Mpenzi wangu anaficha meseji kwenye simu yake, nahisi anawasiliana na wanaume wengine

Mpenzi wangu anaficha meseji kwenye simu yake, nahisi anawasiliana na wanaume wengine

Kuna njia mbili wewe mbumbumbu inabidi ujifunze kuzitumia..

Kwanza mwanamke aachwi kwa kukaa chini na kumwambia makosa yake Never kinachofanyikaga ni kumpotezea bila kumwambia sababu yeyote.HATUJADILI MAKOSA YA MWANAMKE KABLA YAKUMUACHA kufanya hivyo ni prove wewe ni loser jingajinga usiyejua nini unataka kwenye mahusiano.na hivyo ndo mwanamke atakugeuza.

Pili,Kama hutaki kumuacha acha kumchunguza acha kumgharamikia mwambie huna hela mambo magumu ukitoa hela labda 10000 ya nauli then mpende kinafiki huku unatafuta mwanamke wa maana,siku atakayokwambia umuoe ndo upige chini huku unamwambia nashundwa kukuamini ,siku anayokwambia ana mimba yako ndo upige chini hlf mwambie mlee mtoto sababu wewe haukuwa na malengo nae..

Hiii ya pili tunaifanya kwa mwanamke anaehisi mjanja mjanja kama huyo wako kumuonyesha at the end of the day wewe ni mjinga tu.

Hii ya kwanza ni principle kabisa inajisimamia katu hamna kujadili sababu ya kuachana na mwanamke akifit kwenye kuachwa basi wewe anza kwa kutokupiga simu kabisaa ukiulizwa sema upo busy,fuata kwa kutokuhudumia chochote anachokitaka,malizia kwa no meetings yaani wewe disappear tu mambo ya kwanini unanisaliti ni wanaume majinga jinga ndo wanafanya huo upuuzi majitu yasiyojua kutongoza maloser yasiyo na uhakika wakupata mwanamke mwingine ndo uwaga yanauliza maswali ya kwanini unanisaliti!kwanini unanidharau!!kwanini unanitukana!mbwa wewe do something if you are really man..
kuna bwege inabdi nimfanyie hii ya kumuachaa kwanza ndo tutakuja kuongea maana ukisema umwambie makossa yake atakupangaa yaniii balaaa na msamahaa kama wote
 
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 7 sasa na siku kadhaa.

Na tulipanga hapo baadae tuje tuwe na mwisho mzuri (ndoa)

Katika kipindi chote hicho ambacho tulikua pamoja tuliweza kuwa na furaha japo pia kukwazana kupo kama binadamu, lakini tulikua tunaongea yanaisha na kurudisha uelewa kati yetu.

Pia tangu nimekua nae, baada ya muda nilianza kukagua simu yake, ili kuangalia je? Kama mwenzangu kweli ana nia na mimi au yeye ana mambo yake mengine anayowaza na watu wengine.

Katika hatua hiyo ya ukaguzi wa simu yake nilishawahi kukuta baadhi ya sms za mapenzi, ikiwa ni namba ngeni kabisa ndio iliyoingia zinaongoza kutuma kutuma sms hizo kwenye simu yake, na nilipojaribu kumuuliza mwenzangu yeye alijaribu kujitetea kwa kusema hizo namba hazifahamu na kudai tu ni watu ambao wanataka kumuharibia mahusiano.

Pia kuna uzi ambao nishawahi kuleta hapa kuhusu kutoelewana mimi na yeye, kutokana na simu ambayo nilipokea wakati wa usiku na huyo mtu alidai kwamba anamfahamu huyu msichana kuliko hata mimi ninavyomfahamu, na pale nilipomuasha usiku kujibu madai ya huyo mtu alianza kulia usiku hadi mida ya saa tisa(9) usiku akidai ya kuwa namuonea tu, lakini yeye hamfahamu.

Baada ya hapo hivi, juzi wakati naangalia whatsapp yake nilikuta chat ambazo ameweka password, lakini nilianza kuhisi pia kuna kitu hakipo sawa.. Baada ya hapo nilimuuliza kuhusu chat hizo lakini yeye alidai ya kuwa nisiwe na wasi wasi kwani hakuna baya linaloendelea.

