Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 903
- 892
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Huyu mbweha asiwatishe nae ni mpangaji tu anajaribu kuuvaa uhusika kama anaishi kwake ili apime upepo.Hujafa hujaumbika... Nani ajuaye ya kesho? Kuna watu katika umri mdogo kabisa walikuwa baba wenye nyumba lakini leo hii hata kodi ya chumba kimoja ni changamoto! HUJAFA HUJAUMBIKA..!
Hebu tuwekee hapa picha ya hiyo unayodai ni nyumba yako na watu watakuwekea picha ya nyumba walizopanga kisha utaona ni yupi anaishi maisha mazuri!Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Mkuu umeamua kuja kuchekesha watu siyo.. uzuri wa JF wote matajiri.
Duu sijui mimi jamaa ataniweka kundi lipi?Nina majengo manne napangisha ila nami nimeamua kupanga tena kwa mtu na maisha ni mazuri,nawaheshimu sana wapangaji wangu kwani nahisi nikawatenda vibaya nami yanaweza kunirudia.Tuheshimiane wajameni,kwn wengine tumejenga kwa jasho letu but inaonekana mtoa mada kawezeshwa na wazazi kumiliki alichonacho/alivyonavyoKijana! Usiwasimange vijana wenzio.Hujui mapito wanayopitia ni ya namna gani. Wewe unatakiwa tu umshukuru Mungu aliyekujalia wazazi na hatimaye ukaishi kama ulivyotutajia.
Kwamba wazazi wao alichemka hilo acha kabisa ndg. zingatia na kumbuka vijana wengine labda hawawajui wazazi wao, wengine wazazi wao walishatangulia mbele za haki wakati wao wakiwa ni wadogo au wengine wazazi hawakuwa na uwezo hata kama walitamani sana kuwafanyia watoto wao kama wewe wazazi wako walivyokufanyia.
Ili kurudisha fadhila kwa Mungu, hebu jiwekee ka-tabia ka kuwahurumia na kuwasaidia vijana wenzio japo kidogo kulegeza vyuma vilivyokaza.
Wewe unaisha dunia ipi? Acheni kukufuru usijejikuta hata uwezo wa kupanga huna. Pia, acha ulimbukeni na kuanglia ukweli mchunguYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Amepanga nyumba yako?We jamaa Ngoja nikwambie Sasa Elom musk na utajili wote ule ila amepanga.
Kaka una miaka mingapi kwanza?????Na la pili inaonekana wewe bado mvulana kwa kauli yako ya"Shame on them""!!!!!Wewe sio mwanaume utakua mtoto wa kike maana wanaume wapambanaji tunaelewa wazazi wetu walipotoka na tunawapenda na kuwaeshimu hata kama kama hawakutuachia kitu chochote!!!!!!Dogo maisha hayapo hivyo acha mbwembwe za watoto wa kishuaπ€£π€£πππYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Ada zinawachanganya sana watuYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G