Washajibu, unasemaje..Punch za Motraa zinachoma zaidi ya Moto wa pasi aise[emoji23][emoji23][emoji23]
Motraa katoa ajira kwa mbarara za kikosi kazi.
SISI MASHABIKI TUNATAKA KIKOSI KAZI WAJIBU HOJA YA MOTRAA siyo hao mbarara
Na ww unaamini p kanyoosha mikono??usitegemeereply hapo, mwenzao Mawenge amenyoosha mikono juu.
Jamaa hajui anachokiongea may be rap sio mziki wake anajoforce tuKanyoosha mikono au alikuwa anawapa counselling wasijihisi inferior now wamepona wameamua wamtume motra awajibie, hii ya saizi itakuwa kama ile ya kimbari
Dude vitu vinhine kama hujui bora ukae kimya tumawenge ka-surrender kaweka mikono juu, amekiri Yesu ni Bwana,
tafuta interviews zake umsikie anasemaje kuhusu hiyo nyimbo yake.
Sasa weupe watatoa nyimbo ya kumjibu nani hilihali Weusi wamekaa kimya ??
kwanza wana bajeti ?? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kama umeweza kuandika hatare badala ya hatari t shown uelewa wakoMontra ni hatare na nusu
Sijawah kuona pumba kama hiiHao KIKOSI kazi wanatafuta namna ya kurudi kwenye game maana bongo makundi ya hip-hop ni mawili tu.
WEUSI waliwapotezea Sasa wanatafuta namna ya kurudi. Bila WEUSI kuwadiss Hawa jamaa watapotea kwenye ramani ya mziki.
Motraa Chali wa nyumbani kabisa kawadiss ..wakijibu Kama kundi watakuwa ni WAPUMBAVU.
P mawenge anasanuka mapema anaona Hana maisha maana machizi wakina ZaiiDyao na mansuli washapotea kwenye game. Uno bado anajikongoja, Nikk mbishi hamuna anayemuelewa na mipasho yake. Stereo Yuko busy na kazi za kuajiriwa ..hivyo hili kundi halieleweki malengo yake ni yapi yani lipo lipo tu. Songa na yeye maji kupwaa maji kujaa.
Bila WEUSI kuwadiss Basi tusahau uwepo wa Hawa jamaa Kama kundi. Kila mtu ataanza kula kona yake.
BrilliantMkuu unachosahau kua mziki ni kipaji, na sio kwasababu una kipaji cha ku rap harcore hip hop basi ukafikiria uki switch to soft utafanya vizuri...Haiwezekani mzee
Unaposema kwamba mziki umebadilika na mziki ambao uko sokoni kwa sasa ni mziki fulani ambao ni soft, unatakiwa ufikirie ni wasanii wangapi wako mtaani wanaimba huo mziki soft na hawajatoka na wangependa walau kupata hata collabo na hao tamaduni
Neno kubebwa haliwezi kuondolewa kwasababu hakuna namna unaweza kutenganisha kati ya media na "ukanda" pitia reference yangu hapo juu kuhusu wakali wa media
Mzee ni wewe tu jinsi ulivyoamua kuupa tafsiri muziki wa tamaduni kua ni mziki wa wahuni mtaani. Nakupa mfano mmoja wa nyimbo mbili tu, Joh makini kuna nyimbo kaimba "njoo ukaliee njoo ukalie" nyingine kama kundi wameita "mbupu".
Kwako wewe hapo unaona huo mziki unapaswa kusikilizwa na watu wenye heshima kama wazazi wako?
Mitoto ya arusha mnajiona migumu halafu hamnaga loloteUmeskiza Hiyo " mbupu" kwa makini? Wewe ndio hujui kitu kabisa.
Nenda kaskize upya #WEUPE ili ufunguke akili ..ngoma imejitosheleza ile. Halafu vaa uusika wa kila mmoja aliyechanwa mule.
#WEUPEE peee
Nadhan ww ndo umekosa cha kufanyaYule muhindi koko amekurupuka, yeye kajibu kama zile battle za majukwaani wakati Motra ameandika uduwanzi unaoendelea pale tamaduni. Kwa ufupi kikosi kazi wamekosa kazi za kufanya. Na suggest huyu dogo arudi kuskiza upya kisha atoe upya tena ngoma ya kumdiss Motra.
Unajua kwanini Motra hajamjibu uyo muhindi? Ni kwa sababu hamuna alichoandika mule.
Best ever kuanzia uandishi mpaka flowI second you ...Langa was the best
Haya sasaNaona P Mawenge ametuma majibu
Alikubalije kutumwa ameze sasaSema p mawenge Kaleta wenge
sana, naona kampa dogo mzigo sio wa kwake.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya ww mchambuzi mawenge kasarenda eeh?? Daudi MchambuziHii ni nikichomi mze,, mamaeee [emoji35][emoji35][emoji119][emoji119]
Hoja yangu haija baase kwenye content ya hiyo mbupu, hoja ime base kwenye title la hiyo ngoma "mbupu" kwamba ni neno ambalo limekuwa flapped kutoka kwenye neno pumbuUmeskiza Hiyo " mbupu" kwa makini? Wewe ndio hujui kitu kabisa.
Nenda kaskize upya #WEUPE ili ufunguke akili ..ngoma imejitosheleza ile. Halafu vaa uusika wa kila mmoja aliyechanwa mule.
#WEUPEE peee
Kwanza jamaa katoa diss ambayo hata motra atakosa nguvu ya kujibu kwasababu namna alivyo chanwa ni indirect mpaka uunge dots, kwa hiyo ili naye ajibu lazima atumie style ile ile ya ku hide some codes kitu ambacho ni kigumu sanaHaya ww mchambuzi mawenge kasarenda eeh?? Daudi Mchambuzi
Msiwe mnaropoka ropoka tumsiyoyajua
naomba moja tu nikasikilzeMkuu zipo trap kibao tu Nas anafanya siku hizi.. na Krs One ndo kabisa sema siyo kivile..
Dogo kayakanyagaKwanza jamaa katoa diss ambayo hata motra atakosa nguvu ya kujibu kwasababu namna alivyo chanwa ni indirect mpaka uunge dots, kwa hiyo ili naye ajibu lazima atumie style ile ile ya ku hide some codes kitu ambacho ni kigumu sana
Hyo line ya madem wa chuga wanatuona kama ma house girlEti mabwana wa dar ujue wana dharau kweli, mademu wa chuga wanatuona kama house girl.../
Wanamsifia uwoya tu na aunt ezekiel, wabaguzi sana siwataki tena wamefeli.../
We jamaa bana kama vitu hujui si ukae kimya tu shida inakuja wp aiseeeMkuu zipo trap kibao tu Nas anafanya siku hizi.. na Krs One ndo kabisa sema siyo kivile..