Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Uchaguzi 2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

Tusubiri counter attack karatasi tulizoonyeshwa Kama sampo sio zitakazochapishwa. Kwahizi zilizopo ni rahisi pia kwa tundu lissu si awaambie tu wapiga Kura wake waruke majina yooote wakatie tiki lile la mwishoooni kabisa
 
Wafuasi wengi wa upinzani hasa kwa maeneo ya mijini walisusia kujiandikisha/kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura.

Hivyo, usijichoshe, hakuna atakae kwenda kumchagua Lissu ambaye yeye mwenyewe hakujiandikisha.
Kwa hiyo unataka tuelewe kuwa kama hao wafuasi wengi wa upinzani waliosusia kujiandikisha/kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura wangejiandikisha/kuboresha taarifa zao,tungekuwa na wapiga kura zaidi ya nusu ya Watanzania wote!!??
Maana yake ulichoandika ni kuwa waliojiandikisha/kuboresha taarifa zao (milioni 29) ni wana CCM!!??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafuasi wengi wa upinzani hasa kwa maeneo ya mijini walisusia kujiandikisha/kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura.

Hivyo, usijichoshe, hakuna atakae kwenda kumchagua Lissu ambaye yeye mwenyewe hakujiandikisha.
Walituhadaa,wakasema hakuna haja ya kujiandikisha au kuboresha daftari ya mpiga kura watasusia uchaguzi mkuu kama walivyosusia chaguzi za serikali ya mitaa.
Lakini sasa ni kinyume.
 
Mungu huyuhuyu uliemkejeli kipindi cha corona?
Mmh! Hivi bado unaamini kwamba ucha Mungu wa Magufuli ndiyo umeondoa korona Tanzania?

Ucha Mungu gani aliyo nao Magufuli?
Anauwa
Anateka
Anapora mali za Wafanyabiashara
Anajeruhi kwa risasi
Anaiba fedha za rambirambi.n.k

Kwa taarifa yako kuna nchi 14 barani Afrika ambazo hata shule hazikufungwa. Hii kiki ya kutembelea nyota ya korona imefeli vibaya sana.
 
Walituhadaa,wakasema hakuna haja ya kujiandikisha au kuboresha daftari ya mpiga kura watasusia uchaguzi mkuu kama walivyosusia chaguzi za serikali ya mitaa.
Lakini sasa ni kinyume.
Vichinjio watu wanavyo. Subiri 28/10/2020
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Kwa hiyo unataka tuelewe kuwa kama hao wafuasi wengi wa upinzani waliosusia kujiandikisha/kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura wangejiandikisha/kuboresha taarifa zao,tungekuwa na wapiga kura zaidi ya nusu ya Watanzania wote!!??
Maana yake ulichoandika ni kuwa waliojiandikisha/kuboresha taarifa zao (milioni 29) ni wana CCM!!??


Sent using Jamii Forums mobile app
Wafa maji hao mkuu, hawaishi kutapatapa.
 
Hiyo Ballot paper jinsi ilivyo:

1. Itawachosha wapiga kura kutafuta jina la Lissu, maana watu wana tabia ya kuscan vitu top- bottom

2. Kutakuwa na confusion kati ya CHADEMA na CHAUMA, maana CHAUMA inaanza kutokea kabla ya CHADEMA

3. Kwenye column za majina wameweka majina ya Wagombea wenza kwanza kabla ya mgombea urais, hii itawaconfuse wale wasiotake time kuscan paper nzima. Kwa upande wa CCM itakuwa ni rahisi kumtambua mama Samia kuwa ndiye mwenza wa Magufuli, ila kwa wale wanaomjua Lissu tu kabla ya Salum Mwalimu wanaweza kushindwa kumlink Salum na Lissu. Ilitakiwa majina ya wagombea urais yawe Column ya kwanza na wagombea wenza Column ya pili

4. Kwa mpiga kura process ya utafutaji mtu wa kumpigia kwenye hiyo karatasi, iwapo watu wasipojua in advance mtu wamtakaye alipo, inaweza kuchukua muda mrefu kwa mpiga kura mmoja mmoja kukaa ndani ya kile chumba cha kupigia kura . Kwa hiyo hizo ballot paper zilivyotengenezwa zitapelekea muda wa kupiga kura uishe kabla ya watu wengi hawajapiga.