Na ndipo siku ya jana nilimsihi sana atowe password hizo ili niangalie vitu hivyo ambavyo anachati na wao watu.

Sasa katika kubishana nilifanikiwa kuchukua simu ile ili aniambie password za kwenye zile chat, lakini aligoma.

Hivyo niliamua kuondoka na ile simu mpaka pale ninapokaa, na yeye kunifuata baadae... Pia hapo nyumbani tulibishana kwa muda sana, lakini aligoma kutoa password.... Ndipo aliponiambia nimpe simu ili atoe Mwenyewe hizo password... Kwa kuwa nilishahisi kuna vitu ambavyo anaficha na lazima vitakuwa ni viovu, niliamua kumpa simu yake.

Baada ya kuchukua simu, hakutoa zile password, ila badala yake aliamua kufuta zile chat zote... Hivyo kwa kuwa alifanya vile kwa makusudi, nilimuamuru aondoke zake. Lakini pia aligoma kuondoka... Hivyo nilitumia nguvu kumuondoa apo nyumbani kwa kuwa nilishahisi tu mambo yanayoendelea sio mema hata kidogo.

Hivyo leo alinisihi sana tuongee yaishe... Lakini kabla ya hapo kuna maswali nilitaka kumuuliza na katika kumbana sana niligundua mmoja kati ya wale watu aliokuwa akiwasiliana nao ni bwana wake wa kwanza kama alivyodai(ex boyfriend) na hawa wengine alidai tu, ni watu ambao wanamtongoza tu lakini hawajui...

Na kwa kuwa nilishaanza kumchunguza muda sana alisema ukweli wote

Sasa mimi binafsi nilimuambia ya kuwa sina tena imani na wewe, akaanza kama kawaida kulia usiku kucha, anadai nimsamehe...

Je wakuu hapo ingekua imetokea kwa upande wako ungefanyaje?
We utakuwa bado kijana mdogo halafu mgeni wa mapenzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa maisha ya sasa hata uwe na nini huwezi kupata msichana wa peke yako hata ukitaka kuoa ujue unaoa mke wa watu maana umemkuta hana bikra.
Niliwahi kupata kabinti flani katoto ka kiislamu kana heshima na kanajua kujistili muda wote kusali nikaamini nimepata mke kwa jinsi ambavyo alinipenda na tulidumu mahusiano muda mrefu lakini siku moja nikahisi kitu nikaamua kutrack simu zake hapo ndo nilichoka kabisa!
Niligundua kametupanga wanaume 14 ambapo watatu kati yao ndo walikuwa hawajapewa mbususu lakini wengine wote wamekatafuna na siku nyingine analala kwangu kumbe alipitia kwa jamaa jingine kabla.
Kifupi hivi visichana vya sasa hivi vina laana we ukitaka kubisha tafuta binti ambaye unaamini ametulia na anakupenda kwa dhati kisha jaribu kutrack simu yake baada ya week moja utapata jibu
 
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 7 sasa na siku kadhaa.

Na tulipanga hapo baadae tuje tuwe na mwisho mzuri (ndoa)

Katika kipindi chote hicho ambacho tulikua pamoja tuliweza kuwa na furaha japo pia kukwazana kupo kama binadamu, lakini tulikua tunaongea yanaisha na kurudisha uelewa kati yetu.

Pia tangu nimekua nae, baada ya muda nilianza kukagua simu yake, ili kuangalia je? Kama mwenzangu kweli ana nia na mimi au yeye ana mambo yake mengine anayowaza na watu wengine.

Katika hatua hiyo ya ukaguzi wa simu yake nilishawahi kukuta baadhi ya sms za mapenzi, ikiwa ni namba ngeni kabisa ndio iliyoingia zinaongoza kutuma kutuma sms hizo kwenye simu yake, na nilipojaribu kumuuliza mwenzangu yeye alijaribu kujitetea kwa kusema hizo namba hazifahamu na kudai tu ni watu ambao wanataka kumuharibia mahusiano.

Pia kuna uzi ambao nishawahi kuleta hapa kuhusu kutoelewana mimi na yeye, kutokana na simu ambayo nilipokea wakati wa usiku na huyo mtu alidai kwamba anamfahamu huyu msichana kuliko hata mimi ninavyomfahamu, na pale nilipomuasha usiku kujibu madai ya huyo mtu alianza kulia usiku hadi mida ya saa tisa(9) usiku akidai ya kuwa namuonea tu, lakini yeye hamfahamu.

