Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

๐–๐ž๐ž๐ž๐ž!!!! Nani kakudanganya

ukila ni kazi unaweza kukabwa, ukila bila utaratibu maalumu utaugua. Kula ni kazi na ni sayansi pia.

Kulala.. utaota mandoto mabaya unakimbizwa....una.....unambato (me) au unambwato (ke) mara umelowa.

Kunya (kupoop) kwenyewe kazi ulishawahi kubanwa stendi huna hata mia...unasafiri gari halisimami....
Choo kigumu usiseme(constipation)[emoji849][emoji849][emoji849]. Mara unagongewa mlango huku huhamaliza starehe.

Acha tu kazi yoyote ni ngumu mkuu hakuna kirahisi
๐–๐š๐ง๐š๐ค๐จ๐ฌ๐ž๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐ฎ ๐ฌ๐ž๐ฆ๐š ๐ง๐ข ๐ฉ๐จ๐ฌ๐ก๐จ ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฌ๐ฅ๐š๐ก๐ข ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ญ๐ฎ ๐œ๐ก๐š ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฎ๐ง๐š๐œ๐ก๐จ๐ค๐ข๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š.
๐ญ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐š ๐ฆ๐›๐ข๐ง๐ฎ ๐ฆ๐›๐š๐๐š๐ฅ๐š ๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ฉ๐š๐ญ๐จ

๐€๐œ๐ก๐š ๐ฆ๐š๐ง๐ฎ๐ง๐ '๐ฎ๐ง๐ข๐ค๐จ ๐Ÿ๐ข๐ค๐ข๐ซ๐ข๐š ๐ญ๐š๐ซ๐š๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ค๐š๐›๐ฅ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐š๐œ๐ก๐š ๐ค๐ข๐ญ๐ฎ. ๐“๐ก๐ข๐ง๐ค ๐ฐ๐ข๐ฌ๐ž๐ฅ๐ฒ ๐š๐ง๐ ๐œ๐จ๐ง๐๐ฎ๐œ๐ญ ๐ž๐ง๐จ๐ฎ๐ ๐ก ๐ซ๐ž๐ฌ๐ž๐š๐ซ๐œ๐ก ๐›๐ž๐Ÿ๐จ๐ซ๐ž ๐ฅ๐ž๐š๐ฏ๐ข๐ง๐ .

๐Š๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐จ ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐ฃ๐จ๐จ ๐๐Œ
 
Ukiona hivyo siyo wito wako au hauko competent unategemea kutumia masaa mengi kumeza madesa ya kufundishia, unachosoma kwa ajili ya kufundisha wanafunzi hakiwezi kuwa mzigo maana tayari unaelewa mambo kwa undani zaidi labda shida inakuwa pale wengi mnaoenda kusomea ualimu mnakuwa na ufaulu hafifu katika masomo yenu, hapa ndo tatizo linapokuja, tungekuwa serious watu wenye ufaulu wa juu kuzidi wote ndo walitakiwa wasomee ualimu.​
 
Ukiona hivyo siyo wito wako au hauko competent unategemea kutumia masaa mengi kumeza madesa ya kufundishia, unachosoma kwa ajili ya kufundisha wanafunzi hakiwezi kuwa mzigo maana tayari unaelewa mambo kwa undani zaidi labda shida inakuwa pale wengi mnaoenda kusomea ualimu mnakuwa na ufaulu hafifu katika masomo yenu, hapa ndo tatizo linapokuja, tungekuwa serious watu wenye ufaulu wa juu kuzidi wote ndo walitakiwa wasomee ualimu.​
Mwalimu yyte ili uwe competent
Lazima usome , nakwambia ivi lazima usome tena mara kwa mara .labda ualimu wa government huko ambako nobody cares unachofundisha darasani lakini private you must read. Hamna cha sijui mwalimu failure wala nn, hata vyuo vikuu maprofessa wanasoma constantly.jidanganye!
 
Ukimchukua leo mtoto wa tajiri mmoja ambae alikua anapewa 500k kwaajili ya matumizi yake madogo madogo ya shuleni, ukimpa ajira ya mshahara wa 700k ni lazima ataitukana hiyo kazi na ataiacha haraka sana.

