Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 398
- 706
- Thread starter
- #41
naiacha very soon!Umeshaiacha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naiacha very soon!Umeshaiacha mkuu
Usiache jmn fanya tuu jitahidnaiacha very soon!
we ni mwalimu ?Walimu wanajenga nyumba wanausafiri na maendeleo mengi tuu
Hapana mkuu Mimi sio mwalimu lakini naangalia ugumu wa kupata ajirawe ni mwalimu ?
mkuu komaa huko huko kwenye kitengo chako usjie thubutu, hata ukiwa na shida kivipi,kuingia kwenye fani ya ualimu !Hapana mkuu Mimi sio mwalimu lakini naangalia ugumu wa kupata ajira
hamna kazi rahisi ila nature ya hii kazi kudeal na teenagers, kusoma mara kwa mara kumeza ma theory, shughuli nyingine za kishule/kitaaluma amini nakwambia ivi vtu combined vina drain sana akili huwezi elewa unless umewai kuwa teacher.Twende taratibu
Mshahara kiasi gani?
Kwako kazi rahisi ni Kama ipi?
Noma sana!Huyu jamaa huwa yupo right asilimia 96 yaani Mwl. hata akikuhaidi kitu usikitilie maanani sana. Yaani ni kana huwa wanekataa tamaa halafu wanamajungu mno na kufuatilia maisha ya wenzao yaani mwl. huwa anapenda mwl. Mwenzake ateseke.
Najua unachozungumzia..wengi wanaobisha sio walimuhamna kazi rahisi ila nature ya hii kazi kudeal na teenagers, kusoma mara kwa mara kumeza ma theory, shughuli nyingine za kishule/kitaaluma amini nakwambia ivi vtu combined vina drain sana akili huwezi elewa unless umewai kuwa teacher.
DuhNaskia walimu walitandikwa bakora na grinigadi huko wilayani tarime.
Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenzake akishapata urais hawakumbuki walimu wenzakeHkn kazi amby haina uncerteinities?pambana maana TZ marais wote ni walimu aisee.
Mtizamo mbaya sana ila sio mbaya unakupa engagement na vi likesualimu is a cursed job accept it or not ,it is. mm pia ni teacher nimeona kwa macho yangu.
Sh 805,000 degree SayansiWatu wanatafuta kazi za ualimu nyie mnazichezea mshahara 750000 Kwa degree diploma na msingi pia sio haba
Mnataka mpewe nini