Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

Advance!?masomo GANI hayo!?

Usi complicate mambo kufundisha simple sana!

TENA advance!unatumia mbinu gani!?au we BADO unatumia teacher centred Ili uwaonyeshe upo deep sio!!?

Mi napiga chemistry na bios ordinary level and never suffocate!!

Ugumu unaufanya wewe mwenyewe!!!

"Easy does it" norman vincent peale!!
No offense.

Walimu kama nyie ndiyo mnasababisha watoto wanapata matokeo mabovu katika shule zetu za St. Kayumba na approach zenu za kibinafsi.

ACHA UVIVU
 
Sasa mkiacha kazi nani atafundisha vijana ! Tunawaheshimu na tunawapenda !
Msikate tamaa humo humo kwenye ugumu wa kazi tafuteni upenyo wa kutokea iwe kwa michongo yako ya nje au humo humo kwenye kazi yako!
Pambana, kote ni kugumu labda wanaopata nafasi za kupiga rushwa au kuhujumu ugumu wa huko unatokana na kwamba unachokula ni kile unachopangiwa tu.
 
Advance!?masomo GANI hayo!?

Usi complicate mambo kufundisha simple sana!

TENA advance!unatumia mbinu gani!?au we BADO unatumia teacher centred Ili uwaonyeshe upo deep sio!!?

Mi napiga chemistry na bios ordinary level and never suffocate!!

Ugumu unaufanya wewe mwenyewe!!!

"Easy does it" norman vincent peale!!
Student centered kwa wanafunzi wa O level? nyie ndiyo mnaua ndoto za watoto masikini. Watoto hawajakomaa kiakili unafanya student centered? Approach za vyuoni mnaleta O level.

Nakumbuka O level tulikua na maticha wa Physics, Chemistry, Biology kama wewe wana selfish approach tulichomoka wachache tena kwa uwezo binafsi maticha hayafundiahi kwa moyo wote😮
 
No offense.

Walimu kama nyie ndiyo mnasababisha watoto wanapata matokeo mabovu katika shule zetu za St. Kayumba na approach zenu za kibinafsi.

ACHA UVIVU
Elimu ya SASA sio kama ile ya zamani!

Vitabu hamna wala internet no materials!!KWA sasa kuna topic GANI haina material!!?

Kuna swali GANI halina materials kama sio kutaka kuonyesha u deepness usio na maana!!?

Uwalimu wa leo ni competence based hakuna haja ya kujaza ubao mara tatu kama zamani!!

Wape class activity wajaze wa discuss uone kama wanashindwa vijana!inabaki kutoa muongozo KWA baadhi yasiyoeleweka vizuri!!

Nenda chuo chochote tz kama wanafundisha teacher centred!!

Mambo yamebadilika SASA wanafunzi ndio wenye materials sisi ni wawezeshaji wa mjadala!!!

Chukua hiyo!!
 
Habari za asubui ndugu zanguni,

Nimefanya kazi ya ualimu katika shule x mkoani Dodoma kwa miaka 3 sasa nikifundisha masomo ya A level kwenye shule moja ya private.

Lakini naona kama hii kazi inakua ngumu sana kwangu kuendelea nayo sababu na experience citu vifuatavyo vinavyoniumiza na kunidrain energy yote na morale ya kufanya kazi.

Kwanza nimegundua hii kazi inakugeuza kuwa mwanafunzi kabisa maana unahitaji kusoma mara kwa mara ili uweze kuwa competent katika kufundisha. Sasa hiii ya kusoma mara kwa mara inadrain energy vibaya mno maana kichwa kinahitaji pia kufikiria na mambo mengine ya kimaisha.

Mbaya zaidi vitu tunavofundisha ni ma theory tu kwaiyo unabaki tu kumeza mavitu ili ukayateme darasani lakn haudevelop practical skill yoyote na ukiacha kusoma yanapotea unless uwe umefundisha miak mingi sana ndo material yanastick kichwani.

Pili, Ratiba hasa katika private schools iko so tight unakua na ma vipindi kibao mpaka usiku sometimes. Siku nzima unafanya kazi ya kupiga kelele darasani.

Tatu, kazi ya kukimbizana na wanafunzi, tena hawa ma teenagers ni kazi ngumu sana.

Sijui kama ma teacher wenzangu mmenotice hii kitu kama mimi, Mpwayungu alishaliona hili zamanii sana na kulisemea.
Umetoa sana maelezo ila umesahau kutoa MSIMAMO WAKO, msimamo wako ni upi MKUU ??

Samahani na vipi wakati unasomea hyo fani, wakati upo field ukuwa unayaona haya uyaonayo sas hiv ??

