Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #141
Tuwekee mtandaoni.Rejea mazungumzo ya simu yaliyonaswa kati ya Kinana, JMakamba, Nape na Membe utapata Majibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee mtandaoni.Rejea mazungumzo ya simu yaliyonaswa kati ya Kinana, JMakamba, Nape na Membe utapata Majibu.
#sukuma gangWewe usiyekuwa na huo ubaya aliokuwa nao Magufuli (kwa mujibu wa maelezo yako), unaweza kuupata huo Urais kwa ndoto za usingizini?
Ufukara unakusumbua.
Hivi kweli kabisa umeona umeandika kitu kina maanaMafisadi kama wewe lazima muwe na chuki zenu binafsi.
You are brainwashed. Its not your faultWewe ni nani katika hii nchi?
Kinyangarika tu hata ubalozi huna!
Magufuli alikuwa rais wa nchi na amiri jeshi mkuu, na nafurahii aliwapelekea moto mpaka mkaamua kumdondosha. [emoji1787]
Chuma kinaliaa chumaa HA HA HA chumaa! Weweeee!!
Sitashangaa nkiona post yako ikishambuliwa na watu. Watanzania wengi sana hatuelewi nini kinaendelea kwa sababu kwanza elimu ndogo/hafifu. Na kama unakumbuka watu walio na elimu walikuwa hawapendwi kweliMpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?
Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.
Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.
Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?
Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?
Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.
Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Mkuu, kwanza mimi mwana CCM.Sitashangaa nkiona post yako ikishambuliwa na watu. Watanzania wengi sana hatuelewi nini kinaendelea kwa sababu kwanza elimu ndogo/hafifu. Na kama unakumbuka watu walio na elimu walikuwa hawapendwi kweli
Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
Narrow minded!!Hivi kweli kabisa umeona umeandika kitu kina maana
Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
Mbona Iddi Amini tunamsimanga? asemwe kwa maovu yakeHili swali kwa sasa ni bypassed by events, ila kwavile umeuliza ilikuwaje, wakati tayari ameisha kuwa halina maana tena huku ni kuzidi tuu kumsema vibaya marehemu!.
Haya wewe unayouliza leo, akina sisi tuliyauliza tangu 2014 kabla hajawa na tukayaleta humu tukajadili, sababu za kwanini ni Magufuli pia nilizisema humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli ila zinaweza kusoma na watu wenye jicho la tatu pekee! Hakika Pasco alikuwa sahihi kuhusu Magufuli na wasio na jicho la tatu walibaki kuuliza Kwanini Pasco wa JF anaficha sababu alizoambiwa 2014 kuwa zitampeleka Magufuli Ikulu?
Maadam ametangulia mbele ya haki huu ni ushauri wangu kwako Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Lilikuwa zali la memtaliMpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?
Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.
Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.
Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?
Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?
Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.
Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Mhubiri 9:5Hili swali kwa sasa ni bypassed by events, ila kwavile umeuliza ilikuwaje, wakati tayari ameisha kuwa halina maana tena huku ni kuzidi tuu kumsema vibaya marehemu!.
Haya wewe unayouliza leo, akina sisi tuliyauliza tangu 2014 kabla hajawa na tukayaleta humu tukajadili, sababu za kwanini ni Magufuli pia nilizisema humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli ila zinaweza kusoma na watu wenye jicho la tatu pekee! Hakika Pasco alikuwa sahihi kuhusu Magufuli na wasio na jicho la tatu walibaki kuuliza Kwanini Pasco wa JF anaficha sababu alizoambiwa 2014 kuwa zitampeleka Magufuli Ikulu?
Maadam ametangulia mbele ya haki huu ni ushauri wangu kwako Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Hujiulizi ilikuaje mama yako mpaka akabeba mimba akazaa fedhuli kama wewe?Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?
Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.
Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.
Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?
Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?
Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.
Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Aliingia kama mzee wako alivyoingia mwenye ukoo wa wajomba zako ila hakutakiwa,ukazaliwa wewe mtoto wa bao la mkono.Hata mm najiuliza hili jiwe ilikuwaje likaingia ikulu?
Mshoga hamna nafasi uzi huu.Hujiulizi ilikuaje mama yako mpaka akabeba mimba akazaa fedhuli kama wewe?
Mkuu samweli wa pili , asemavyo Mhubiri ni kweli, ila anazungumzia ulimwengu huu wa mwili, physical world, ukiisha kufa unageuka mavumbi and that is the end of you kwenye ulimwengu huu wa mwili.Mhubiri 9:5
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
Mhubiri 9:6
Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
Uzi wenyewe umeanzishwa na shogaMshoga hamna nafasi uzi huu.