Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Haujui kama polisi nalo ni jeshi mkuuNi
Ni Bora umesema umesikia. Operation ya Mkiru ilikuwa ni military. Huyo yupo polisi. Halafu planners wa operation za ndani ni ngumu kuongozwa na mtu mmoja maana zinahusisha vyombo vingi vya ndani. Pia, operation za kivita haendi polisi kuongoza. Uwanja wa vita unavyeo vyake vya kijeshi na si kipolisi.
Mzee baba ukiona mtu mpka kafikia iyo hatua ujue hao watu sio lazima waje leobwala kesho wanaweza kukuacha hata miezi siku shwaaaaIngekua kweli wanamtafuta wangeshampata hana ulinzi huo wa kuwindwa kila siku na asipatikane, kama hadi muda wa kufanya interview anao basi hakuna anaemtafuta
Inahusiana nini na kiherehere cha kuelekeza uendeshaji wa nchi?Na ni lini marekani ili omba msaada wa kifedha marekani kama Tanzania inavyoombaomba?
Habarini wanajukwaa,
Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.
Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.
Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.
Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?
Aiseeee
😂🤣😁Aende polisi kutoa taarifa
Huyu naye mshamba tu,Kama anavielelezo ende ubalozi waHabarini wanajukwaa,
Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.
Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.
Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.
Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?
Huyu naye mshamba tu,aende ubalozi wa Marekani au wa inchi za umoja za Ulaya akaombe hifadhi kikubwa awe na ushahidi na vielelezo na msg anazotishiwaHabarini wanajukwaa,
Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.
Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.
Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.
Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?
Kaka huwezi kufanya jambo kwa huyu bwana mtajwa? 😀😀😀Kifo kikimkosa mtu maramoja ni ngumu sana kumpata mara ya pili.. Lakini wauaji wakidhamiria unaondoka maana taswira na pumzi yako huwaacha na kihoro kikubwa hasa kama umewajua
Lkn tujue tu kuna hukumu siku ya hukumu. Siku ambayo kila mmoja atamkana mwenziwe
Huyo unayemwuliza ni chombo cha usalama?Wewe utaweza?
Zikishaandikwa zipelekwe wapi? Unatambua madhara ya kuwa na wananchi wasiyojitambua? Mwananchi ambae kiongozi aliyemchangua anamtukana ila yeye anapiga makofi na kushangilia.Hivi Mbowe na team huwa mnafanya nini? Hamuwezi hata kuajiri investigative journalists wabobezi wawaandikie report /documentary ya kuhusu Habari hizi na nyingi nyinginezo; kama ya Lisu, Kibao, ya huyu Sativa, Mbeya nk. Kila kitu mnacho kuwaa-indict hawa washenzi CCM na system yao. Tumieni fursa hizi hawa washenzi waondoke.
Hofu ya uchaguzi imemtawala, kaamua ajipendekeze kwa mapolisi.Huyu bibi kaharibu sana amani ya nchi.watu wanaishi Kwa hofu Kila kukicha
Kwa hiyo ni lazima wamkamate tu baada ya interview? Si wanaweza wakamuacha tu baada ya siku mbili ndiyo wakamchukua?Kwahiyo baada ya hiyo interview aliyeyuka hapo hapo kama barafu kwamba wakashindwa kuweka mtego wa kumkamata?
Hakuna anaemtafuta wala nini anajitisha mwenyewe
Kabisa kabisa !Huko twendako ndio kugumu zaidi. Hapa duniani unaishi miaka 50. Babu wa babu yako tangu afe inawezekana miaka 1000 sasa. Na huko kuna adhabu hakuna inayofafana hata kwa 5% ya hapa duniani