Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Yes boss [emoji3][emoji3]
Mwendo wa kubana matumizi sio?[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendo wa kubana matumizi sio?[emoji23][emoji23][emoji23]
Speech hukuisikiliza vizuri wewe naona una wewesekaJamaa tayari ndio ashaingia hapa dodoma
Nonsense
Nonsense
Alafu mnajitanabaisha kuwa mnademokrasia
Kila siku kusema ana kundi hili, kwa hiyo tukifanya hivi tutaumia huko ni kumtetemekea na uoga!Umewahi kuniona nikimtetemekea?
Albashir alifukuzwa ikulu na wanafunzi tu...jitu katili karne hiiSidhani kama ana uwezo wa kufanya chochote. Labda kama ingekuwa nchi za wenzetu huko angeunda genge haramu na kuingia msituni
Makubaliano....
Msalimie mwenyekiti wa kudumu[emoji3]
Albashir alifukuzwa ikulu na wanafunzi tu...jitu katili karne hii
Kila siku kusema ana kundi hili, kwa hiyo tukifanya hivi tutaumia huko ni kumtetemekea na uoga!
Jamani hivi kina Nyerere wamgekuwa n akili za kunguru kama zenu hii nchi ingepata uhuru kweli?
Kwanini hao kina Membe kama wanajiamini wasitoke mbele waanze kupigania hicho wanachokiamini kuliko kulalama humu kwamba Magufuli ana genge kwa hiyo wanaogopa kuumizwa?
Ni lazima agombee kupitia ccm?,je alizaliwa na ccm mpaka kuwa king'ang'nizi kiasi hicho?,
Kila siku kusema ana kundi hili, kwa hiyo tukifanya hivi tutaumia huko ni kumtetemekea na uoga!
Jamani hivi kina Nyerere wamgekuwa n akili za kunguru kama zenu hii nchi ingepata uhuru kweli?
Kwanini hao kina Membe kama wanajiamini wasitoke mbele waanze kupigania hicho wanachokiamini kuliko kulalama humu kwamba Magufuli ana genge kwa hiyo wanaogopa kuumizwa?
Speech hukuisikiliza vizuri wewe naona una weweseka
Wakati mwingine uoga wenu tu ndio unawafanya mumtetemekee Magufuli!
Mwl JK Nyerere alisha wahi kusema kuwa kaburu siyo rangi bali ni tabia yake tu
Member alishafukuzwa ccm!Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...
Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo
Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?
Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM
Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!
Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Member alishafukuzwa ccm!
Unajifariji tu! Subiri oktoba uje upigwe madoleWewe endelea kuramba viatu
Na Ben alishawahi kusema "wapumbavu"
[emoji3][emoji3]