Tetesi: MOSSAD wa Israel wanatumia aliens?

Hanieh ?? Kutumia WASAP kumemponza.

Osama mwenyewe aliwah sema "Ili upambane na adui wa kosasa, Tumia mbinu za zamani".
 
😂😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20240801_010243.jpg
    73.9 KB · Views: 4
Kwenye Maisha Chagua Marafiki wazuri.

Marafiki wa Hamas ni, Hezbollah, Iran na Wala mirungi wa Yemen.

Ni mtu mjinga atakaye ona Wapalestina Wana washirika wazuri
 
Ni nani kama Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo na Mungu wa israel. Ndiyo mnaosema hakuna Mungu mjue Mungu wa Israel yu hai na anapigania watu wake. Na kila amwaminie hatatayarika. Israel is there to stay na kila atakayemgusa anagusa mboni ya jicho la Mungu. inwawezekana wamemkosea Mungu mahali lakini Mungu aliweka maagano na Baba yao Ibrahim.
 
Jmaa hata wakina ELon musk na jamaa wa facebook wako vitani , hao hawawezi kusahau asili yao ...
 
Ayatolla analala jicho moja wazi. Jicho lipi hilo mkuu
 
MTASEMA YOTE LAKINI USHOGA LAZMA UKOMESHWE
 
MOSSAD wanaelezwa kuwa huenda WANATUMIA matumizi ya viumbe vikali vya Allen's kwenye mishe zao kwani sio Hali ya kawaida sana kwa matukio wanayoyafanya,
Hii ni misconception, MOSSAD inatumia ushawishi wa kipesa zaidi kuinfiltrate ngome mbalimbali kuliko so called intelligence. Kwahiyo ukiona mtu kauwawa ujue kuna inside job imefanyika kwa pesa nyingi kuhongwa.

So hakuna cha alliens hapo, watu pekee ambao najua walihusishwa na aliens ni US the so called Area 48, sijui project MK-Ultra walipotumia excorsionists na dark arts kufanikisha mission zao.
 
Taifa la Israel limezaliwa kutokana na vita, limekua kutokana na vita na mpaka sasa hivi lina survive kutokana na vita.

Wayahudi wanajua kabisa wakilegeza kidogo tu wameisha maana wamezungukwa na maadui pande zote.
Toa VITA weka USA..... ukitaka kujua hilo ona Syria mbona wamemshindwa kumtoa Assad?
 
Aliens wana jina jipya kwani tena eh eti heading inasema Allen's hahaha


Mpaka sasa sijaelewa Kifo cha Hanniyah.. wanasema bomu ilimchoma mwilini Haniyah directry ndipo ukaufata mlipuko! dah basi nyama tu zilitapakaa.... Iran wanasema ni Missile aina ya Spike. Siku za Ugunduzi zilikuwa zinafungwa kwenye Ndege now wanaweka hadi begani.. imevukaje mipaka hadi Iran hajajua? Kuna Siku Spike ilianguka Syria Arabs wakawapa Russia na Iran ilileta khofu sana... Vita za Kitambo Iran alikuwa anavimbisha Hamas apigane na Israel ili mambomu yasiyolipuka ayabebe kama yalivyo.. Hamas walivuna sana Dollar za Iran kwa kutoa ndugu zao kafara
 
Ukisema Aliens basi tunarejea kwenye Mitume na Malaika and Jesus both are Aliens of Caanan land.

India kulikuwa na Aliens waliitwa Rama hata yule wa Egypt ni ndugu yao Ramases.. Ship zao Rama ziliitwa Vimana ndio walikuwa wanapaa nazo kuja na kuondoka. even Neucler dust inapatikana India na maeneo mengine vita za Miungu zilipiganwa sana kugombea uongozi,, Possibly vita ya Malaika wa Mungu YAHWEH na Iblis.. Hizo Plymid n.k ni Tawala za Miungu ya Kale ambayo kupotea kwao ilikuwa ni vita kubwa mno.. pengine walikubaliana na kutuacha Free Human wote.. tujijenge wenyewe free masson
 
Hakuna cha aliens ,acha ujinga .
Hii ni involvement ya resources na intelligence details za Serikali ya Marekani ,UK na France .
Mzayuni ni mchumba tu bila misaada ya mali fedha na intelligence toka kwa majasusi wa hayo mataifa.
Hayo mashoga yenu Mbagala hype as if sijui nini
Mazayuni
 
Msikilize vizuri mosab akujibu. Na la zaidi ana shangaa saa 8 za usiku halafu mtu anakufa na Body Guard wake!! walikuwa wamelala kitanda kimoja?!!

View: https://x.com/Osint613/status/1819042529783787911
 
Hawatumii ila ukitumia whatsapp sijui Facebook hata Google basi kwisha habari yako watakukamata tu ...Ndio maana wachina wanapiga ban .

Hata wamarekani na washirika wake hawaitaki Tiktok .
Hilo li TIKTOK WATOTO WA KIKE WANAUME WANAOTUMIA UPUUZ HUO HATA SIJUI WANAFANYAGA NNI NAYO
 
Ukiwa na Maadui Wengi Unakuwa na Options 1 Tu Kati ya 2
1. Uwamalize adui zako
2. Adui zako wakumalize wewe
Kwa hiyo unachagua upande wa shilingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…