Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Yupo humu tupe namba tukulipie kisasi hatuwezi kukubali mwamba ukaumizwa kifala namna hio 😎😎
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi mwenyewe ni mwanasaikoloji na nina utimamu wa hali ya juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Askofu 😀 kumbe zile story za kuwa makatekista wanakula masista ni za kweli🤣
Jamaa unadhani tunatumia wine ili iweje🤣🤣🤣🤣

Au unadhani tunawekewa mafuta ya taa kwenye msosi 😎
 
🙆🏾‍♀️😁😁😁
Unajua nini?

Unaweza kudhani JF ni mashuhuri sana kumbe sivyo. Data zao zinasema memba tumo karibia laki 7 sijui. Lakini ukiulizia mtaani huko hakuna anayeifahamu JF. Fanya kajaribio tu kesho uanze kuulizia watu huko mtaani, sokoni, kwenye daladala n.k. kama wanaifahamu JF. Hutapata mtu. Na hapa ni Dar. Vipi huko Misungwi na Namtumbo huko?

Kuna memba wachache sana hapa sema tu watu wamejaza mafyekero kibao kumbe ni watu wale wale. Na matokeo yake ndo haya sasa!

Melo inabidi aanzishe kampeni ya kuunganisha IDs zote na kuitangaza JF nchi nzima ili ipate wanachama wa kweli wanaoeleweka...
 
Jamaa unadhani tunatumia wine ili iweje🤣🤣🤣🤣

Au unadhani tunawekewa mafuta ya taa kwenye msosi 😎
haha ukila maharage unajaza protein mwilini unapata shida mvua zikinyesha kidogo😀
aisee waumini wakae chonjo kumbe mnawamezea sana mate wake za watu🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…