This is nature , you can't deny or control nature otherwise find your own nature. Mbona watu wanataka kulazimisha perfection duniani?
Embrace imperfections otherwise you'll die, you'll try to control uncontrollable. Someone who isn't matured or manly enough s/he thinks somewhere, something or sometime the life will be ideal perfect without any flaws, scar, sadness, etc dunia yenyewe Ina milima na mabonde. Hujakomaa bado ukishakomaa utaacha na utakuja kukubaliana namie, yaani Ni ishu ya muda tu nadhani. After you're matured enough we'll talk the same language.
Nikuulize swali unaye demu wako ukipata k nyingine hut00mbi kweli?
Mfano mwingine ukazimikiwa na mtt wa kiarabu, kisomali, kihindi , kiethiopia ama kinyarwanda hutowat00mba ama utajifanya kuwa wewe unaye mpenzi unampenda na Ni mwamifu mno.
Haya tuje binti wa Clinton, Obama, ama majukumu wa trump akakutaka mkaishi huko USA akakutumia na kitu Kama dola laki moja nauli na mazaga yote utakataa.
Tukubali nature why mnyama MLA nyasi anaenda penye nyasi nzuri na laini, Simba, chui, mamba anachagua kilicho kinono anakula so wewe unadhani kuwa binadamu Ni mjinga mno kutojua anataka Nini.
Kwa taarifa yako Kuna tajiri mmoja huko mwanza mwanza alimpenda mke wa mtu wakakubaliana jamaa akapewa mahari akakubali akaolewa na huyo tajiri wa mabasi yanayoenda Dar nk.
Let us talk reality. I was like you one time niliwapa majaribu mademu.
Hakuna aliye mkamilifu na baada ya kumuoa utagongewa upende usipende. Atachombezwa hata kwa utani Kama unavyochombeza wa wengine.
You and your partner ain't special you're like any other human being. Accept our humanness and our flaws to live peacefully in this Wonderful world that God granted us shortly