Kwa ufupi tu zipo hapo samora karibu na mnara wa askari inafuatana na jengo la IPS Building.Unapopishana na TRA khs Kodi halali unayotakiwa kulipa,sehemu ya kwanza kupinga hua Ni kwa COMMISSIONER OF TRA then mkishindwana,unaenda kwny hio BOARD, ikishindikana hapo unaenda kwny hio TRIBUNAL, then mkishindwana hapo tena Finally mtaenda kwny COURT OF APPEAL mkuu.
Muulize muuliza swali ,yeye kaziona wapi?Tanzania hatuna Waziri wa Fedha.
Angesema kirefu cha hayo maneno😆😆😆😆 Kama hakuna Kiswahili chake Spika akitaka Waziri asemaje?
Tunawaambia Kiswahili hakina misamiati ya kutosha.
Still bado wasingeelewa maana ni mashauri maalumu ya usuhuhishi wa Rufaa za Kodi zinazobishaniwa.Angesema kirefu cha hayo maneno
Hivi virefu vya TRAB na TRAT ni nini?Sijapenda
View attachment 2364943