Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Alikua maji lazima sio bureHalafu sinywi pombe kabisa labda siku moja sana nipate mbege na sinywi ikiwa pombe kali
huyu IamBrianLeeSnr nahisi atakuwa anamiliki bar kabisa π huwezi andika hizi thread kabla hujapiga safari nne akili iruke kidogo
π na hizi mvua sijala mzigo kitambo mama watoto yuko uzaziUtasikii kuku analia koookooookooooo mala kimyaaa.. imeisha hiyooo ,,π π«£π«£π π
Nawapata Sokoni, nafanya kujichagulia kulingana na Bei zao, ambazo naweza kumudu nachukua.Kwani unawapata wapi hao wanaokupumulia kisogoni?
Jana nilimshauri anywe panadol mbili ila mbishi sana Angeamka bila maumivu leoπAlikua maji lazima sio bure
Kama alifanya hvyo na maumivu bado yapo namshauri maumivu yakizidi amuone daktari πJana nilimshauri anywe panadol mbili ila mbishi sana Angeamka bila maumivu leoπ
π π nipitishie basi home kazawadi, nimekushtua na hatariSiendi nimegailiii mkuu ππ
Dr Restart na DR SANTOS haw wako kwenye fani. Akiona anamaumivu ya kuachwa IamBrianLeeSnr uwaone kwa sababu una ulcers piaKama alifanya hvyo na maumivu bado yapo namshauri maumivu yakizidi amuone daktari π
π π π π weee vumilia tu miezi sita mbona michache tuπ na hizi mvua sijala mzigo kitambo mama watoto yuko uzazi
naweza lala nikapiliza ukafa kwa ugumu π ila wanawake wa huku hawana huruma hata kumsaidia mwanamke mwenzao kumtunza bwanaπ¬
Aisss kweli watu wabaya humu ndani unahisi nakufanya nini? aiseeeSiendi nimegailiii mkuu ππ
Kuna baadhi ya mambo ni ngumu kumsaidia mtu. Imagine hata kiganja chake Cha mkono hajawahi kukiona, ila anaweweseka.Mumsaidie mwanaume mwenzenu kutoka ktk hiyo hali, maana anaelekea kubayaa zaidi. Lol
kadri siku zinavyoendaa naona watu wananiuliza mbona unanenepa sanaπ kumbe nina nguvu za ziada zumehifadhiwaππ π π π weee vumilia tu miezi sita mbona michache tu
aisee piga nyeto mzee ile inasaidia kwa fastaHahahaaa panadol haiwezi saidia kabisa
Kwako nitakuwa salama mkuu ππππ π nipitishie basi home kazawadi, nimekushtua na hatari
ooh dozi ya ulcers nimekumbuka. I told nikipe dawa ya kienyej nimepona halaf unatengenez mwenyewPombe nimeacha kwa mdaa nipo kwenye dozi bado π€£π€£
Kweli mapenzi yanauma Hadi umeacha pombe mkuu πHapana nimepumzika pombe mkuu
π π π haya kwaiyo bibie Nuzulati utamuagizia huyo kuku apelekwe nyumbani kwake aukadri siku zinavyoendaa naona watu wananiuliza mbona unanenepa sanaπ kumbe nina nguvu za ziada zumehifadhiwaπ
Juzi Kuna MWANANGU mtoto wa dada Ake wife yupo form 3...
Mimi sijui ila maneno ya wengi ni yakuzingatia .Aisss kweli watu wabaya humu ndani unahisi nakufanya nini? aiseee
dah hata ukigoma zawadi pa tuKwako nitakuwa salama mkuu πππ
π π hapa kwangu ni zaidi ya salama.. sio kwa Gily hukoo ..Kwako nitakuwa salama mkuu πππ