Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Legacy ya MAGUFULI ITADUMU MILELE WANAO MCHUKIA NI WAZEMBE, WAVIVU, MAFISADI , WAPIGA DEAL, WALA RUSHWA , WAHUJUMU UCHUMI, VYETI FEKI...........

WAZALENDO WANAGONGA CHEERS 🥂 🍾 KWA MAISHA YA SHUJAA WETU

MIMI PIA NI THE NEXT MAGUFULI JAPO NIPO MBALI NA SIASA

WE LOVE JOHN 😍
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Swali euro sana……. Liende sambamba na imekuaje hadi SAMIA nae kawa Rais !!
Ni maswali muhimu kujiuliza

Kuna mahali nut zimelegea ,
 
Kauwa wangapi?
Kwani sasa hivi watu hawafi?. Kwani wakati wa kikwete waatu hawakutekwa na kuuwawa.. Au ulikuwa mdogo?

Utofauti wa JPM na wengine ni kutogawa Asali tu. JPM alitaka pesa zote ziende kwenye maendeleo ila wanasiasa na wanaharakati wakawa wanataka wapewe mafungu. Kitu ambacho sasa hivi wanapewa na wanagombana wenyewe kwa wenye. Watu wengi tu wanatekwa na kufa alkini kelele ni chache kwa sababu ya asali.
Huwezi kumtetea muuaji mzee.Hata utetee vipi hawezi kuwa msafi kwa maneno yako.Kikwete hata kama ameua hawezi kufika hata robo ya magufuli.Na ukiambiwa leo hii utaje watu waliouawa na kikwete utawataja?Ni nani aliuawa na kikwete?mimi nakutajia baadhi tu ya waliouawa na kuteswa na mungu wako.Ben Saanane,Azory Gwanda,Lisu,Mdude,Mbowe,Lema,Alphonce Mawazo,waliokuwa wakiokotwa kwenye viroba ufukweli,n.k.Samia pia ni hivyo hivyo kama kikwete.Kamuua nani!Sasa hivi kuna watafuta Figo.Wanateka watu Kila kona ya nchi ili wawatoe Figo.Wewe hulijui hili?Au kwenu halijatokea?mungu wenu alikuwa m.s.h...nzi sana
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Hajawahi kushinda uraisi
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
mafisadi ,vyeti feki,wala rushwa ,wauza ngada,wavivu mbona mnamuwaza sana Magufuli mnafikiri nyie mtaishi milele duniani
 
Huwezi kumtetea muuaji mzee.Hata utetee vipi hawezi kuwa msafi kwa maneno yako.Kikwete hata kama ameua hawezi kufika hata robo ya magufuli.Na ukiambiwa leo hii utaje watu waliouawa na kikwete utawataja?Ni nani aliuawa na kikwete?mimi nakutajia baadhi tu ya waliouawa na kuteswa na mungu wako.Ben Saanane,Azory Gwanda,Lisu,Mdude,Mbowe,Lema,Alphonce Mawazo,waliokuwa wakiokotwa kwenye viroba ufukweli,n.k.Samia pia ni hivyo hivyo kama kikwete.Kamuua nani!Sasa hivi kuna watafuta Figo.Wanateka watu Kila kona ya nchi ili wawatoe Figo.Wewe hulijui hili?Au kwenu halijatokea?mungu wenu alikuwa m.s.h...nzi sana
Umeanza vizuri ila ukakosea sehemu.

Kama kikwete kaua hata mmoja tu unamteteaje?

Unauhakika gani kwamba Magufuli aliua? Uhashahidi uko wapi?
 
Kama kuna hasara taifa hili limewahi kupata basi ni kumpoteza yule mtu. Alikua mzalendo kweli kweli, mzalendo hasa.
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Hata Mimi najiuliza ilikuwaje wewe ukazaliwa ilihali toka ukiwa tumboni ulikuwa lijinga. Shetani mkubwa. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ungekuwa Ben Saanane au Lwajabe usingekuwa na uwanda wa kusema hayo.
Hayo ni baadhi ya mambo yanao niudhi pia, lakini ni rais yupi ambaye kipindi chake hayakutokea mauaji ya kutisha na kusikitisha? Mzee Kibao vipi? Tukio la Sativa na la Ben Saanane tofauti yake ni ipi? Kina Soka je? Well, turudi nyuma huko, Absolom Kibanda, Dr. Ulimboka, Dr. Mvungi? Mwandishi wa habari wa Channel 10 pale Nyololo Iringa vipi? Turudi nyuma zaidi, what about Horace Kolimba? Francis Katabalo enzi za Mwinyi vipi? Tusimseme Magufuli as if hayo yalitendeka katika utawala wake pekee while hadi sasa hayo mambo ya kuudhi bado yanatendeka.
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Miaka 10 bado unajiuliza???
Change
 
Hayo ni baadhi ya mambo yanao niudhi pia, lakini ni rais yupi ambaye kipindi chake hayakutokea mauaji ya kutisha na kusikitisha? Mzee Kibao vipi? Tukio la Sativa na la Ben Saanane tofauti yake ni ipi? Kina Soka je? Well, turudi nyuma huko, Absolom Kibanda, Dr. Ulimboka, Dr. Mvungi? Mwandishi wa habari wa Channel 10 pale Nyololo Iringa vipi? Turudi nyuma zaidi, what about Horace Kolimba? Francis Katabalo enzi za Mwinyi vipi? Tusimseme Magufuli as if hayo yalitendeka katika utawala wake pekee while hadi sasa hayo mambo ya kuudhi bado yanatendeka.
Unaudhika kwa vile uko hai. Ungekuwa umekufa haijalishi nani kakuua.
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Ulitaka Rais awe hayati Lowassa wa CHADEMA?. Mkuu asingeweza kuingia ikulu ile ile aliyoondoka hayati Julius Nyerere.
 
Back
Top Bottom