Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didnโ€™t see this coming!

Miaka 30 kashakuwa used alafu ndio uje uliweke ndani( ndoa) thubutu.
 
Ivi wewe ni Dume au Jike?
 
Mademu wazuri wapo kibaoo Mzee...tena sio hao wa miaka 30 washakuwa used
 
Pole sana mkuu mimi yalinikuta ila tu nilikua sipensi kipindi hiko maana moyo ulishashakataga kama huko nyuma nilimpenda manzi mmoja hivi aliwkwa status kwa mshikaji wangu basi nikaomba namba jamaa akanambia ngoja niongee na muhusika aloo muhusika hakukataa mi sikuchelewesha nikatongoza nika kataliwa ila sikukata tamaa nikawa natongoza kila siku na kila napoongea nae ilichukua miezi miwili nikaja kukubaliwa akanambia yeye bikra sikuamini nikawa namuambia unazingua wewe imesnda siku nikamvuta geto kuna ishu ya computer nimsaidie akaja nimsove ishu yake nikataka kula tunda nimeregeza navoweza nile tunda lakini akakaza akasema anaogopa yeye ni bira nikamuambie nataka kuhakikisha kama ni bikra akakubali kwa sharti nisimuingilie ebwana eenh nikapekenyua kipochi manyoya mtoto bikra kweli kitu kimewamba nikasimamia ahadi akapika tukala akasepa.

akawa ameniamini likawa kosa kwa mara ya pili nikamuita mwenyewe akaja kuja kapika fresh tumekula tumemaliza kula nikaenda oga nikarudi nikamaliza ufundi fote mwali akalegea ndimwii nikala tunda sild bila huruma kwani nilihisi nauaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

nakumbuka aliondoka hata kutembea mtihani nikachukua bajaji mpka kwao nikamuacha getini nikasema baada ya wiki akawa kanogewa akawa anakuja kula mshedede ebwana wee penzi likanoga nikasema huyu demu ni vute ndani ghafla bin vuuu maama nilipanga hadi kupeleka barua ila ghafla lafiki wangu wakatibu akapata ajali mbaya ikampelekea kukatwa mguu kutokana na ukaribu wa familia yake maada ya kukaa muhimbili miezi kama 6 hivi wakaniomba niende nikakae nae dodoma ili akaendelee kupata matibabu na moshi kwenye miguu ya bandia huko ebhana kweli nikamuaga mchumba kua naondoka nikirudi nitafanya process kweli nilienda basda ya miezi miwili kupita nikawa simuelewi simu zangu apokei mi nikakacha nikajua jau huyu maana kipindi hiko akili za wanawake zishakufa kwakupenda full masna nilikua namatulizo kibao la haula siku nakutana na post ya yule yule mshikaji nilipo chukua namba akimpingeza bibie kupata ndoa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nikasema ama kweli wale wanaosema demu ukitoa bikra akusahau milele ni wehu nikampigia mshikaji nikamuuliza akasema mbona tumechangishwa mpka michango ukweli mimi jilimpigia yule demu nikamuuliza umeolewa alinikatalia kata kata nikamuambia usinidanganye najua vyote kama umeolewa pia nikamuambia usijali ishi kwa uhuru na mjali mumeo kwaheli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ eti akajifanya kulia weee nikamuambia jali mumeo na usinitafute kwaio mzee mademu wapo tele na usimfikilie kabisa mimi huyo demu ninamapicha yake ya uchi kabisa kibaoo ila niliyafuta tuu hivo usije sema eti sijui umpost au ufanyaje hujui mungu kakuepushia nini!??
 
Ungechangamka ungemdinya Teacher ulifeli wapi, wanakuaga wanyama kinyama umri huo ni unasusiwa hovyo hovyo.
 
Hii maisha sio fair.
Aliniumiza sanaa.
Yaaani ametoa mahari juu kwa juu...kisa alikuwa karibu na familia ya binti..

Kibaya zaidi baba binti alikuwa mgonjwa anamwambia mwanangu olewa kabla sijafa.

Sasa siku ya sendoff nikatambulishwa kwa meja kama.... baada ya sherehe๐Ÿคฃ

Meja sasa akamwambia binti kuwa mbona G mshikaji wa maana sana.....kuanzia hapo Meja na mimi, mimi na meja
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃHuu uzi umejaa laana zote, mtuhurumie jamani.

Cc Kapeace
 
Hahahahaaa mkuu ni ww tu kudinya au kuacha na hyo ni scenario Moja tu wanajilengesha mbaya..... Ni vimbwanga nikikusimulia utacheka mbaya.
Me ningewabutua sana hii ndo fulsa naonaga hamuitendei haki๐Ÿคฃ
 
Mambo mawili yanakusumbua

Kukumbuka yale mliyokuwa mnafanya, sasa atamfanyia mwingine

Wewe hukuwa na ujasiri wa kumwacha, kumbe yeye alikuwa nao..

Yote mawili ni majuto ni mjukuu..

Kubali, usipambane, huwezi kubadili lolote kati ya hayo...

Tafuta kitu cha maana cha kufanya au hobby , mfano kukimbia hiyo ni nzuri kuondoa fikra za kukumbuka hiyo dhahama au kucheza mpira .. Utasahau na ndio salama yake... Maisha ndivyo yalivyo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