Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Aliyetuangusha nafikiri ni baba Yako Kwa kukuleta weweRais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Technicaly uchaguzi nchi hii ni smoke screens aka zuga. Ukitaka uamini, hata ccm wakiweka jiwe wapo watakao pigia kuraRais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Wewe ndio uliteleza, wenzako walimtakaRais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Tumjibu nini,si aende kaburini aulize,ujinga ni kushinda kudiscuss mambo yasolisaidia Taifa kwa sasa.Ajibiwe swali lake la msingi na si kushambuliwa kwa hamaki.Mbonambona zisiwe nyingi ni monotonous!πππππ
NB;Mleta uzi,uwe na adabu.Acha kuwasumbua vimbwenerehi walinda regase kwa maswali mepesi machoni na magumu mioyoni.
Mara ya mwisho mlituambia marehemu hana uwezo wa kujitetea.Naamini ameacha walinda regase na aliwapa idhini ya kisheria mumtetee.Fanyeni hivyo.Time is now!Tumjibu nini,si aende kaburini aulize,ujinga ni kushinda kudiscuss mambo yasolisaidia Taifa kwa sasa.
Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Tueleze huo uwezo wake mkubwa ulikuwa upi?Mbona aliogopa ya dunia hadi akaamua ajifie tu?Ukisema alikuwa na uwezo mdogo unakosea Sana
Mpe Heshima yake hata kwa kiasi Tu kidogo
Mtu yoyote kabla ajawa Rais wa Inchi kuna michakato mingi ya taasisi tofaut tofauti zinapitia, so kama zote zilimpitisha then how uje kusema alikuwa na uwezo mdogo?
Mambo mengi ya malalamiko juu yake ni just hear says
Hakuna udhibitisho wowote, ni kama wanavyosema kuna Rais alihusika kifungo cha babu seya but ni maneno Tu ya watu
Yanatusaidia sana, ili tusijerudia makosa.Tumjibu nini,si aende kaburini aulize,ujinga ni kushinda kudiscuss mambo yasolisaidia Taifa kwa sasa.
Makosa gani,wewe kwa upande wako Magu alikufanyia mabaya gani?Yanatusaidia sana, ili tusijerudia makosa.
Wa pili ni weweWAtanzania n wajnga mno, mmoja wapo mleta mada
Kama hata makosa hauyajui ni bora ukakaange mahindi makavu ule polepole aisee!Makosa gani,wewe kwa upande wako Magu alikufanyia mabaya gani?
Au ndio maji kufata mkondo?