UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kwa post za aina nakuhakikishia bwashee kwa sasa huna uwezo wa kufanyia post mortem, inabidi uagize akili za ziada ili ujiongezee uwezo. Zipo zinauzwa online, Amazon !Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la
Stress za Kikwete ndo zilileta balaa lote hili, he feared Lowassa than anyone, lakini nadhani hadi dakika ya Mwisho aliopa poo mwenyewe kwa jinsi alivosomeshwa namba na jiweMpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?
Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.
Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.
Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?
Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?
Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.
Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Aise una roho mbaya! kwa hiyo walioingia madarakani kabla ya magufuli walikuwa wasafi , shida uliyonayo ni umasikini nakuombea utafte njia ya kuumaliza maana unapenda kila kitu uletewe mezani kitu ambacho hakitokuja kuwezekana hata siku mojaMpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?
Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.
Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.
Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?
Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?
Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.
Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
We kijana wa darasa la saba, soma kwanza uielewe mada.Aise una roho mbaya! kwa hiyo walioingia madarakani kabla ya magufuli walikuwa wasafi , shida uliyonayo ni umasikini nakuombea utafte njia ya kuumaliza maana unapenda kila kitu uletewe mezani kitu ambacho hakitokuja kuwezekana hata siku moja
Huhitaji akili za zuada kujua kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakiweka kando ubinafsi naubaguzi wa kimtandao ndani ya chama, mambo ya 2015 yatakuwa historia.Kwa post za aina nakuhakikishia bwashee kwa sasa huna uwezo wa kufanyia post mortem, inabidi uagize akili za ziada ili ujiongezee uwezo. Zipo zinauzwa online, Amazon !
Ye mwenyewe alikuwa fisadi papaLazima kuwa katili dhidi ya mapanya.
Fyekelea mbali mafisadi mpaka yakachanganyikiwa yakaamua kumdondosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chuma kile, hakikutepeta mpaka umautiii. Ni mwendo wa kukaza kamba kweli kweliiii ikibidi hadi uhai kutoka!
Ametufundisha somo kubwaa kwamba mafisadi na majizii yanahitaji kushughulikiwa kwa moto mkalii. Peleka moto kweli kwelii bila huruma.
JPM CHUMA!!!
Alompeleka moto mamakomagu chumaaaaaaaaaa aliwapelekea moto sio mchezoo
QummmmmmmqoAlompeleka moto mamako
Amka utajikojolea
Hpn siyo saawa kumuita rais hopeless. Una utomvu wa nidhamu na malezi mabayaMimi mwenyewe huwa najiuliza mtu kama kikwete ilikuaje akawa Rais?
Mtu hopeless kama Hangaya nae eti leo ni Rais.
Nakukumbusha kitu! Nyerere hakumkubali kabisa Mwinyi ila alieheshimu uongozi wake mpaka amalizr miaka 10, hiki kitendo kilichoanza kwa JPM cha kujiona kuna watu wanaweza kumtoa Rais kwa njia yoyote kitakuja kututafuna huko mbele.Kifupi nchi hii haina succession plan wala vetting. Nchi yenye vetting huyo Magufuli hata form asingepewa. Kwa sababu alikuwa na shida kichwani
100000%Lazima kuwa katili dhidi ya mapanya.
Fyekelea mbali mafisadi mpaka yakachanganyikiwa yakaamua kumdondosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chuma kile, hakikutepeta mpaka umautiii. Ni mwendo wa kukaza kamba kweli kweliiii ikibidi hadi uhai kutoka!
Ametufundisha somo kubwaa kwamba mafisadi na majizii yanahitaji kushughulikiwa kwa moto mkalii. Peleka moto kweli kwelii bila huruma.
JPM CHUMA!!!
JK sasa ni mzee, anatakiwa kuona madhara ya ule mtandao wake.Stress za Kikwete ndo zilileta balaa lote hili, he feared Lowassa than anyone, lakini nadhani hadi dakika ya Mwisho aliopa poo mwenyewe kwa jinsi alivosomeshwa namba na jiwe