Yaani inaonekana kama ulishitukizwa kuwa Mwalmu, wakati huo ulisomea tena kwa miaka miwili au zaid.
 
Student centered kwa wanafunzi wa O level? nyie ndiyo mnaua ndoto za watoto masikini. Watoto hawajakomaa kiakili unafanya student centered? Approach za vyuoni mnaleta O level.

Nakumbuka O level tulikua na maticha wa Physics, Chemistry, Biology kama wewe wana selfish approach tulichomoka wachache tena kwa uwezo binafsi maticha hayafundiahi kwa moyo wote😮
Ndio muongozo wa competence based curriculum mkuu!!

Hawakuchomoka sababu ya kutojishughulisha tu!!

We unataka kuvunja ubaoni Ili umuonyeshe nani kama unajua!!?
 
Elimu ya SASA sio kama ile ya zamani!

Vitabu hamna wala internet no materials!!KWA sasa kuna topic GANI haina material!!?

Kuna swali GANI halina materials kama sio kutaka kuonyesha u deepness usio na maana!!?

Uwalimu wa leo ni competence based hakuna haja ya kujaza ubao mara tatu kama zamani!!

Wape class activity wajaze wa discuss uone kama wanashindwa vijana!inabaki kutoa muongozo KWA baadhi yasiyoeleweka vizuri!!

Nenda chuo chochote tz kama wanafundisha teacher centred!!

Mambo yamebadilika SASA wanafunzi ndio wenye materials sisi ni wawezeshaji wa mjadala!!!

Chukua hiyo!!
Unaongea usilolijua wewe!! Umewai fundisha wanafunzi wenye uwezo mdogo wewe? Tena shule ya private wamekulipa na ada . Kirahisi rahisi tu uwawekee maswali ubaoni wa discuss sio .hehehe.anyway hujawai kuwa mwalimu so sikulaumu
 
Elimu ya SASA sio kama ile ya zamani!

Vitabu hamna wala internet no materials!!KWA sasa kuna topic GANI haina material!!?

Kuna swali GANI halina materials kama sio kutaka kuonyesha u deepness usio na maana!!?

Uwalimu wa leo ni competence based hakuna haja ya kujaza ubao mara tatu kama zamani!!

Wape class activity wajaze wa discuss uone kama wanashindwa vijana!inabaki kutoa muongozo KWA baadhi yasiyoeleweka vizuri!!

Nenda chuo chochote tz kama wanafundisha teacher centred!!

Mambo yamebadilika SASA wanafunzi ndio wenye materials sisi ni wawezeshaji wa mjadala!!!

Chukua hiyo!!
Twende taratibu

Najua utatetea kazi yako. Tunashukuru maticha kwa kutulea mpaka hapa tulipofikia.

Ila shule za serikali walimu hawafundiahi kabisa watato wanachomoka kimungu mungu tu.

Kauli yao utasiki "sisi tumesoma kwa shida". Au "hakuna mtu atayekutafunia"

Imagine shule ya mjini mwalimu yupo ila anaingia darasani kwa manati na akiingia anafundisha kwa kujivuta.

itoshe kusema waalimu HAMUIPENDI KAZI YENU.
 
Unaongea usilolijua wewe!! Umewai fundisha wanafunzi wenye uwezo mdogo wewe? Tena shule ya private wamekulipa na ada . Kirahisi rahisi tu uwawekee maswali ubaoni wa discuss sio .hehehe.anyway hujawai kuwa mwalimu so sikulaumu
Mimi nimefundisha shule zote HADI hizo zenu!!!!

Mwanafunzi ana uwezo wa kutafuta material na yanapatikana !

Kwani hiyo shule HAINA vitabu!!? Library hakuna!!?

Mbona class activity natoa sana na zinajubiwa vizuri na discussion tunafanya na vijana tena wa form one kabisa mkuu!!?

Hao unafundisha ni walemavu wa KUSIKIA,kuona na kutembea!!?

Kuwa serious jamaa!!
 
Twende taratibu

Najua utatetea kazi yako. Tunashukuru maticha kwa kutulea mpaka hapa tulipofikia.

Ila shule za serikali walimu hawafundiahi kabisa watato wanachomoka kimungu mungu tu.

Kauli yao utasiki "sisi tumesoma kwa shida". Au "hakuna mtu atayekutafunia"

Imagine shule ya mjini mwalimu yupo ila anaingia darasani kwa manati na akiingia anafundisha kwa kujivuta.

itoshe kusema waalimu HAMUIPENDI KAZI YENU.
Kazi ya ualimu haiependeki ngo! Labda uwe kichaa ndo utaipenda.
 
Back
Top Bottom