Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Hakuna mambo nilikua sipendi kama kusimamia wanafunzi sijui walime sijui wafyeke dahKazi ya ovyo sana hii twinawe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mambo nilikua sipendi kama kusimamia wanafunzi sijui walime sijui wafyeke dahKazi ya ovyo sana hii twinawe!
Kwaiyo uanaume ni kufanya kazi za kitumwa sio?? Ujinga mtupu!mtakufa maskini kwa wogq na kunga'ng'ania makazi ya kifala!Huyo jamaa ni Mtoto wa kiume kweli?
Ni kichaa tu ndo atataka kuifanya hii kaziWatu wanatafuta kazi za ualimu nyie mnazichezea mshahara 750000 Kwa degree diploma na msingi pia sio haba
Mnataka mpewe nini
Vitoto vikali ndo marupurupu ya waalimu ila usikamatwe tuHujui malupulupu ya ualimu wewe.
heshimu mawazo ya mtuRubbish and nonsensical.
A comment with minerals...superb!90% ya waliochagua ualimu wametoka familia za kawaida ambao walivyutwa na mkopo na ajira za uhakika otherwise hakuna anayependa ualimu ni asilimia chache sana ya watoto wa kishua wanaoenda ualimu kwasababu hakuna future mi siwalaumu walioenda huko ni familia zetu ndio zimesababisha yote hayo hakuna anayependa ada million 3 kwa mwaka ya kam college itatoka wapi.
ushauri mxuriKazi ya ualimu nikuipenda kama kazi zingine basi ukisema sio nzuri nanushasomea nikupoteza muda tu maana kweli kazi ni ngumu kupata
Kazi gani ya kuajiriwa ina muda? Kila kitu ni mipango lazima ujipe muda wakufanya maendeleo binafsiUmenena vyema umaskini wa ualimu upo kwenye muda,
Ratiba ngumu kufundisha , usome . Nyumbani uandae kazi ya kesho , ujasahisha , ratiba nyingine mpaka jumamosi . Mshahara aungozeki hata mia ,no overtime,kwa nini usife maskini
@lee jackUmeshaiacha mkuu
Unawasimamia walime na kufyeka ulikua ni mwalimu wa somo la magereza nini?Hakuna mambo nilikua sipendi kama kusimamia wanafunzi sijui walime sijui wafyeke dah
Ngoja nichambue matches za jackpot kwanza.Habari za asubui ndugu zanguni,
Nimefanya kazi ya ualimu katika shule x mkoani Dodoma kwa miaka 3 sasa nikifundisha masomo ya A level kwenye shule moja ya private.
Lakini naona kama hii kazi inakua ngumu sana kwangu kuendelea nayo sababu na experience citu vifuatavyo vinavyoniumiza na kunidrain energy yote na morale ya kufanya kazi.
Kwanza nimegundua hii kazi inakugeuza kuwa mwanafunzi kabisa maana unahitaji kusoma mara kwa mara ili uweze kuwa competent katika kufundisha. Sasa hiii ya kusoma mara kwa mara inadrain energy vibaya mno maana kichwa kinahitaji pia kufikiria na mambo mengine ya kimaisha.
Mbaya zaidi vitu tunavofundisha ni ma theory tu kwaiyo unabaki tu kumeza mavitu ili ukayateme darasani lakn haudevelop practical skill yoyote na ukiacha kusoma yanapotea unless uwe umefundisha miak mingi sana ndo material yanastick kichwani.
Pili, Ratiba hasa katika private schools iko so tight unakua na ma vipindi kibao mpaka usiku sometimes. Siku nzima unafanya kazi ya kupiga kelele darasani.
Tatu, kazi ya kukimbizana na wanafunzi, tena hawa ma teenagers ni kazi ngumu sana.
Sijui kama ma teacher wenzangu mmenotice hii kitu kama mimi, Mpwayungu alishaliona hili zamanii sana na kulisemea.
Tarime tena!Naskia walimu walitandikwa bakora na grinigadi huko wilayani tarime.
😂😂😂Unawasimamia walime na kufyeka ulikua ni mwalimu wa somo la magereza nini?
Unasema kwa maana hujaicha acha uoneKuipenda?? Yani kuipenda hii kazi ya ualimu? Labda niwe kichaa sijitambui ndio naweza kuipenda
Sio rahisi kama unavyofikiriVitu ulivisoma advance, ukaenda kuvisoma chuo bado huvielewi mpk upige msuli w akujiandaa na hapo umeshafundisha miaka mitatu. Basi wewe ndiye tatizo.
Malalamishi ya wa Tz kama kawaida.