Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Sasa Samia si mwema sana?

Kwanini sasa hatengui hiyo sheria?
Imejadiliwa mbona kwenye maridhiano na ni Moja ya sheria zitakazofanyiwa ammendment baada ya bunge la bajeti. Ikiwemo sheria ya uchaguzi na cybercrime etc
 
Huyo naye anatumika tu, anapiga kelele wakati yuko humo CCM na Wala hawamtilii maanani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…