HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ikitokea fairness upinzani watapata viti vingi kama 2010/2015Wapiga kura wengi huwa hawafuatilii kampeni za vyama vya siasa.
Unadhani kuna uwezekano wa wao kuchagua wagombea kwa kusikiliza hoja zao.
Binafsi naona, kwa asilimia kubwa wapiga kura huchagua kwasababu ya vyama vya wagombea na sio hoja za wagombea wa vyama vyao.