Hii ni advantage kwa CCM kama watahamasisha watu wao wapige mapema, yaani watakuwa mbele kwenye queue na kumaximize time ya upigaji Yaani kama ikichukua sekunde 2 kwa mpiga kura wa CCM kuweka tiki kwenye jina la JPM, itamchukua sekunde si chini ya 8 kwa mpiga kura wa Lissu kusearch jina la Lissu(kama hajui lilipo). Hii itapelekea wapiga kura wengi wa CCM kufanya yao huku wapiga kura wa CHADEMA wakiwa nyuma huko kwenye queue na matokeo yake muda umeisha halafu wamepiga kura kiduchu.

Solution ya hii ni kuelimisha wapiga kura, sasa sijajua kama muda wa kuelimisha wapiga kura nchi nzima kwa sasa ni wa kutosha maana nchi ni kubwa sana hii, na watu wengi huenda ujumbe ukachelewa kuwafikia

Lakini kuneutralize hilo ni kuwahi kwenda kupiga kura ikitokea randomness ya kutosha kwenye queue za kupiga kura, basi advantage hiyo ya juu hapo haitokuwepo sana, Ila wakiwahi wa CCM na kupiga mapema, Upinzani itakula kwao.

Kwa hiyo kiufupi solution ya hilo suala ni kama ifuatavyo:.

1. Elimu kwa wapiga kura, juu ya hiyo karatasi ilivyokaa

2. Kutumia nembo ya chama ya vidole viwili kama search method, yaani wapiga kura waambiwe, ilinkumtafuta Lissu alipo tafuta nembo ya vidole viwili, hapo utaliona jina la Lissu

3. Kuhakikisha wapiga kura wa Lissu wanawahi vituoni ili kuwaondolea CCM advantage ya kupiga kura zao nyingi mapema

4. Kuanzia sasa kila mkutano atakaopiga Lissu hasa kwenye maeneo na mikoa yenye Literacy level ndogo awahimize wananchi kutafuta jina lake (asiwaambie liko mwisho, isije ikatokea liko katikati) kwa kutumia alama ya vidole vya nembo ya Chama cha Chadema, Kauli ya Lissu itasambaa kwa haraka, na pia wabunge na madiwani wa Chadema waelezwe kutoa elimu hii ya kutafuta mgombea kwa kutumia nembo ya chama kwenye mikutano yao ya kampeni!
Good thinking
 
Hiyo Ballot paper jinsi ilivyo:

1. Itawachosha wapiga kura kutafuta jina la Lissu, maana watu wana tabia ya kuscan vitu top- bottom

2. Kutakuwa na confusion kati ya CHADEMA na CHAUMA, maana CHAUMA inaanza kutokea kabla ya CHADEMA

3. Kwenye column za majina wameweka majina ya Wagombea wenza kwanza kabla ya mgombea urais, hii itawaconfuse wale wasiotake time kuscan paper nzima. Kwa upande wa CCM itakuwa ni rahisi kumtambua mama Samia kuwa ndiye mwenza wa Magufuli, ila kwa wale wanaomjua Lissu tu kabla ya Salum Mwalimu wanaweza kushindwa kumlink Salum na Lissu. Ilitakiwa majina ya wagombea urais yawe Column ya kwanza na wagombea wenza Column ya pili

4. Kwa mpiga kura process ya utafutaji mtu wa kumpigia kwenye hiyo karatasi, iwapo watu wasipojua in advance mtu wamtakaye alipo, inaweza kuchukua muda mrefu kwa mpiga kura mmoja mmoja kukaa ndani ya kile chumba cha kupigia kura . Kwa hiyo hizo ballot paper zilivyotengenezwa zitapelekea muda wa kupiga kura uishe kabla ya watu wengi hawajapiga.

