Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
- #141
Mweleze Machi Noo amsikilize cheamanikwa hivyo unataka tukusaidiaje sasa?!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweleze Machi Noo amsikilize cheamanikwa hivyo unataka tukusaidiaje sasa?!.
"Magufuli Jembe"Fungua pm kuna bahasha yako.
Hali mbaya sana hukoDuh, resources zile tulizoona 2015 ... macruzer etc ... Ila hii haiko unavofikiri.
Kazi na Bata.Baadhi ya binadamu wa JF wabaya sana....!Nikikumbuka namna hao binadamu walivyokuwa wana'mpaka mafuta kwa mgongo wa chupa' ndugu Membe hapa jukwaani yaani hata siamini ninachokisoma hapa jukwaani. Wengine, walibadiri hadi Avatars zao hapa JF na kuweka avatar za picha za ndugu B. 'Camillus', huku wakikoleza na hash-tags za #Twende na 'Jamaa' 2020. Hizo avatar sioni hata moja!
Mshana Jr , Mkuu, upo?
Kwa heshima kubwa naomba utoe tathmini ni nini kimetokea juu ya Mtanzania mwenzetu Ndugu Benard kisiasa.
Muda ukikutosha tufafanulie zaidi juu ya huyu ndugu yetu amekwama wapi; wakati juzi kati tuliambiwa anaadaa baraza la mawaziri.
Karibu
Bata maji au bata mzinga?Kazi na Bata.
😂😂😂😂😂😂
Crocodile team mambaMkuu haya mambo ukiona unateseka pita kimya kimya.
Crocodile team mambaMkuu haya mambo ukiona unateseka pita kimya kimya.
Wameshikwa pabaya khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mwaka huu watakoma tu!Sasa huu ni uzi wa kuongea kwa mafumbo???
Ni style tu mkuuSasa huu ni uzi wa kuongea kwa mafumbo???
Kaa Kigamboni huko, utuambie alienda kumuambia nini Pengo maana wote wale wale tu. Haya mengine acha wafu wazikaneWanabodi,
Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila)...
Hawezi kunieleza. Mi ni salamu tuu halafu huyoo naelekea mikadi na malaika kuogeleaKaa Kigamboni huko, utuambie alienda kumuambia nini Pengo maana wote wale wale tu. Haya mengine acha wafu wazikane
Mshauri Uchaguzi ujao ajaribu Vijijini kidogoHawezi kunieleza. Mi ni salamu tuu halafu huyoo naelekea mikadi na malaika kuogelea
Kwa ufupi, kapaushwa kisiasaAti alijifanya kwenda kuchukua mpunga ili arudi kwa kishindo matokeo yake amenyong'onyea. Imekula kwake.
Halisi halisia kabisaaaahii scenario inafurahisha ila ndo hali halisi....