Acha ujinga warembo wapo kila konaAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Ukisusa, wanakula.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
mashoga mnapendaga kumbeKweli tunatofautiana sana. HILI NALO MKALITAZAME.
Yaani mimi na Komwe langu hili eti nimekaa kabisa namlilia mtoto wa mtu, eti hata kula nashindwa jamani nalia hadi KWIKWI, khaaaa WE HUOGOPII!
Kwa jinsi Mungu alivyonibariki sitarajii kutoa chozi kwa ajili ya kichogo yoyote.
Anayetaka kukaa na mimi akae, asiyetaka akwende zake. Tena aondoke haraka kabla hajachelewa. HATA AWE NANI, SIANGALII SURA, WE HUOGOPI?
Cc: Lamomy Kapeace mshamba_hachekwi Extrovert
Nifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
😁😁😁😁😁😁😁 Meja anajua kuwa ulilamba kitu yakeKwani nimefanya nini bro?
Mimi ndiye mshenga wa meja kwasasa😂
😂 Jamani sasa mimi nimekosa nini?Nna matusi yako nimetuma kwa sanduku la posta 😂
And u will fu*ing hold it for the rest of your life.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
😂😂Kijana litamkuta jambo,badala ya "kula mbivu" nitajikuta ninakula zilizooza.Usimfanyie hivyo mwamba, kila la heri kwenu. Yenu ni perfect combo
Ni mimi ndio. Huyu ni kataa ndoa kwa hiyo ni sawa huyo mwanamke kuolewa kwingine.Ni wewe huyu au uliporwa simu?😅
Yeah kusuka au kunyoa 🤣Hawaondoki kizembe lazima akuoneshee taa nyekundu..kazi ni kwako sasa
Nilifikiria kwa udogo sana ila nimeeewa sahivi siwezi fanya ivo.hilo litakuwa ni kosa la jinai usithubutu huo ujinga utaishia jela. Ni kosa kusambaza picha za utupu za mtu mwingine bila ridhaa yake.
Hapo pia utaonekana mshamba na ndio utaimarisha zaidi ndoa yake. Tulia fanya yako hata usimtafute na kama bado unayo namba yake ifute na picha zake zote futa kabisa.
Dah! Pole sana mkuu.Huu
Huu wimbo niliusikiliza Mara ishirini na moja baada ya kutemwa na mke wangu wa zamani ,ukanitoa machozi nilienda kulilia chooni ,hapo rafiki zangu wapo sebleni kunifariji .
Nililia Sana kwa kujibana mdomo nilipomaliza nikanawa nikatoka nikawaambia Sasa nipo sawa twende tukaenjoy ,ni huko bar nikikutana na Halima jioni ile aliyekuja kunipa dili lililoniweka jela mwaka mzima .
Itoshe kusema wanawake ni mashetani Sana
Naamini hii comment umeandika kwa utani. Ila kama upo serious utakua na shida mahali.Kama una access ya anapoishi au kuonana nae physically, ntakupa mbinu ya kisayansi kurevenge Kwa alichokufanyia.
Na itasababisha mwamba aliemchukua kushindwa kbs kuishi nae, kiufupi atamkimbia.
Na kwasababu upo, only option atakayobaki nayo ni kurudi tu kwako.
Wanawake wote hawawapendi wanaume wao zaidi ya kuleta stress kwenye maisha ya mwanaume, mana mwanaume ni lazima amtunze mwanamke lakini mwanamke sio lazima amtunze mwanaume.....Kikubwa kuwa na mahusiano na mwanamke kunapunguza sana siku za kuishi za mwanaume. Ndo mana nawahusia vijana wasichezee nafasi ya kuwa singleHa ha ha kwanini mkuu?
Hahahahahaaa umenikumbusha mbali sana, matoto ya siku hizi yamekomaa kimapenzi mbaya kabisa si wa kike Wala wa kiume.... Miaka ya nyuma enzi za Jk nimesoma zangu education baade nikapangwa kazi mkoa x, Sasa Mimi kiasili nina km Ile u-gangstar flan hip-hop hv so nikawa na ushakaji na madogo but wananiogopa flan kutokana na ununda.... Hata wale watoto wa kike nilikua na ushikaji nao but kinamna flani but wananigwaya... Kipindi hicho mtandao maarufu ni Facebook zaidi ingawa nilikua naingia mara Moja Moja, Kuna siku Moja nimeingia Facebook Kuna mtu kani-inbox jina nickname la ajabu ajabu halafu hakuna hata picha yoyote,kichwan kwangu nikajua ni msela flan kumbe ni mwanafunz wangu wa kike... AkaandikaHii ni kweli, haya mambo yakikufuma katika age ya kujenga future unaeza anguka mazima na usinyanyuke kamwe ni muhim kumalizana nayo mapema wakati ambao unakula na kulala bure ukihudumiwa tu na masomo bado ikiwa nyepesinyepesi kwanza unaogopa ukijinyoja usife utachezea bakora na kufukuzwa nyumbani.🤣
Iko hvyo👊Akae akijua kuwa mwanaume yeyote jobless huonewa huruma na mama yake tu so kijana atafute hela coz msichana aliona hakuna future.
