanye usafi lifanyike Ni Kweli wanalipwa na serekaliAngenikuta mimi hakika angejuta huyo mama ningemung'oa taya right away, wazazi wabadilike, shule zinaendeshwa kwa utaratibu na kufuata sheria za nchi, mimi kumchapa mtoto naruhusiwa baada ya kupewa idhini na mkuu wa shule, ambapo viboko visizidi vitatu kwa kila kosa.
Pili wazazi watambue kuwa shule ni sehemu salama kwa mtoto kujifunza mitaala ya ziada,mfano kulima,kufanya usafi na kumfanya mtoto ajue mazingira ya kujitegemea,sasa chukulia mtoto nyumbani kazi zote zinafanywa na house girl ,je yeye atajua lini haya majukumu!?
Kingine naona baadhi ya member wanaraumu mtoto kufanyishwa usafi hasa huyu member FaizaFoxy na Islam005 sasa kwa akili ya kawaida mwalimu ndo afanye usafi mazingira ya shule!? Shule zetu za serikali zinajulikana ni supana mkononi,kama hutaki mtoto afanyishwe kazi peleka shule za kulipia kama feza.
Mkuu mwalimu ameajiliwa kufundisha na kusimamia,sio kufanya kazi za shuleni ,yaani mwalimu adeki madarasa na asafishe vyoo vya wanafunzi!? Mbona Tanzania ni pana sana ukiona mwanao hawezi fanya haya peleka shule za kulipia,ambako mtoto wako atafuliwa hadi chupiNi vizr hili la walimu wafanye usafi lifanyike Ni Kweli wanalipwa na serekali
Mimi nimesoma msingi 80s mwishoni na 90s mwanzoni kipindi changu watoto tulikuwa watukutu kweli kweli(mara zote watoto ni watukutu hata wa sasa) lakini tulinyooshwa kwa ushirikiano wa wazazi na walimu.Mwalimu mbona unamkingia sana kifuabmwalimu mwenzio? Yani kamchapa fimbo? Kweli mwalimu huu ndio ukweli?
Hata hivyo acha wazazi tulinde watoto wetu maana tunaona namna mnawashambulia wanetu huku mkiwarekodi na kutuonyesha mtandaoni.
Popote ulipo mzazi mlinde mwanao kwa gharama yoyote walimu wa leo vijanavijana hawa sio watu sahihi kwa usalama wa watoto wetu mambo yamebadilika sana.
hata huko private sideki aisee! Eti nimeajiriwa private nafundisha wanafunzi na kudeki nideki! Bora nikakifungie cheti changu cha ualimu sandukuni niingie mtaani kusaka mafanikio kwa nguvu na akili zangu za asili kuliko fedheha ya kulipwa mshahara dhalili, ujinga huo niliukataaKayumba ni sawa
Acheni kupiga watoto wa watu la sivyo mtapigwa sanaHali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.
Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo Kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.
Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.
Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
Mie siwatetei watoto watovu wa nizamu, lkn adhabu za walimu lzm ziendane na umri wa mtoto na ziwe na kipimo. Kuna walimu wengine ni washenzi sana! Unamtandika mtoto mpaka anashindwa kutembea. Hasira za maisha Yao magumu wanamalizia kwa watoto. Adhabu ni muhimu lkn ziwe na kipimoVizuri sana ilibidi huyo Mwalimu angepokea kipigo Cha kulazwa ICU ili liwe funzo. Hapo usikute mtoto alipigwa na makofi kabisa ndio mzazi akaamua kwenda kumtoa damu huyo mjinga.
Walimu jifunzeni busara, wazazi wamechafukwa Sasa na watoto wanapatikana Kwa shida sana, Kwa Sasa sio Kila mwanamke au mwanamme anaweza kuzaa au kuzalisha na unakuta mtoto kapatikana Kwa mitishamba na shida kibao halafu linatokea jinga linampiga ovyo aisee mtakuja kuuliwa maofisini
nilikuta kuna utaratibu wa kupikiwa chai na msosi wa mchana na wanafunzi wa kike wale wakubwawakubwa. Mbona ni kawaida sana wanafunzi kupikia chai walimu staff? Ila chai yangu ilikuwa ya nyumbani sio ya ofisini. We usingeniweza ningekubamiza mbali. Fahamu kuwa sie walimu wengine tunajua dhahma na tafrani zinazoweza kutokea shuleni muda wowote ikiwemo sisi kwa sisi kunyukana. Kwa hiyo muda wote tuko on alert ku deal na kitu chochote cha shari kitakochotokeaUnaona mialimu mlivyo mi
jinga!!! Unamlazimisha mtoto akupikie chai amekua mke wako huyo??? Shenzi kabisa!
