Story zenu zinanichekeshaga sana, mnajitekenya na kucheka wenyewe!Huna unachokijua kuna huyu kiongozi mzungu wa uholanzi sio mbumbumbu kama wewe , huyu alikuwa hadi anataka sheria kali zitungwe kuudhibiti uislamu bungeni uholanzi, akawa anaandika kitabu cha kukashifu uislamu, mwisho wa siku akaja kubadili dini na sasa hivi ni swala tano
Hao waislam wazungu unawajua vzr? Unadhani uislam wao ni kama wako? Haohao ndo wanaoidhinisha misaada ya silaha kwa Israel kwaajili ya kuwapelekea moto waislam wenzako huko Gaza!Sawa kumbuka juzi tu scotland imemchagua first minister muislamu tena mke wake mpalestina na huku uingereza imeweka record kwa kuchagua wabunge 19 waislamu bado unasema dunia imetukataa? Uislam umekubalika hadi na wazungu wewe chuki ndio zinazokusumbua
Wenye akili wameshauona ukweli hata kama inakuuma ukweli ndio huoStory zenu zinanichekeshaga sana, mnajitekenya na kucheka wenyewe!
Jinsi mnavyoishi na wazungu kwa bashasha kubwa?Wenye akili wameshauona ukweli hata kama inakuuma ukweli ndio huo
Gaza ina waislamu na wakristo , na wazungu wengi wanaasupport palestine na wanalaani upuuzi huu unaondelea leo uingereza councilors 20 wameresign kupinga msimamo wa serikali yao, wewe kazi yako kubwabwaja tu na chuki zako kwa waislamuHao waislam wazungu unawajua vzr? Unadhani uislam wao ni kama wako? Haohao ndo wanaoidhinisha misaada ya silaha kwa Israel kwaajili ya kuwapelekea moto waislam wenzako huko Gaza!
Yes dunia maisha popote na uzuri uislamu umeendelea kukubalika kila kona ya dunia hadi nafasi za juu za uongozi kwnye nchi za magharibi ikiwemo chama cha kikristo ujerumaniJinsi mnavyoishi na wazungu kwa bashasha kubwa?
Sawasawa.Ni muda mzuri mkirudi na kwenye nchi zenu za asili, Afrika na Uarabuni/Asia mkaendeleze "mahaba bin upendo" mliouvuna kwa makafir wa kizungu.Ama sivyo?Yes dunia maisha popote na uzuri uislamu umeendelea kukubalika kila kona ya dunia hadi nafasi za juu za uongozi kwnye nchi za magharibi ikiwemo chama cha kikristo ujerumani
Ndio maana nakwambia maisha ni popote hata huko uarabuni kuna wazungu wengi wameenda kwa sababu za kimaisha ile ligi tu ya uarabuni wazungu almost 80% acha qatar, dubai na etc hata wewe ukitaka nenda hakuna atakayekukatazaSawasawa.Ni muda mzuri mkirudi na kwenye nchi zenu za asili, Afrika na Uarabuni/Asia mkaendeleze "mahaba bin upendo" mliouvuna kwa makafir wa kizungu.Ama sivyo?
Hao wazungu wenyewe wakishaujua uislamu wanaishia kubadili dini tuSawasawa.Ni muda mzuri mkirudi na kwenye nchi zenu za asili, Afrika na Uarabuni/Asia mkaendeleze "mahaba bin upendo" mliouvuna kwa makafir wa kizungu.Ama sivyo?
Kwahyo mkuu alah kaamuaje kuhusu hili kwamba wayahudi nao watakua waislam kama huyo mholanzi?Huna unachokijua kuna huyu kiongozi mzungu wa uholanzi sio mbumbumbu kama wewe , huyu alikuwa hadi anataka sheria kali zitungwe kuudhibiti uislamu bungeni uholanzi, akawa anaandika kitabu cha kukashifu uislamu, mwisho wa siku akaja kubadili dini na sasa hivi ni swala tano
Siyo lazima ila allah knows everything he is the best of the plannersKwahyo mkuu alah kaamuaje kuhusu hili kwamba wayahudi nao watakua waislam kama huyo mholanzi?
Kwani hapo walichagua kiongozi au muislam? Unatetea upumbavu kwa nguvu hivi[emoji2][emoji2][emoji2]Sawa kumbuka juzi tu scotland imemchagua first minister muislamu tena mke wake mpalestina na huku uingereza imeweka record kwa kuchagua wabunge 19 waislamu bado unasema dunia imetukataa? Uislam umekubalika hadi na wazungu wewe chuki ndio zinazokusumbua
From quran , hata huyu kiongozi wa far right wing wa uholanzi alikuwa anauchukia uislamu kama wewe, ila baada ya kufanya research wakati anaandika kitabu chake cha kukashifu uislamu aliishia kuupenda na kusilimu, allah ana njia zakeKwahyo mkuu alah kaamuaje kuhusu hili kwamba wayahudi nao watakua waislam kama huyo mholanzi?
Sasa mbona watu wake wanakufa hivi? Au plan zake hazjakaa sawasawa kwa ajili yakuwaokoaSiyo lazima ila allah knows everything he is the best of the planners
KWa jinsi mlivyokuwa na chuki na uislamu hamkupenda usambae hivi hadi kukubalika kumpa uongozi muislamu kwenye nchi yenye 99% chfistians but allah alwas has his ways na ingekuwa amri yenu wakristo wa tanzania hata waislamu wasingeruhusiwa kuongoza nchi za ulayaKwani hapo walichagua kiongozi au muislam? Unatetea upumbavu kwa nguvu hivi[emoji2][emoji2][emoji2]
Its just matter of time musa na watu wake waliuliwa na firauni , na aliua hadi kila mtoto aliyezaliwa lakini mwisho wa siku allah alionyesha njia, its just a matter of time , mungu kwenye quran anasema anawapenda wenye kusubiriSasa mbona watu wake wanakufa hivi? Au plan zake hazjakaa sawasawa kwa ajili yakuwaokoa
Mbona unajichanganya mwenyewe!? Unasema Wakristo wamemchagua Kiongozi Muislam na wakati huohuo unasema ingekuwa ni maamuzi ya Wakristo wasingekubali kumpa muislam uongozi!!!KWa jinsi mlivyokuwa na chuki na uislamu hamkupenda usambae hivi hadi kukubalika kumpa uongozi muislamu kwenye nchi yenye 99% chfistians but allah alwas has his ways na ingekuwa amri yenu wakristo wa tanzania hata waislamu wasingeruhusiwa kuongoza nchi za ulaya
Maamuzi ya wakristo wa tanzania nilimaanisha, kwasababu wengi wana roho mbaya hata chunguza michango yao humu kuhusu vita ya israel na anagalia misimamo ya wazungu wengi utagundua hiloMbona unajichanganya mwenyewe!? Unasema Wakristo wamemchagua Kiongozi Muislam na wakati huohuo unasema ingekuwa ni maamuzi ya Wakristo wasingekubali kumpa muislam uongozi!!!
Wao kobaz wanamtetea allah ila yeye hajiwezi mpaka kutoa adhabu wanamsaidia yaani allah hana tofauti na malkia wa nyuki[emoji1787][emoji1787]Sasa mbona watu wake wanakufa hivi? Au plan zake hazjakaa sawasawa kwa ajili yakuwaokoa