Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Ipo hivi kijana, ukinyimwa au kukataliwa usijiskie vibaya. Shukuru, tuliza Mutima, vuta subira kuna kitu umeepushwa na kuna kheri na Neema mbeleni. Songa mbele
 
SkuizAkuna mahaba yeah Mahabaah
Mapenzi yamkataba mbaka kufa yamekwishaah
Ninehema ukiwaUnahemaa
mapenz yanachosha yanafujarahaah
Nafsiyangu inasemaah
Bolanimpende tu alionizaah…….[emoji1]
By- Alikiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…