kitonsa
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 1,211
- 2,649
uyo anakula na watu, ukipata mkuu wa shule anakomaa na utendaji wa walimu ,hata serikalini utoboi.Hao private mkuu, walimu wa serikali hasa advanced wana muda mwingi.
Nimesoma shule fulani mwalimu wa geo hafundishi, anafundisha shule provate na ana tuition center, mkitaka awafundishe mnachanga pesa mnamlipa.
Shule inajua lakini wala hakuna anayejali.
Jamaa ana pesa ana hadi ghorofa na ni mashuhuri kwa somo hilo huo mkoa.
Private huwezi kufanya hivyo maana wanataka wakukamue hadi tone lako la mwisho.
Mwalimu wa shule private kutoboa ni ngumu kabisa.
Tena huko serikalini kuna kusimamia mpaka bustani , usafi, mikondo mpaka e, darasa watoto mia, madaftali kusaisha kama mlima