Asante sana nmekuelewa.Wanawake wote hawawapendi wanaume wao zaidi ya kuleta stress kwenye maisha ya mwanaume, mana mwanaume ni lazima amtunze mwanamke lakini mwanamke sio lazima amtunze mwanaume.....Kikubwa kuwa na mahusiano na mwanamke kunapunguza sana siku za kuishi za mwanaume. Ndo mana nawahusia vijana wasichezee nafasi ya kuwa single
Mkuu wenye maadili bado wapo wengi, lakini wakishaanza kuwa huru maisha ya chuo ndio huwabadilisha na kuwa wajinga wajinga. Kuna binti fulani ni mtoto wa Judge nilikuwa natoka nae sasa nikaja zinguana naye mpaka mawaailiano yakakata na namba yake akabadili nimekaa zangu ile namba aliokua anaitumia nikaamua ku i renew kwa sababu ilikuwa ni yangu nikaiweka kwenye simu siku moja kanipigia tukaongea fresh na hasira zake zote zilikuwa zimeisha, nikawa namchombeza na akawa amelainika kweli. Kwa kifupi alikuwa ni mtoto wa Kishua japo alikuwa na jeuri za kitoto lakini kipindi hiki kalainika sana sijui kwa sababu umri umeshaanza kusogea sana ?Hahahahahaaa umenikumbusha mbali sana, matoto ya siku hizi yamekomaa kimapenzi mbaya kabisa si wa kike Wala wa kiume.... Miaka ya nyuma enzi za Jk nimesoma zangu education baade nikapangwa kazi mkoa x, Sasa Mimi kiasili nina km Ile u-gangstar flan hip-hop hv so nikawa na ushakaji na madogo but wananiogopa flan kutokana na ununda.... Hata wale watoto wa kike nilikua na ushikaji nao but kinamna flani but wananigwaya... Kipindi hicho mtandao maarufu ni Facebook zaidi ingawa nilikua naingia mara Moja Moja, Kuna siku Moja nimeingia Facebook Kuna mtu kani-inbox jina nickname la ajabu ajabu halafu hakuna hata picha yoyote,kichwan kwangu nikajua ni msela flan kumbe ni mwanafunz wangu wa kike... Akaandika
Yeye: vp lakini mzima ww!
Mimi: mi niko poa! Vp ww!
Yeye: mi mzima, Sasa vp mbona unanikalia kimya?
Mimi: mi nipo sana msela angu, mishe vp lakin
Yeye: mbona unaniita msela wakati mi mdada
Mimi: oh sorry, sikujua kumbe we ni mdada. Kwan we Nan na uko wapi?
HAKUJIBU MESEJI YANGU, BAADAE NIKA-DELETE CONVERSATION... NIMEKUJA KUINGIA FACEBOOK BAADA YA MIEZI MITATU NIMEKUTA MESEJI YAKE INBOX LAKINI SIMKUMBUKI KM NI YEYE COZ NILISHADELETE CONVERSATION... SO MESEJI ZIKAWA ZINACHELEWA KUJIBIWA SABABU NILIKUA SIINGII FACEBOOK MARA KWA MARA. AKAANDIKA
Yeye: sasa vp mbona unaendelea kukaa kimya jamani!!
Mimi: sijakaa kimya kamanda angu Kwan vp( kipndi hicho neno kamanda limeshika hatamu enzi za chadema)
Yeye: sasa unaniita mi kamanda wakat mi ni msichana... Niambie bas jaman
Mimi: nikuambie kitu gan mi sikujui
Yeye: Unanijua sana wewe unakaaga kimya.....
Hiyo account nilichat nae mwaka mzima sijui ni nani maana hakuna picha hata Moja.... Baadae nilikuja kumjua baada ya kumaliza shule na akaanza kuweka picha kwenye hiyo account yake..... Hawa watoto wa shule Wana mambo sana walimu Wana kaz