Alafu unajisifu eti nilitia kichapo!
Walimu kama nyie Mimi ndo nawataka sasa
Walimu wengi Wana ujinga ujinga sana! Bahati nzuri mie nimewahi kuishi kwenye kota za shule hivyo nawajua vzr walivyo wakatiri na waonezi. kosa ambalo angeweza kumuelekeza mtoto bila bakora lkn yeye atampiga mifimbo ya hovyo hovyo bila kuzingatia umri ama afya ya mtotoWazazi wa aina hii wangekuwepo shule kama Loleza na nyinginezo
Walimu wangekuwa wamenyooka maana wanatesa mno watoto wa watu kwa fimbo kali mno na adhabu zinazokiuka haki za binadamu.
Namuombea!Karma is a bitch. Huyo mtoto Hana muda mrefu atakua mgeni wa serikali Kama sio kisongo Basi Ni karanga. Huko ndio kwa wenzake wanaoendana naye.
Fedha za ruzuku zinazotolewa na serikali kila mwezi ndizo zinatakiwa zifanye shughuli kama hizo za usafi kwa kuajiri watu hata wawili tu kusafisha vyoo vya shule.Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Nadhan umesoma Canada dadangu. Kwenye shule za serikali hamna supporting staff anapelekwa na kulipwa na serikali thus wanafunzi wanajifanyia usafi wenyewe.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Kwani mtoto kafanya nini tena? JF kuna vituko kweli.Karma is a bitch. Huyo mtoto Hana muda mrefu atakua mgeni wa serikali Kama sio kisongo Basi Ni karanga. Huko ndio kwa wenzake wanaoendana naye.
Hii ni 2023 mkuu na sio 1993Mzazi amekosea sana! Kama Mwalimu alifuata taratibu zote za kumuadhibu mtoto, hakukosea!
Kizazi chetu tunazalisha watoto wenye kiburi wasio na heshima kwa sababu wazazi wa nyakati hizi wanalea watoto kama mayai.
Niseme tu ikithibitika kuwa Mwalimu alimpa adhabu mtoto kwa kufuata utaratibu mama afikishwe kwenye vyombo vya Sheria.
Huwa unafuata utaratibu wa utoaji adhabu kwa mujibu wa wataka wa elimu na adhabu mashuleni?Alimkuta mzembemzembe....tungegawana majengo au tungeenda jengo moja
We huoni Kuna shida upo nayo mahara?? Hapo ulipo mtu mzima lkn huna confidence ya kusimama mbele za watu kueleza jambo lolote ukaeleweka, unafiki imekujaa huna uwezo wa kupinga jambo lolote la mkubwa wako, unaogopa hata kukosoa, Kila kitu kwako ni ndio hata kama moyoni unajua hiki sio sahihi.Huyo mzazi bila shaka amezaliwa 94 kuendelea mbona sisi tulikua tunachapwa sana tukienda kusema nyumbani tunachapwa tena
Pale Sangu secondary,wameajiri watu wa usafi na wanafanya usafi Mazingira yote ya nje pamoja na vyoo.Fedha za ruzuku zinazotolewa na serikali kila mwezi ndizo zinatakiwa zifanye shughuli kama hizo za usafi kwa kuajiri watu hata wawili tu kusafisha vyoo vya shule.
Hivi mtoto ana umakini gani wa kudeki choo cha shule kama sio kumtafutia magonjwa ya kuambukiza?
Chief hii ni 2023 na sio 1990 mambo yamebadilika!Mimi nimesoma msingi 80s mwishoni na 90s mwanzoni kipindi changu watoto tulikuwa watukutu kweli kweli(mara zote watoto ni watukutu hata wa sasa) lakini tulinyooshwa kwa ushirikiano wa wazazi na walimu.
Leo wazazi hatutaki wanetu wafunzwe adabu kwa viboko mashuleni tukitegemea tutawaadabisha wenyewe so wanakuwa na nidhamu ya kinafiki nyumbani huku mtaani hawafai kwa tabia chafu zisizoelezeka,watoto walindwe kwa matukio kama ubakaji na ulawiti mengine yote walimu wapo sahihi hakuna mtoto anayejifunza bili kuelekezwa kwa msisitizo wa viboko