Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ndo kulia kwenyewe,ungekuwa hit and run kama mnavyojisifu wanaume usingegongewa mchana kweupe afu bado ukomae hapohapo...Nani analia?,soma mada uelewa kama hujaelewa kaa chini utulie
Tatizo wanaume wengi tupo royal sana! Tuna ile true love ya kifilipino! Na unajua mwanaume akiingia ktk mahusiano hategemei kulipwa, anategemea kupewa upendo wa kweli tu tofauti na mwanamke anatanguliza maslahi kwanza hivyo mambo yakivurugika mwanamke haumii sana anajua haikua rizki anaangalia madanga mengine!Afu kwanini wanaume ndo mnaongoza kwa kulialia na mapenz humu ndani?
Ndoa ni game of chance kwa mwanamke yeyote! Hivyo kuwa na backup muhimu. Unless ni mke amefunga naye ndoaUna moyo sana ndugu., Mimi ningeshapiga chini kitambo sana.. na huyo uliye naye ni msichana ambaye akili haikomaa, hajui anataka nini maishani..
Na kiuhalisia watu hawajui tu,wanawake tukipenda tunapenda kweli ila udhaifu wetu ni kukosa msimamo...yaan mtu mwepesi kugeuka katika mapenz ni mwanamke...mwanaume anaweza shawishiwa na mbunye ingine akaila na akabaki na msimamo wa kubaki na aliyenae ila mwanamke nikigongwa nje nahamisha uchi,akili na moyo pia,ndo nishageuka yaanTatizo wanaume wengi tupo royal sana! Tuna ile true love ya kifilipino! Na unajua mwanaume akiingia ktk mahusiano hategemei kulipwa, anategemea kupewa upendo wa kweli tu tofauti na mwanamke anatanguliza maslahi kwanza hivyo mambo yakivurugika mwanamke haumii sana anajua haikua rizki anaangalia madanga mengine!
Maana ndio waathirika wakubwa wa hili janga na hatuwezi lisema kwenye public with our Og ID kwa kuhofia kudharauliwaAfu kwanini wanaume ndo mnaongoza kwa kulialia na mapenz humu ndani?
Ni kweli aisee,yaan ambao wanakula bata kidogo kwenye mziki huu ni marijali na wa pesa pia.Wenye msiba ni rijali afu no money,kibamia ana pesa,kibamia afu no money.Wanashida sanaMaana ndio waathirika wakubwa wa hili janga na hatuwezi lisema kwenye public with our Og ID kwa kuhofia kudharauliwa