Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
mninga mmoja wewe kwa taarifa yako watu mshahara tayari na madaraja tumepanda .mjinga mmoja wewe. Huyu mama apewe mau yake kwakweli
Kwani huoni kuwa marekani imeshafilisika?Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Lipi mkuu!!?Kubwa linakuja
Hoja ni issue ya bandari ni haitaondoka na mtu , itaondoka na ccmHapa hoja yako ni nini?
Mtoa mada alikuwa na thread litakuja kubwa sasa nadhani ndio hiliLipi mkuu!!?
Ccm itabaki wataondoka wasiofaa kua ccmHoja ni issue ya bandari ni haitaondoka na mtu , itaondoka na ccm
Kifo chacha haijulikani siku wala saa ika.kifo chaja tena awamu hii mark my wordsCcm itabaki wataondoka wasiofaa kua ccm
Mtego huo tutaona......... Mark hii commentKifo chacha haijulikani siku wala saa ika.kifo chaja tena awamu hii mark my words
Ndio maana kukawa na MAHAKAMA.....CCM mnacheza ngoma ya kizamani!
CCM na makundi yenu mnaelekea kujivisha Sanda mkiwa hai!
Endeleeni kushindana kuvaa mashungi tu!
Mtakapokuja yatoa, itakuwa ni Too Late!
Dubai itaondoka na CCM safari hii.
Michezo yenu tunaiona, kikosi kazi chenu, kupitia team Makamba hakitampooza Luhaga Mpina!
Ndio kwanza mnamuwekea Petroli ili aunguze vizuri zaidi.
[emoji1787][emoji106]Hapa hoja yako ni nini?
[emoji1787][emoji1787]Hoja ni issue ya bandari ni haitaondoka na mtu , itaondoka na ccm
[emoji7][emoji7]Ccm itabaki wataondoka wasiofaa kua ccm
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kifo chacha haijulikani siku wala saa ika.kifo chaja tena awamu hii mark my words