Baada ya hapo hivi, juzi wakati naangalia whatsapp yake nilikuta chat ambazo ameweka password, lakini nilianza kuhisi pia kuna kitu hakipo sawa.. Baada ya hapo nilimuuliza kuhusu chat hizo lakini yeye alidai ya kuwa nisiwe na wasi wasi kwani hakuna baya linaloendelea.

Na ndipo siku ya jana nilimsihi sana atowe password hizo ili niangalie vitu hivyo ambavyo anachati na wao watu.

Sasa katika kubishana nilifanikiwa kuchukua simu ile ili aniambie password za kwenye zile chat, lakini aligoma.

Hivyo niliamua kuondoka na ile simu mpaka pale ninapokaa, na yeye kunifuata baadae... Pia hapo nyumbani tulibishana kwa muda sana, lakini aligoma kutoa password.... Ndipo aliponiambia nimpe simu ili atoe Mwenyewe hizo password... Kwa kuwa nilishahisi kuna vitu ambavyo anaficha na lazima vitakuwa ni viovu, niliamua kumpa simu yake.

Baada ya kuchukua simu, hakutoa zile password, ila badala yake aliamua kufuta zile chat zote... Hivyo kwa kuwa alifanya vile kwa makusudi, nilimuamuru aondoke zake. Lakini pia aligoma kuondoka... Hivyo nilitumia nguvu kumuondoa apo nyumbani kwa kuwa nilishahisi tu mambo yanayoendelea sio mema hata kidogo.

Hivyo leo alinisihi sana tuongee yaishe... Lakini kabla ya hapo kuna maswali nilitaka kumuuliza na katika kumbana sana niligundua mmoja kati ya wale watu aliokuwa akiwasiliana nao ni bwana wake wa kwanza kama alivyodai(ex boyfriend) na hawa wengine alidai tu, ni watu ambao wanamtongoza tu lakini hawajui...

Na kwa kuwa nilishaanza kumchunguza muda sana alisema ukweli wote

Sasa mimi binafsi nilimuambia ya kuwa sina tena imani na wewe, akaanza kama kawaida kulia usiku kucha, anadai nimsamehe...

Je wakuu hapo ingekua imetokea kwa upande wako ungefanyaje?
Yaani hii story yako inafanana kabisa na binti mmoja ambae niliwahi kuandika kisa chake humu. Yaani nikimuacha kwa sababu pamoja na kuwa tulikua na malengo ya kuona lakini simu yake ilikua Kama kituo Cha polisi tangu tuanze mahusiano yetu
 
Ukiona mwanamke anapga password chats zake alaf upo nae kwny mahusiano apo hakuna future kat yenu we chagua moja uwe mjinga kama unampenda kwel au tafuta pisi kal nyngn hakuna maisha mengne bro
 
Dunia inakimbia sana, naona watu humu wamehalalisha kwamba binti au kijana wa kiume lazima awe na mtu mwingine apart from main one. Aisee huu ni ujinga na ujaha afu mtu anaongea kabisa usichungize simu. Zamani wazazi wetu walijua binti wa fulani ametulia na anafaa wanakwambia kaoe pale, kwa sasa tuonaokutana mjini njia pekee ya kujua hilo ni hizi simu na mitando ya kijamii maana mnakuta mjini labda kama hauna mpango nae. Jamaa wa mada fanya mambo mengine achana na hiyo mali ya umma kumbuka tabia ni kama ngozi ya mwili.
 
