Wakilimkuu
Member
- Apr 15, 2024
- 91
- 106
- Thread starter
-
- #61
Ndiyo hivyo umeshasoma mkuuKuna vitu vinatia uvivu hata kuvisoma
Wewe umesema ni mpenzi wako sio mkeo sasa hayo mamlaka ya kutaka kumpangia wa kukutana nae kimwili unayatoa wapi?
Umri wa kuoa ukifika tuoe tuache ujingaujinga kama huu wa kupangia watu jinsi ya kutumia miili yao
Mbona Kama una doubt. Yaani nikuambie tu tunaugua kisa Cha ulaji wetu, mtindo wa maisha yetu la tatu ni kuhusiana na mental peace mpaka huko kwa spiritual, ukiwa na amani kabisa kabisa emotionally huwezi ugua. Stress ama mawazo , msosoneko , Yale maumivu kila kitu unaumia kabisa unalalamika , lazima utaugua kwa muda mrefu , Kuna kitambo Cha shida unakijua yaani unanenepa Ila ni kisa chakula hakiswagi vizuriMawazo/maumivu ya ndani kwa ndani yanasababisia kansa?
Wee ushaingizwa kwenye mfumo wewe [emoji23][emoji23]Na wewe ukiwemo.
Umeongea point mkuuMbona Kama una doubt. Yaani nikuambie tu tunaugua kisa Cha ulaji wetu, mtindo wa maisha yetu la tatu ni kuhusiana na mental peace mpaka huko kwa spiritual, ukiwa na amani kabisa kabisa emotionally huwezi ugua. Stress ama mawazo , msosoneko , Yale maumivu kila kitu unaumia kabisa unalalamika , lazima utaugua kwa muda mrefu , Kuna kitambo Cha shida unakijua yaani unanenepa Ila ni kisa chakula hakiswagi vizuri
Mfumo gani?Wee ushaingizwa kwenye mfumo wewe [emoji23][emoji23]
Usimuite mke wako muite mwanamke "mwanamke niliyenaye kakubali kulala na rafiki yangu"Naomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua.
Sasa nikakubaliwa rafiki yangu akapa kazi akahama mji, jana mimesajili line mpya kwa ya mtu mwingine, nikajifanya mimi ni huyo rafiki yangu nikamuambia mpenzi wangu kwamba wiki ijayo nakuja mkoa X nataka tuonane then unipe penzi akakubali kwamba nisijali atanipatia.
Hapa najiuliza hawa wanawake ni tamaa au ndivyo walivyo nimeona thread mbili hapa jukwaani inayofanana na hii yangu, weza wao nao walikubali.
MeMtoa mada huelewek mwanzo wa story na mwisho wa story
We ni ke au me ?!
Wapi nimesema mke wanguUsimuite mke wako muite mwanamke "mwanamke niliyenaye kakubali kulala na rafiki yangu"
Hiyo mpenzi wako bado unakoseaWapi nimesema mke wangu
Umeongea uhalisia ambao wengi huukwepa. That's pure nature.This is nature , you can't deny or control nature otherwise find your own nature. Mbona watu wanataka kulazimisha perfection duniani?
Embrace imperfections otherwise you'll die, you'll try to control uncontrollable. Someone who isn't matured or manly enough s/he thinks somewhere, something or sometime the life will be ideal perfect without any flaws, scar, sadness, etc dunia yenyewe Ina milima na mabonde. Hujakomaa bado ukishakomaa utaacha na utakuja kukubaliana namie, yaani Ni ishu ya muda tu nadhani. After you're matured enough we'll talk the same language.
Nikuulize swali unaye demu wako ukipata k nyingine hut00mbi kweli?
Mfano mwingine ukazimikiwa na mtt wa kiarabu, kisomali, kihindi , kiethiopia ama kinyarwanda hutowat00mba ama utajifanya kuwa wewe unaye mpenzi unampenda na Ni mwamifu mno.
Haya tuje binti wa Clinton, Obama, ama majukumu wa trump akakutaka mkaishi huko USA akakutumia na kitu Kama dola laki moja nauli na mazaga yote utakataa.
Tukubali nature why mnyama MLA nyasi anaenda penye nyasi nzuri na laini, Simba, chui, mamba anachagua kilicho kinono anakula so wewe unadhani kuwa binadamu Ni mjinga mno kutojua anataka Nini.
Kwa taarifa yako Kuna tajiri mmoja huko mwanza mwanza alimpenda mke wa mtu wakakubaliana jamaa akapewa mahari akakubali akaolewa na huyo tajiri wa mabasi yanayoenda Dar nk.
Let us talk reality. I was like you one time niliwapa majaribu mademu.
Hakuna aliye mkamilifu na baada ya kumuoa utagongewa upende usipende. Atachombezwa hata kwa utani Kama unavyochombeza wa wengine.
You and your partner ain't special you're like any other human being. Accept our humanness and our flaws to live peacefully in this Wonderful world that God granted us shortly
NakaziaKwanza, wewe ni muhalifu. Kwa nini unasajili line kwa jina la mtu mwingine kwa nia ya kumhadaa mpenzi wako?
Ndugu mlalamikaji, kumbuka huyo ni mpenzi wako. Si mkeo. Kama unataka kuumia vizuri, oa. Kisha akichepuka ndiyo ulalamike.
Ushauri ninaokupa mimi, acha utoto na upuuzi.
Sawa MkuuUmeomba papuchi umekubaliwa unakuja kulala humu! We nenda eneo la tukio kale utamu then utafanya maamuzi umuache au umsahehe. Maisha mafupi usicomplicate mambo
Wengi mno wanafarijiana na wakati ukiwa in real difficult situation unakimbiwa ama unamkimbia mtu mapema.Umeongea uhalisia ambao wengi huukwepa. That's pure nature.
ishi nao kwa akili 😂😂Naomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua.
Sasa nikakubaliwa rafiki yangu akapa kazi akahama mji, jana mimesajili line mpya kwa ya mtu mwingine, nikajifanya mimi ni huyo rafiki yangu nikamuambia mpenzi wangu kwamba wiki ijayo nakuja mkoa X nataka tuonane then unipe penzi akakubali kwamba nisijali atanipatia.
Hapa najiuliza hawa wanawake ni tamaa au ndivyo walivyo nimeona thread mbili hapa jukwaani inayofanana na hii yangu, weza wao nao walikubali.
Wachaaa weeeSio kwamba ndo kukubali ni kwamba jamaa asha wahi kuchapa so hayo ni marudio tu