Ila ukimchukua mtoto wa masikin aliekua anapewa matumaini tu kuwa nenda shule nikipata ntakutumia hela ya matumizi na anaondoka akiwa hana kitu ukimpa kazi ya mshahara wa 700k ni lazima ataithamini sana.

Unajua kwanini? Maisha magumu ndo yanatufundisha kuthamani vitu, hakuna anaependa kufanya kazi ngumu.
Hii fact itunzwe. Chukua maua yako mkuu.
 
Elimu ya SASA sio kama ile ya zamani!

Vitabu hamna wala internet no materials!!KWA sasa kuna topic GANI haina material!!?

Kuna swali GANI halina materials kama sio kutaka kuonyesha u deepness usio na maana!!?

Uwalimu wa leo ni competence based hakuna haja ya kujaza ubao mara tatu kama zamani!!

Wape class activity wajaze wa discuss uone kama wanashindwa vijana!inabaki kutoa muongozo KWA baadhi yasiyoeleweka vizuri!!

Nenda chuo chochote tz kama wanafundisha teacher centred!!

Mambo yamebadilika SASA wanafunzi ndio wenye materials sisi ni wawezeshaji wa mjadala!!!

Chukua hiyo!!

Labda kama ni intrest ya mwalimu husika au mpangilio mbovu wa ratiba za mwl husika mwisho wa siku lazima uwe na muda ufanye mambo mengine.
mkuu we ni mwalimu ? Umeshawai kufundisha kayumba? Yenye mikondo mpaka f?
 
Habari za asubui ndugu zanguni,

Nimefanya kazi ya ualimu katika shule x mkoani Dodoma kwa miaka 3 sasa nikifundisha masomo ya A level kwenye shule moja ya private.

Lakini naona kama hii kazi inakua ngumu sana kwangu kuendelea nayo sababu na experience citu vifuatavyo vinavyoniumiza na kunidrain energy yote na morale ya kufanya kazi.

Kwanza nimegundua hii kazi inakugeuza kuwa mwanafunzi kabisa maana unahitaji kusoma mara kwa mara ili uweze kuwa competent katika kufundisha. Sasa hiii ya kusoma mara kwa mara inadrain energy vibaya mno maana kichwa kinahitaji pia kufikiria na mambo mengine ya kimaisha.

Mbaya zaidi vitu tunavofundisha ni ma theory tu kwaiyo unabaki tu kumeza mavitu ili ukayateme darasani lakn haudevelop practical skill yoyote na ukiacha kusoma yanapotea unless uwe umefundisha miak mingi sana ndo material yanastick kichwani.

Pili, Ratiba hasa katika private schools iko so tight unakua na ma vipindi kibao mpaka usiku sometimes. Siku nzima unafanya kazi ya kupiga kelele darasani.

Tatu, kazi ya kukimbizana na wanafunzi, tena hawa ma teenagers ni kazi ngumu sana.

Sijui kama ma teacher wenzangu mmenotice hii kitu kama mimi, Mpwayungu alishaliona hili zamanii sana na kulisemea.
Ualimu sio kazi ngumu


Shida Ni kwamba, maslahi hayaendani na kazi husika


Kwa maneno mengine, kazi ni kubwa kuliko maslahi

Hata hivyo private ambazo zipo serious, ualimu haujawahi kuwa rahisi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


Maana walimu wanapigishwa mchakamchaka hadi kero


In short ualimu kwa Tanzania ni changamoto
 
90% ya waliochagua ualimu wametoka familia za kawaida ambao walivyutwa na mkopo na ajira za uhakika otherwise hakuna anayependa ualimu ni asilimia chache sana ya watoto wa kishua wanaoenda ualimu kwasababu hakuna future mi siwalaumu walioenda huko ni familia zetu ndio zimesababisha yote hayo hakuna anayependa ada million 3 kwa mwaka ya kam college itatoka wapi.
99.4%

Hakuna mtoto wa kishua aliyesomea ualimu
 
No offense.

Walimu kama nyie ndiyo mnasababisha watoto wanapata matokeo mabovu katika shule zetu za St. Kayumba na approach zenu za kibinafsi.

ACHA UVIVU
Ndio ualimu wa kidigital


Ukifaulishwa utatukanwa na ukifelisha utatukanwa


Bora ufanye rahisi mambo yaende


BORA WAFELI WANAFUNZI KULIKO KUFELI MIPANGO YAKO
 
Back
Top Bottom