Hii ni advantage kwa CCM kama watahamasisha watu wao wapige mapema, yaani watakuwa mbele kwenye queue na kumaximize time ya upigaji Yaani kama ikichukua sekunde 2 kwa mpiga kura wa CCM kuweka tiki kwenye jina la JPM, itamchukua sekunde si chini ya 8 kwa mpiga kura wa Lissu kusearch jina la Lissu(kama hajui lilipo). Hii itapelekea wapiga kura wengi wa CCM kufanya yao huku wapiga kura wa CHADEMA wakiwa nyuma huko kwenye queue na matokeo yake muda umeisha halafu wamepiga kura kiduchu.

Solution ya hii ni kuelimisha wapiga kura, sasa sijajua kama muda wa kuelimisha wapiga kura nchi nzima kwa sasa ni wa kutosha maana nchi ni kubwa sana hii, na watu wengi huenda ujumbe ukachelewa kuwafikia

Lakini kuneutralize hilo ni kuwahi kwenda kupiga kura ikitokea randomness ya kutosha kwenye queue za kupiga kura, basi advantage hiyo ya juu hapo haitokuwepo sana, Ila wakiwahi wa CCM na kupiga mapema, Upinzani itakula kwao.

Kwa hiyo kiufupi solution ya hilo suala ni kama ifuatavyo:.

1. Elimu kwa wapiga kura, juu ya hiyo karatasi ilivyokaa

2. Kutumia nembo ya chama ya vidole viwili kama search method, yaani wapiga kura waambiwe, ilinkumtafuta Lissu alipo tafuta nembo ya vidole viwili, hapo utaliona jina la Lissu

3. Kuhakikisha wapiga kura wa Lissu wanawahi vituoni ili kuwaondolea CCM advantage ya kupiga kura zao nyingi mapema

4. Kuanzia sasa kila mkutano atakaopiga Lissu hasa kwenye maeneo na mikoa yenye Literacy level ndogo awahimize wananchi kutafuta jina lake (asiwaambie liko mwisho, isije ikatokea liko katikati) kwa kutumia alama ya vidole vya nembo ya Chama cha Chadema, Kauli ya Lissu itasambaa kwa haraka, na pia wabunge na madiwani wa Chadema waelezwe kutoa elimu hii ya kutafuta mgombea kwa kutumia nembo ya chama kwenye mikutano yao ya kampeni!
Nakubaliana na wewe kwa mengi kwenye andiko lako. Lakini nataka kuamini kwamba, mtu aliyekwenda kupiga kura amedhamiria na atakuwa makini mno kuhakikisha kwamba dhamira yake inatimia kwa kumpigia kura anayemhitaji.
 
Mmh! Hivi bado unaamini kwamba ucha Mungu wa Magufuli ndiyo umeondoa korona Tanzania?

Ucha Mungu gani aliyo nao Magufuli?
Anauwa
Anateka
Anapora mali za Wafanyabiashara
Anajeruhi kwa risasi
Anaiba fedha za rambirambi.n.k

Kwa taarifa yako kuna nchi 14 barani Afrika ambazo hata shule hazikufungwa. Hii kiki ya kutembelea nyota ya korona imefeli vibaya sana.
Kila siku huwa nawaambia Mungu siyo Amsterdam au Askofu Bagonza kwamba anachagua kuegemea upande wa Lisu tu.
 
Tusubiri counter attack karatasi tulizoonyeshwa Kama sampo sio zitakazochapishwa. Kwahizi zilizopo ni rahisi pia kwa tundu lissu si awaambie tu wapiga Kura wake waruke majina yooote wakatie tiki lile la mwishoooni kabisa
Akiwaambia hivyo siku ya uchaguzi karatasi zitakuja Lissu yuko katikati. Nadhani wapiga kura kufuata nembo ni wazo jema zaidi
 
Mungu hapendi mauaji, utekaji na kifilisi watu
Mungu siyo Amsterdam wala Bagonza ndio maana kamwe huwezi kukuta mvua inabagua watu wakuwanyeshea. Itanyesha kwenye shamba la Osama na la Obama pia.
 
Back
Top Bottom