Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Nitajie streka waki wa zamani aliecheza mechi idadi kama za halaand na akafunga magoli kama ya hiyo idadi akiwa na miaka kama ya halaand 24
nazungumzia zaidi kwa habari ya ladha ya soka. unaweza ukafunga lakini goli halina ile soccer taste

sioni kipaji pale

ndicho alichokuwa anasema mleta mada kwa habari ya kucheza kirobot-robot
 
nazungumzia zaidi kwa habari ya ladha ya soka. unaweza ukafunga lakini goli halina ile soccer taste

sioni kipaji pale

ndicho alichokuwa anasema mleta mada kwa habari ya kucheza kirobot-robot
Kazi ya halaand nini naona kama huna uelewa na unachoongea mtu kazi yake kufunga Sasa wewe unataka Radha kwani yeye kiungo hii inaonesha hujui mpira yaani hujui hata halaand kazi yake ni Nini akiwa uwanjani hamna kipaji eti enh timu zote hizo zinazomuhitaji halaand hazina akili wewe wa huku kajamba nani ndio uone hamna kipaji
 
Kazi ya halaand nini naona kama huna uelewa na unachoongea mtu kazi yake kufunga Sasa wewe unataka Radha kwani yeye kiungo hii inaonesha hujui mpira yaani hujui hata halaand kazi yake ni Nini akiwa uwanjani
hana kipaji yule bro. ni mifumo tu wa timu unambeba. siku acheze QPR ndio utanielewa.
 
hana kipaji yule bro. ni mifumo tu wa timu unambeba. siku acheze QPR ndio utanielewa.
Nenda kacheze wewe ubebwe na mfumo halafu hivi unaakili timamu kweli mchezaji mkubwa kama halaand aende kucheza QPL kufanya nini yaani arudi timu ndogo wakati alishapita hizo levo hivi unaakili timamu kweli we jamaa maana naweza kuwa nachat na chizi
 
Haaland ni takataka mkuu🤔?, wakati kila siku anavunja rekodi za hao magwiji tena kwa mechi chache tu.
 
Duuh, labda kwa chuki binafsi au mtazamo wako, lakin ukiangalia statistics za haaland ni bora zaid kushinda washambuliaji wote waliowahi cheza epl per game ratio
Ndio maana nakuambia hajui mpira Mimi sio shabiki wa city ila huyo jamaa ni hatari mechi chache Gori nyingi na Wala haongei sana walisema atafeli ila yeye anafanya kazi tu
 
Naomba nitajie mchezaji wa zamani anayemzidi Messi kipaji na mafanikio maana wewe umetaja Kwa engo Yako na Mimi nitajie
Hoja ilikuwa vipaji. Messi pia anacho kipaji. Lakini si yeye tu mwenye kipaji peke yake. Hoja ni kuwa siku hizi vipaji vimepungua kulinganisha na zamani. Ndiyo maana Messi na Ronaldo kwa vipaji vyao wamekuwa top kwa miaka mingi. Lakini zamani ulikuwa huwezi kukuta football inagawanyika kwa mesi na Ronaldo hiyo ndiyo point. The means justifies the end. Messi unamlinganisha na Zidane ktk nini?
 
Jibu swali taja mchezaji wa zamani anaemzidi Messi kipaji na mafanikio usiandike gazeti refu
 
Kuifunga ufaransa ni issue mbona yule mcameroon kaifunga Brazil

Fainal nzuri za UEFA zipo nyingi tu kuzidi ya AC milan
Inshu siyo kuifunga timu flani hapo nataka u boost memory ya vipaji vilivuokuwepo kipindi kile hata kwa kuangalia you tube.
Hata Nigeria iliifunga Brazil. Hapo naongelea talents. Ndiyo maana Romario anaachwa na Scholari anamchukua Gaucho. Pirlo na Del Pielo wanaamia fainali ya 2006 ni pure talent zile
 
Naomba nitajie mchezaji wa zamani anayemzidi Messi kipaji na mafanikio maana wewe umetaja Kwa engo Yako na Mimi nitajie
Messi na Ronaldo usiwaweke kwenye hii cartegory ya vijana wacheza soka wa sasa ,hawa ni wazee ambao ndio kizazi cha mwisho cha mafundi halisi wa soka na ni wazee ambao career zao zinaisha mwaka huu ,hawana hata miaka mitatu mbele , taja wachezaji wa sasa hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…