Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Moja , mbili , tatu paaa kimbiaaaa,aliyezaliwa mbali na ardhi ya nusu jangwa ndiye mshindi
 
Uasi uliopo ndani ya ccm ni mkubwa kuliko tunavyoaminishwa...!!
Hadi imfikie hatua mgombea anamlilia marehemu...
CCM ukileta uasi unaletewa nyasi. Nadhani wote tunajua jinsi nyasi zilivyo "good conductor" wa moto. Kuungua, utaungua tuu
 
Hadi nione watu wanadeki barabara ndio nitaamini kuwa anakubalika chamani
 
hii scenario inafurahisha ila ndo hali halisi....
 
Mr No everything mwache apambane na hali yake ila kumbuka wasumbawanga wakija hapa watakupiga juju, spinach tembele na nsasa tunapeleka ulaya mambo si mabaya.
 
Mr No everything mwache apambane na hali yake ila kumbuka wasumbawanga wakija hapa watakupiga juju, spinach tembele na nsasa tunapeleka ulaya mambo si mabaya.
Aisee umesema. Au Nikimbilie gamboshi kujikinga nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]huu uandishi ni burudani
 
muda si mrefu watu wanagawana mbao pale mzambarauni!! 🤣
Kachero amechachamaa anasema hawezi kupandishwa presha, kishuga na kiwedingi kwa wakati mmoja. Amesema yeye atachanja mbuga na kimbunga kumba kumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…