Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Povu[emoji3][emoji3]
KctNhiy99LoLBTgLNO.gif
 
Ni lazima agombee kupitia ccm?,je alizaliwa na ccm mpaka kuwa king'ang'nizi kiasi hicho?,
 
Umewahi kuniona nikimtetemekea?
Kila siku kusema ana kundi hili, kwa hiyo tukifanya hivi tutaumia huko ni kumtetemekea na uoga!

Jamani hivi kina Nyerere wamgekuwa n akili za kunguru kama zenu hii nchi ingepata uhuru kweli?

Kwanini hao kina Membe kama wanajiamini wasitoke mbele waanze kupigania hicho wanachokiamini kuliko kulalama humu kwamba Magufuli ana genge kwa hiyo wanaogopa kuumizwa?
 
Subiri mwamba wa kusini awapasue pasue
Kila siku kusema ana kundi hili, kwa hiyo tukifanya hivi tutaumia huko ni kumtetemekea na uoga!

Jamani hivi kina Nyerere wamgekuwa n akili za kunguru kama zenu hii nchi ingepata uhuru kweli?

Kwanini hao kina Membe kama wanajiamini wasitoke mbele waanze kupigania hicho wanachokiamini kuliko kulalama humu kwamba Magufuli ana genge kwa hiyo wanaogopa kuumizwa?
 
Kila siku kusema ana kundi hili, kwa hiyo tukifanya hivi tutaumia huko ni kumtetemekea na uoga!

Jamani hivi kina Nyerere wamgekuwa n akili za kunguru kama zenu hii nchi ingepata uhuru kweli?

Kwanini hao kina Membe kama wanajiamini wasitoke mbele waanze kupigania hicho wanachokiamini kuliko kulalama humu kwamba Magufuli ana genge kwa hiyo wanaogopa kuumizwa?

Wakoloni walikuja kuchuma mali lakini hawakuwa madictator, maana hawakuwa na shida ya madaraka. Isitoshe Nyerere aliikuta Tanzania sio koloni, bali ilikuwa imekabidhiwa kwa waingereza na umoja wa mataifa, mpaka itakapokuwa tayari kujitawala. Tenganisha hayo mambo mawili tafadhali.
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Member alishafukuzwa ccm!
 
Back
Top Bottom