Mpya kutoka kwa Sativa: Mafwele ameendelea kunitafuta, anataka nife, amedai bado hajamalizana na mimi

Kwa style hii hii watu huwa wana convert na kuwa magaidi. Huku Sweden kuna jamaa alitekwa last year seems kulikuwa na mkono wa serikali, walipomuachia jamaa almost one month after jamaa hawajui alipo lakini amefungua website ambayo anachafua sana serikali na kuibua their dirty works.
 
Kwa hiyo unataka wavamie hapo kwenye interview na kuzua taharuki?

Hata kama wana uwezo wa kufanya hivyo na hakuna wa kuwazuia, nao hawapendi kujaza watu, wanaangalia mazingira rafiki.
Kwahiyo baada ya hiyo interview aliyeyuka hapo hapo kama barafu kwamba wakashindwa kuweka mtego wa kumkamata?
Hakuna anaemtafuta wala nini anajitisha mwenyewe
 
Nimekuelewa sana! Kauli nzito hii.
SEREKALI ISITISHE VIONGOZI WA VYAMA, NA VYAMA VISIITISHE SEREKALI.
 
Kama ana akili huyu Sativa angelikaa kimya tu.
 
Ivi dogo kwann asiende uhamishoni
 
huyu jamaa anatafuta tu kiki nani atathibitisha kama kweli anatishiwa na huyo mafwele na wanawasiliana vipi ? nani anayemwambia hayo maneno? yaani mtu kaamua tu kuongea mnamsikiliza na kumuamini? atuonyeshe ushahidi kama kweli ameambiwa hayo maneno ili ashughuikiwe mafwele siyo mtu kuambmua tu kusema tuamini kama n kweli
 
Mr John , hii statement nzito sana kutoka kwa late form ANC leader.
Hayo mazingira yaliyo wa force kufikia hapo, ndicho kinachoendelea sasa. Wata wa force wafanye the same, next itakuwa ni civil war
 
Well Noted Mkuu....
 
Huyu bibi kaharibu sana amani ya nchi.watu wanaishi Kwa hofu Kila kukicha
Kosa alilolifanya ni kufungua ( ) ya mtangulizi wake na kuwafanya watu wajiachie pasi kujua mtz ukimkaribisha ukumbini lazima apenue panzia ya chumbani ili aone kilichopo uko ndani.
 
Ni
N

Nasikia huyo mafwele ndio aliowakimbiza majambazi Arusha,,panyaroad dar na wale wahuni wa mkuranga na kibiti
Ni Bora umesema umesikia. Operation ya Mkiru ilikuwa ni military. Huyo yupo polisi. Halafu planners wa operation za ndani ni ngumu kuongozwa na mtu mmoja maana zinahusisha vyombo vingi vya ndani. Pia, operation za kivita haendi polisi kuongoza. Uwanja wa vita unavyeo vyake vya kijeshi na si kipolisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…