Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la
Kwa post za aina nakuhakikishia bwashee kwa sasa huna uwezo wa kufanyia post mortem, inabidi uagize akili za ziada ili ujiongezee uwezo. Zipo zinauzwa online, Amazon !
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Stress za Kikwete ndo zilileta balaa lote hili, he feared Lowassa than anyone, lakini nadhani hadi dakika ya Mwisho aliopa poo mwenyewe kwa jinsi alivosomeshwa namba na jiwe
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Aise una roho mbaya! kwa hiyo walioingia madarakani kabla ya magufuli walikuwa wasafi , shida uliyonayo ni umasikini nakuombea utafte njia ya kuumaliza maana unapenda kila kitu uletewe mezani kitu ambacho hakitokuja kuwezekana hata siku moja
 
Aise una roho mbaya! kwa hiyo walioingia madarakani kabla ya magufuli walikuwa wasafi , shida uliyonayo ni umasikini nakuombea utafte njia ya kuumaliza maana unapenda kila kitu uletewe mezani kitu ambacho hakitokuja kuwezekana hata siku moja
We kijana wa darasa la saba, soma kwanza uielewe mada.
 
Kwa post za aina nakuhakikishia bwashee kwa sasa huna uwezo wa kufanyia post mortem, inabidi uagize akili za ziada ili ujiongezee uwezo. Zipo zinauzwa online, Amazon !
Huhitaji akili za zuada kujua kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakiweka kando ubinafsi naubaguzi wa kimtandao ndani ya chama, mambo ya 2015 yatakuwa historia.
 
Lazima kuwa katili dhidi ya mapanya.

Fyekelea mbali mafisadi mpaka yakachanganyikiwa yakaamua kumdondosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Chuma kile, hakikutepeta mpaka umautiii. Ni mwendo wa kukaza kamba kweli kweliiii ikibidi hadi uhai kutoka!

Ametufundisha somo kubwaa kwamba mafisadi na majizii yanahitaji kushughulikiwa kwa moto mkalii. Peleka moto kweli kwelii bila huruma.

JPM CHUMA!!!
Ye mwenyewe alikuwa fisadi papa
 
Mimi mwenyewe huwa najiuliza mtu kama kikwete ilikuaje akawa Rais?
Mtu hopeless kama Hangaya nae eti leo ni Rais.
 
Jpm Ni rais Bora kuwai kuwepo ktk ukanda wa Africa baada ya gadafi

Cpati picha kombination ya jpm na gadafi wale watu walikuwa nduo Marais pekee kwa miongo kadhaa achilia mbali wale waliotangulia Kam Nyerere na kina kenyata

Jpm ndio rais Bora kbsa Africa kumpata kwa miongo kadhaaa period

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kifupi nchi hii haina succession plan wala vetting. Nchi yenye vetting huyo Magufuli hata form asingepewa. Kwa sababu alikuwa na shida kichwani
Nakukumbusha kitu! Nyerere hakumkubali kabisa Mwinyi ila alieheshimu uongozi wake mpaka amalizr miaka 10, hiki kitendo kilichoanza kwa JPM cha kujiona kuna watu wanaweza kumtoa Rais kwa njia yoyote kitakuja kututafuna huko mbele.
 
sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.

Namsubiri
 
Lazima kuwa katili dhidi ya mapanya.

Fyekelea mbali mafisadi mpaka yakachanganyikiwa yakaamua kumdondosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Chuma kile, hakikutepeta mpaka umautiii. Ni mwendo wa kukaza kamba kweli kweliiii ikibidi hadi uhai kutoka!

Ametufundisha somo kubwaa kwamba mafisadi na majizii yanahitaji kushughulikiwa kwa moto mkalii. Peleka moto kweli kwelii bila huruma.

JPM CHUMA!!!
100000%
 
Stress za Kikwete ndo zilileta balaa lote hili, he feared Lowassa than anyone, lakini nadhani hadi dakika ya Mwisho aliopa poo mwenyewe kwa jinsi alivosomeshwa namba na jiwe
JK sasa ni mzee, anatakiwa kuona madhara ya ule mtandao wake.
Mwisho wa siku mtandao ulipochokwa, Kamati Kuu ya CCM wametuletea balaa ambalo halikutazamiwa.
Tujisahihishe.
 
Rejea mazungumzo ya simu yaliyonaswa kati ya Kinana, JMakamba, Nape na Membe utapata Majibu.
 
Back
Top Bottom