There's a boy in my mind and he knows I'm thinkin' of him
All my way to the day and the night the stars shine above me.
He's been gone for some time but I know I truly love him.
And I'm singing a song, hoping he'll be back when he hears it.
My heart goes shalala lala, shalala in the morning.
Oh oh oh shalala lala, shalala in the sunshine.
Shalala lala, shalala lala in the evening.
Shalala lala shalala lala just for you.
If your love's gone away just like mine you feel like crying.
Sing along maybe once maybe twice, let's try it together.
Some sweet day no one knows he'll return and you'll be happy.
Shout it sweet in a song, LISTEN TO YOUR HEART IT IS SINGIN'
My heart goes shalala lala, shalala in the morning.
Oh oh oh shalala lala, shalala in the…
 
Hakuna jambo huwa linanikera kama mtu anamchunguza mpenzi wake anafanikiwa kupata ushahidi mweupeeee kama tui la nazi badala ya kufanya maamuzi anakuja kuuliza watu ili angalau apate wajinga wenzie(maana ni ujinga na ubwege) wampempe moyo aendelee nae nishauri kitu kama unajijua huna jeuri ya kumuacha usimchunguze narudia tena "kama huwezi kumuacha usimchunguze"
 
Na kiuhalisia watu hawajui tu,wanawake tukipenda tunapenda kweli ila udhaifu wetu ni kukosa msimamo...yaan mtu mwepesi kugeuka katika mapenz ni mwanamke...mwanaume anaweza shawishiwa na mbunye ingine akaila na akabaki na msimamo wa kubaki na aliyenae ila mwanamke nikigongwa nje nahamisha uchi,akili na moyo pia,ndo nishageuka yaan
Dah...nimekupenda buuuuure
 
Ahsante kwa matusi, ila pia evidence nishapata na maamuzi nishafanya, aliekuambia kwamba siwezi kumuacha ni nani?

Kuja kutuambia umefuma msg mara mbili mbili nakuanza kumuuliza mwanamke huyu ni nani hiyo ni dalili tosha huna maamuzi

Angalau kidogo umekuwa mwanaume kwa kuwa na maamuzi magumu..

Mwanaume yeyote anayesalitiwa hlf anaonyesha hana maamuzi yeyote mi uwaga namtukana tu sababu anakera...

Najua utataka kurudi maana msimamo huna sasa ukirudi tenaa nakutakana kabisa bwege wewe [emoji35][emoji35][emoji35]
 
kuna bwege inabdi nimfanyie hii ya kumuachaa kwanza ndo tutakuja kuongea maana ukisema umwambie makossa yake atakupangaa yaniii balaaa na msamahaa kama wote

We piga chini atakuja kujua kaachwa week ya tatu huko..

Atakuheshimu kwa maamuzi yako magumu
 
Unapoamua kumchunguza mty hasa kukagua simu yake uwe na majibu kabisa kwamba je nikikuta madudu huko nitaamua nini.

Kama hujui utaamua nini ni bore ukaachana nayo. Mi huwa nakagua simu zao tu kwa kujifurahisha, ili nijue tu nae ni muongo muongo kama mimi au namchezea tu mtoto wa watu.

Nikikuta ana madudu mengi aisee nakua namtoa kwenye hesabu namuweka kwenye kundi la kimasihara coz sijui yeye kaniweka kundi gani. Ila kama ni mtoto mwema sijakuta madudu namvika uwife material.

Ila ogopa sana umeshika simu ya mtu inbox zote ziko empy, call records empty 😂😂, aisee huyo ni zaidi ya mafia.
 
Kuja kutuambia umefuma msg mara mbili mbili nakuanza kumuuliza mwanamke huyu ni nani hiyo ni dalili tosha huna maamuzi

Angalau kidogo umekuwa mwanaume kwa kuwa na maamuzi magumu..

Mwanaume yeyote anayesalitiwa hlf anaonyesha hana maamuzi yeyote mi uwaga namtukana tu sababu anakera...

Najua utataka kurudi maana msimamo huna sasa ukirudi tenaa nakutakana kabisa bwege wewe [emoji35][emoji35][emoji35]
Kabla ya kukagua hiyo simu inabidi uwe na maamuzi kabla, sio unakagua na kumuacha ukiumizwa huwezi, huo ni ulofa
 
Lakini wakulaumia ni jamaa,kwa maelezo yake hapo juu anasema wana miaka 7,jiulize hapo kuna ndoa kweri au kumpotezea mda mtoto wa watu?inawezekana mdada anajaribu kuangalia huku na kule ili aweze kujua wapi pakuelekea kwenda kumalizia maisha yaliyo baki,maana tayari ana hisi jamaa mbabaishaji tu.
Siyo miaka7 amesema miezi7
 
Back
Top Bottom