Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wee unavoona unajiheshimu ๐๐๐๐๐Jiheshimu uheshimiwe mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee unavoona unajiheshimu ๐๐๐๐๐Jiheshimu uheshimiwe mkuu
Huna akili bwanamdogo, dem wako ana hasara kua na wewe.Lengo nipime upendo wake akikubali
Inabidi nimwambie kwamba ni mimi then nitapunguza upendo
Usimuhukumu huenda ananogesha chati tu, we nenda mkoa X akikupa penzi ndio utajua kama kweli ang
Hapo mkuu umeongea pointBlood hao ndio wanawake sasa wa kizazi hiki hio ndio nature yao na ipo hivo huwezi kuibadilisha. Hata ukimwacha huyo ukaenda kwa mwingine kazi ipo palepale.
Chakufanya hapo jiongezee thamani tafuta hela mkuuu ushawi sikia mke wa bakheresa au mo kafumaniwa
Utakufa na pressure kijana jitathminiNaomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua.
Sasa nikakubaliwa rafiki yangu akapa kazi akahama mji, jana mimesajili line mpya kwa ya mtu mwingine, nikajifanya mimi ni huyo rafiki yangu nikamuambia mpenzi wangu kwamba wiki ijayo nakuja mkoa X nataka tuonane then unipe penzi akakubali kwamba nisijali atanipatia.
Hapa najiuliza hawa wanawake ni tamaa au ndivyo walivyo nimeona thread mbili hapa jukwaani inayofanana na hii yangu, weza wao nao walikubali.
Keyword =MpenziNaomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua.
Sasa nikakubaliwa rafiki yangu akapa kazi akahama mji, jana mimesajili line mpya kwa ya mtu mwingine, nikajifanya mimi ni huyo rafiki yangu nikamuambia mpenzi wangu kwamba wiki ijayo nakuja mkoa X nataka tuonane then unipe penzi akakubali kwamba nisijali atanipatia.
Hapa najiuliza hawa wanawake ni tamaa au ndivyo walivyo nimeona thread mbili hapa jukwaani inayofanana na hii yangu, weza wao nao walikubali.
Kiherehere chake ๐ค ! Vibaya hiooo lo
Aende kukutana nae...Kiherehere chake ๐ค ! Vibaya hiooo lo
Unataka mtoa mada apate presh lo inaumaaa asikwambie mtuu!๐คAende kukutana nae...
Kawaida sana sweetheart, binadamu hachunguzwi wala hachungwi...Unataka mtoa mada apate presh lo inaumaaa asikwambie mtuu!๐ค
That's ma gentleman Auwwwww ๐บ๐บ!Kawaida sana sweetheart, binadamu hachunguzwi wala hachungwi...